Kinana- Makada CCM acheni woga
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewataka wanaCCM kuacha woga na unyonge kwani yeye ana uhakika kuwa chama hicho kitashinda uchaguzi mkuu wa 2015 kwa kishindo katika nafasi zote.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
JK: Acheni woga wa kusimamia sheria
RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi nchini kuacha woga na ulegevu katika kusimamia sheria za kulinda mazingira na vyanzo vya maji ambavyo ni namna ya uhakika ya kuwawezesha wananchi kuendelea kupata...
10 years ago
Habarileo26 Dec
‘Watanzania acheni woga, tendeni haki’
VIONGOZI wa dini wamewataka Watanzania kutambua kuwa mwaka ujao wa 2015, ni mwaka uliojaa masuala mazito ya kitaifa, hivyo ni wajibu wao kushiriki kikamilifu, kuacha woga na kutenda haki.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Makada waandamizi Makamba, Kinana ‘waitikia wito’ licha ya uvumi wa kuikacha CCM
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue
MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...
11 years ago
Michuzi09 Apr
NYANGWINE KUWASHITAKI KWA KINANA MAKADA WANAOMHUJUMU JIMBONI
VURUGU na kampeni chafu zinazofanywa na baadhi ya makada wa CCM wanaojipanga kuwania ubunge katika jimbo la Tarime, zimechukua sura mpya.
Hatua hiyo imetokana na mbunge wa jimbo hilo Nyambari Nyangwine (pichani), kuweka bayana kuwa atawasilisha malalamiko kwa uongozi wa CCM ngazi ya wilaya, mkoa na taifa.
Juzi, baadhi ya wanachama wa CCM wilayani Tarime, walilalamikia kampeni chafu zinazofanywa na baadhi makada na kusababisha makundi ambayo ni hatari kwa Chama.
Hata hivyo, baadhi...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Wana CCM watakiwa kuacha woga
MUASISI wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Leo Lwekamwa, ameibuka na kutoa maoni yake kuhusu muundo wa serikali tatu uliopendekezwa kwenye rasimu ya pili ya Katiba, kwa kuwataka wanachama wa...
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Viongozi acheni fitina, leteni maendeleo-Kinana
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Kinana: Acheni kubadili viongozi kama mashati
WANANCHI wametakiwa kuachana na tabia ya kubadilisha viongozi kama mashati, hata pale inapobainika kuwa ni kiongozi mtendaji. Wito huo ulitolewa na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahaman Kinana,...
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Makada CCM wamvaa JK