Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manispaa Ilemela kuwawajibisha watendaji Ardhi

Na Wambura Mtani,

Mwanza.

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza inakusudia kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wake wa idara ya ardhi na mipango miji wanaojihusisha na vitendo vya uporaji viwanja katika maeneo mbalimbali ya manispaa hiyo.

 

Hatua hii inakuja baada ya kukithiri kwa malalamiko yanayowahusisha watendaji wa idara hizo ambao wanatuhumiwa kuwahadaa wananchi kuwapimia viwanja na kisha kuwapora kwa madai kuwa maeneo yao yametengwa kwa ajili ya miradi maalumu ya...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

LUKUVI AWATAKA WATENDAJI IDARA ZA ARDHI KUPIMIA WANANCHI ARDHI

IMG_20200624_122816Waziri wa Ardhi Wiliam Lukuvi akiwasili kwenye uzinduzi wa Ofisi ya Ardhi mkoa wa Arusha mapema leo akiwa maeongozana na mkuu wa mkoa wa Arusha Idd Kimanta pamoja na katibu tawala mkoa wa Arusha Richard Kwitega nyuma wakiwa na mkuu wa wilaya ya Monduli Edward Balele picha na Ahmed Mahmoud Arusha.
Na Ahmed Mahmoud Arusha

WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Makazi, William Lukuvi amewataka maafisa ardhi kuwapa hati Mara moja watu wote waliopimiwa viwanja ili idadi iliyo kwenye michoro iwe na hati kwa...

 

9 years ago

MillardAyo

Headlines baada ya headlines..panga lingine limemkuta Mkurugenzi Manispaa ya Ilemela

Naibu Waziri wa Tamisemi Suleiman Jaffo amemsimamisha kazi kwa muda Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela jijini Mwanza John Wanga. Hatua ya Jaffo imekuja ili kupisha uchunguzi wa uhalali wa fedha zilizotumika kujenga uzio wa Halmashauri ya Wilaya hiyo. Amesema nafasi yake itashikiliwa kwa muda na Injinia Jacob Nathaniel hadi uchunguzi wa tuhuma hizo utakapokamilika. Unataka […]

The post Headlines baada ya headlines..panga lingine limemkuta Mkurugenzi Manispaa ya Ilemela appeared first on...

 

9 years ago

Michuzi

WATENDAJI WA MANISPAA YA KINONDONI KUFUATILIWA UTENDAJI WAO —MAKONDA

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imeanzisha utaratibu kwa wananchi kutoa malalamiko juu ya watoa huduma katika manispaa hiyo.


Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema kuwa kuna watendaji wanashindwa kufanya kazi ambazo waliziomba na kuifanya serikali ionekane ni kikwazo kwa wananchi wake.


Amesema kuwa baadhi ya wafanyakazi wanachelewesha kutoa huduma ili kutengeneza mfumo wa kupata rushwa...

 

10 years ago

Michuzi

Meya Manispaa ya Kinondoni aagiza Wenyeviti kusimamia Watendaji kutekeleza Miradi

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akikata utepe kuzindua Daraja la Mabwepande, Dar es Salaam hivi karibuni.Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Eng. Mussa Nati akizungumza wakati wa kikao cha wenyeviti wa Serikali za Mitaa,uliofanyika kwenye viwanja vya Ofisi ya Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akizungumza na wenyeviti wa Serikali za Mitaa.Wenyeviti wa Serikali za mitaa, manispaa ya Kinondoni wakimsikiliza Meya Yusuph Mwenda.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tibaijuka: Watendaji Ardhi tendeni haki

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amewataka watendaji wa Wizara yake kuhakikisha wanatenda haki katika upimaji na ugawaji wa viwanja ili kuepukana na migogoro inayoendelea...

 

10 years ago

StarTV

Maafisa ardhi waaswa kuelimisha watendaji Manyara.

Na Ramadhan Mvungi

Arusha.

 

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Joel Bendera amewaagiza maafisa wa ardhi kuwaelimisha watendaji ngazi za vijiji na kata kuhusu sheria za ugawaji wa Ardhi.

Hatua hii itaepusha utaratibu wa uuzwaji wa ardhi kiholela unaochangia migogoro na mauaji katika baadhi ya maeneo mkoani Manyara.

o que fazer viagra para homens

Akizungumza na viongozi wa kiserikali pamoja na watumishi wa umma wilayani Kiteto katika ziara yake akiwa kama Mkuu mpya wa Mkoa wa Manyara, Bendera...

 

10 years ago

Michuzi

MEYA MANISPAA YA MOSHI AWASEMEA WATENDAJI WANAO HUJUMU MALI ZA UMMA KWA WANANCHI

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi na Mwenyekiti wa Chadema Manispaa ya Moshi Jafary Michael akiwahutubia wakazi wa mji wa Moshi wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Manyema mjini Moshi.
Baadhi ya wakazi wa mji wa Moshi wakiwa katika mkutano wa hadhara wa Meya wa Manispaa ya Moshi ,Jafary Michael katika viwanja vya Manyema ,Meya Jafary alikuwa akizungumzia vitendo vya Uporaji wa Viwanja vya Umma pamoja na tatizo la wafanya biashara ndogo ndogo  maarufu kama...

 

5 years ago

Michuzi

WATENDAJI SEKTA YA ARDHI OFISI ZA MIKOA WATAKIWA KUEPUKA URASIMU




Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mary Makondo akizungumza wakati wa kufunga mafunzo kwa watendaji wa sekta ya Ardhi wa ofisi za Ardhi za mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida na Manyara yaliyofanyika ofisi za Wizara katika Mji wa Serikali eneo la Mtumba jijini Dodoma jana.





Kamishna wa Ardhi nchini Nathaniel Nhonge akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya Watendaji wa sekta ya ardhi wa ofisi za Ardhi za mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida na Manyara yaliyofanyika ofisi...

 

5 years ago

CCM Blog

SMZ YASIKITISHWA NA BAADHI YA WATENDAJI ARDHI KWA KUKOSA UAMINIFU


Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inasikitishwa na tabia ya baadhi ya Watendaji wa Taasisi zinazosimamia masuala ya Ardhi Nchini kuendelea kutokuwa waaminifu katika utekelezaji wa majukumu yao kitendo ambacho huongeza migogoro ndani ya Jamii Nchini.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa masikitiko hayo wakati akijibu Hoja za Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kufuatia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake aliyoiwasilisha katika Kikao cha Bajeti cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani