Tibaijuka: Watendaji Ardhi tendeni haki
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amewataka watendaji wa Wizara yake kuhakikisha wanatenda haki katika upimaji na ugawaji wa viwanja ili kuepukana na migogoro inayoendelea...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo26 Dec
‘Watanzania acheni woga, tendeni haki’
VIONGOZI wa dini wamewataka Watanzania kutambua kuwa mwaka ujao wa 2015, ni mwaka uliojaa masuala mazito ya kitaifa, hivyo ni wajibu wao kushiriki kikamilifu, kuacha woga na kutenda haki.
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Utumishi wa Umma tendeni haki kwa wakati
PAMOJA na mambo mengine, kazi ya Tume ya Utumishi wa Umma ni kupokea na kushughulikia rufaa na malalamiko ya watumishi wa umma, kufanya ukaguzi wa uzingatiaji wa sheria, kanuni na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200624_122816.jpg)
LUKUVI AWATAKA WATENDAJI IDARA ZA ARDHI KUPIMIA WANANCHI ARDHI
![IMG_20200624_122816 IMG_20200624_122816](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200624_122816.jpg)
Na Ahmed Mahmoud Arusha
WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Makazi, William Lukuvi amewataka maafisa ardhi kuwapa hati Mara moja watu wote waliopimiwa viwanja ili idadi iliyo kwenye michoro iwe na hati kwa...
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
Tibaijuka aihakikishia NHC ardhi ya uhakika
WAZIRI wa Ardhi na Maendeleo na Makazi, Prof. Anna Tibaijuka, amesema atahakikisha ardhi inayochukuliwa na Shirika la Nyumba nchini (NHC) kwa ajili ya utekelezaji wa miradi haipatwi na migogoro baina...
11 years ago
Habarileo27 Jul
Kesi za ardhi mahakamani zamkera Prof. Tibaijuka
MLUNDIKANO wa kesi katika mahakama, mivutano ya ardhi baina ya viongozi na watendaji katika Halmashauri ya Manispaa ya Lindi mkoani hapa, vimesababisha kusimama na kuchelewesha kupimwa mji wa Lindi.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Mdee amshukia Waziri Tibaijuka mgogoro wa ardhi
10 years ago
StarTV06 Feb
Manispaa Ilemela kuwawajibisha watendaji Ardhi
Na Wambura Mtani,
Mwanza.
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza inakusudia kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wake wa idara ya ardhi na mipango miji wanaojihusisha na vitendo vya uporaji viwanja katika maeneo mbalimbali ya manispaa hiyo.
Hatua hii inakuja baada ya kukithiri kwa malalamiko yanayowahusisha watendaji wa idara hizo ambao wanatuhumiwa kuwahadaa wananchi kuwapimia viwanja na kisha kuwapora kwa madai kuwa maeneo yao yametengwa kwa ajili ya miradi maalumu ya...
10 years ago
StarTV14 Jan
Maafisa ardhi waaswa kuelimisha watendaji Manyara.
Na Ramadhan Mvungi
Arusha.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Joel Bendera amewaagiza maafisa wa ardhi kuwaelimisha watendaji ngazi za vijiji na kata kuhusu sheria za ugawaji wa Ardhi.
Hatua hii itaepusha utaratibu wa uuzwaji wa ardhi kiholela unaochangia migogoro na mauaji katika baadhi ya maeneo mkoani Manyara.
o que fazer viagra para homensAkizungumza na viongozi wa kiserikali pamoja na watumishi wa umma wilayani Kiteto katika ziara yake akiwa kama Mkuu mpya wa Mkoa wa Manyara, Bendera...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TgHj0KqUN*u-NCsR42vjj1KckBb72VSK-vrkWhxkkmMX7LB2ggNt5pKfc9TtuF-p0P7gOprP38*GuLTlQDRqoAqB45bTvLTg/tudi.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI PROFESA TIBAIJUKA NISINGEFUMBIA MACHO UOZO HUU KATIKA ARDHI