Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Bilali: Watanzania acheni mitizamo hasi

Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewataka Watanzania kuacha na mitizamo hasi juu ya sera ya uwekezaji vitega uchumi kwa kuwa ikitumika vizuri ndio chachu ya kujenga uchumi imara na endelevu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

'Watanzania acheni tamaa, ubinafsi'

WAZIRI Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amewataka Watanzania kuachana nxa ubinafsi kwa kuridhika na walichonacho. Pia, ametaka Watanzania kujiepusha na tamaa ya kile kidogo walichonacho watu wasio na uwezo.

 

10 years ago

Habarileo

‘Watanzania acheni woga, tendeni haki’

Waumini wa Kanisa la Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakitoka kanisani kuhudhuria ibada ya Sikukuu ya Krismasi iliyofanyika kitaifa kanisani hapo jana. (Picha na Fadhili Akida).VIONGOZI wa dini wamewataka Watanzania kutambua kuwa mwaka ujao wa 2015, ni mwaka uliojaa masuala mazito ya kitaifa, hivyo ni wajibu wao kushiriki kikamilifu, kuacha woga na kutenda haki.

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania acheni kushabikia mambo yasiyo na faida

Nianze kwa kuwapa salamu Watanzania wenzangu mliojaa uzalendo, mlio tayari kuhoji mambo ya msingi kwa mustakabali wa nchi yetu.

 

10 years ago

Habarileo

Acheni kukaa vijiweni, Lowassa aasa Watanzania

Waziri Mkuu mstaafu, Edward LowassaWATANZANIA wameshauriwa kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo badala ya kukaa vijiweni na kuwajadili watu, jambo ambalo haliwezi kuwapa tija yoyote.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue

MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na  Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...

 

10 years ago

Mwananchi

Una fikra hasi?

Fikra dhaifu huzua tatizo ambalo linaweza kukupelekea kwenye unyonge pia mawazo duni na hata kujiona ya kuwa wewe ni mtu wa kuonewa, kutothaminiwa na hata kuwa mpweke wakati kwa wakati.

 

5 years ago

Michuzi

WAZAZI KUWAJIBISHWA KWA MATENDO HASI YA WATOTO WAO

 Chifu wa Ushirikishwaji wa Jamii wa Jeshi la Polisi Makao Makuu ya Polisi Dodoma, Kamishna Msaidizi wa Polisi, SACP Engelbert  Kiondo akitoa mada mpango wa Polisi Kata kama mfumo wa utendaji wa kazi za Polisi kwa sasa wakati wa mkutano wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma, mkutano uliowahusisha pia Maafisa Tarafa, Wakaguzi wa Polisi wa Tarafa, watendaji wa Kata pamoja na Askari Polisi wa Kata. Kulia ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma na Kushoto ni Mkuu wa Wilaya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mitazamo hasi kitamaduni chanzo cha mauaji ya watu wenye albinism

DSC_0569

Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa UNESCO nchini, Bi. Zulmira Rodgrigues, akiwasilisha mada katika warsha ya siku tatu iliyofanyika katika kijiji cha Nyakahungwa wilayani Sengerema mkoani Mwanza kuhusu ushirikishaji jamii katika kuandaa na kutekeleza mikakati itakayochangia kuzuia na kutokomeza unyanyasaji na dhulma zinazofanywa dhidi ya watu wenye albinism iliyoshirikisha waganga wa asili, wauguzi na wakunga, viongozi wa dini, walimu pamoja na watu maarufu iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Bilali awashukia wezi wa dawa

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal ameiagiza Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikana na Polisi kufanya msako endelevu ili kuwabaini wezi wa dawa za serikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani