Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Watanzania acheni woga, tendeni haki’

Waumini wa Kanisa la Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakitoka kanisani kuhudhuria ibada ya Sikukuu ya Krismasi iliyofanyika kitaifa kanisani hapo jana. (Picha na Fadhili Akida).VIONGOZI wa dini wamewataka Watanzania kutambua kuwa mwaka ujao wa 2015, ni mwaka uliojaa masuala mazito ya kitaifa, hivyo ni wajibu wao kushiriki kikamilifu, kuacha woga na kutenda haki.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

JK: Acheni woga wa kusimamia sheria

RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi nchini kuacha woga na ulegevu katika kusimamia sheria za kulinda mazingira na vyanzo vya maji ambavyo ni namna ya uhakika ya kuwawezesha wananchi kuendelea kupata...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tibaijuka: Watendaji Ardhi tendeni haki

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amewataka watendaji wa Wizara yake kuhakikisha wanatenda haki katika upimaji na ugawaji wa viwanja ili kuepukana na migogoro inayoendelea...

 

10 years ago

Habarileo

Kinana- Makada CCM acheni woga

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewataka wanaCCM kuacha woga na unyonge kwani yeye ana uhakika kuwa chama hicho kitashinda uchaguzi mkuu wa 2015 kwa kishindo katika nafasi zote.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Utumishi wa Umma tendeni haki kwa wakati

PAMOJA na mambo mengine, kazi ya Tume ya Utumishi wa Umma ni kupokea na kushughulikia rufaa na malalamiko ya watumishi wa umma, kufanya ukaguzi wa uzingatiaji wa sheria, kanuni na...

 

11 years ago

Habarileo

'Watanzania acheni tamaa, ubinafsi'

WAZIRI Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amewataka Watanzania kuachana nxa ubinafsi kwa kuridhika na walichonacho. Pia, ametaka Watanzania kujiepusha na tamaa ya kile kidogo walichonacho watu wasio na uwezo.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Bilali: Watanzania acheni mitizamo hasi

Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewataka Watanzania kuacha na mitizamo hasi juu ya sera ya uwekezaji vitega uchumi kwa kuwa ikitumika vizuri ndio chachu ya kujenga uchumi imara na endelevu.

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania acheni kushabikia mambo yasiyo na faida

Nianze kwa kuwapa salamu Watanzania wenzangu mliojaa uzalendo, mlio tayari kuhoji mambo ya msingi kwa mustakabali wa nchi yetu.

 

10 years ago

Habarileo

Acheni kukaa vijiweni, Lowassa aasa Watanzania

Waziri Mkuu mstaafu, Edward LowassaWATANZANIA wameshauriwa kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo badala ya kukaa vijiweni na kuwajadili watu, jambo ambalo haliwezi kuwapa tija yoyote.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue

MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na  Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani