Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATENDAJI WA MANISPAA YA KINONDONI KUFUATILIWA UTENDAJI WAO —MAKONDA

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imeanzisha utaratibu kwa wananchi kutoa malalamiko juu ya watoa huduma katika manispaa hiyo.


Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema kuwa kuna watendaji wanashindwa kufanya kazi ambazo waliziomba na kuifanya serikali ionekane ni kikwazo kwa wananchi wake.


Amesema kuwa baadhi ya wafanyakazi wanachelewesha kutoa huduma ili kutengeneza mfumo wa kupata rushwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Meya Manispaa ya Kinondoni aagiza Wenyeviti kusimamia Watendaji kutekeleza Miradi

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akikata utepe kuzindua Daraja la Mabwepande, Dar es Salaam hivi karibuni.Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Eng. Mussa Nati akizungumza wakati wa kikao cha wenyeviti wa Serikali za Mitaa,uliofanyika kwenye viwanja vya Ofisi ya Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akizungumza na wenyeviti wa Serikali za Mitaa.Wenyeviti wa Serikali za mitaa, manispaa ya Kinondoni wakimsikiliza Meya Yusuph Mwenda.

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA WAFANYAKAZI MADEREVA TANZANIA (TADWU), CHAMKABIDHI MLEZI WAO MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA RASIMU YA MKATABA WA MABORESHO YA MASLAHI YAO.

 Mlezi wa chama cha wafanyakazi madereva Tanzania (TADWU), Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza na madereva kabla ya kukabidhiwa rasimu ya maboresho ya maslahi ya madereva hao na cheti cha utambulisho wa chama hicho Dar es Salaam jana. Kulia ni  Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi Madereva Tanzania (TADWU), Abdallah Lubara na Mwenyekiti wa zamani wa Umoja wa Madereva Tanzania, Clement Masanja. Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi Madereva Tanzania (TADWU),...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA MASHINDANO KINONDONI CUP JIJINI DAR ES SALAAM , AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na wadau wa michezo, wakati wa uzinduzi wa Kinondoni CUP uliofanyika Viwanja vya Leaders Dar es Salaam jana ambapo pia aligawa vifaa vya michezo kwa timu  138 vikiwa ni seti mbili za jezi na mipira miwili kwa kila timu. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na wadau wa michezo katika uzinduzi huo.
 DC Makonda akisisitiza jambo katika uzinduzi huo. Kutoka kulia ni Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Dk.Aziz Msuya, Diwani...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA, APOKEA VIFAA VYA MICHEZO KUTOKA KWA WADAU WA MICHEZO NCHINI KWA AJILI YA MASHINDANO YA KINONDONI CUP

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam leo, wakati akipokea msaada wa vifaa vya michezo vyenye thamani ya sh. milioni 50 kutoka Kampuni ya Tanzania Sisi Nyumbani (TSN) wa ajili ya mashindano ya Kinondoni Cup yatakayoanza Juni 2015 katika wilaya hiyo. Meneja wa Kinywaji cha Chilly Willy  Kinachosambazwa na Kampuni ya TSN, Khamis Tembo (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukabidhi...

 

10 years ago

Mwananchi

Makonda aapishwa rasmi, aja na mtindo wa STK katika utendaji

Licha ya baadhi ya watu kubeza uteuzi wake, Mkuu  wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda ameapishwa leo jijini Dar es Salaam na kusema kuwa atatekeleza majukumu yake kwa mtindo alioupa jina la STK, akimaanisha atafuata Sheria, Taratibu na Kanuni.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete akubali utendaji wa Chadema Manispaa ya Moshi

Rais Jakaya Kikwete, amempongeza Meya wa Manispaa ya Moshi, Jaffar Michael kwa kile alichosema ni kusimamia vizuri na kutekeleza  Ilani ya CCM katika kuwaletea wananchi maendeleo.

 

10 years ago

Vijimambo

DC MAKONDA AFANYA ZIARA HOSPITALI YA MWANANYAMALA NA PALESTINA KUANGALIA UTENDAJI KAZI

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akiongea na Mganga Mkuu wa Hospitali ya Palestina, Dkt. Benedicto Luoga iliyopo Sinza jijini Dar es Salaama mara baada ya kufanya ziara ya kushtukiza jana kuangalia jinsi utendaji wake wa Kazi. Pembeni ni Katibu Tawala wa Manispaa ya Kinondoni.Mganga Mkuu wa Hospitali ya Palestina, Dkt. Benedicto Luoga akitoa maelezo machache.Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akipewa maelekezo kutoka kwa mtaalamu wa maabara Dokta Mniko Kimori.Mkuu wa wilaya ya...

 

9 years ago

Michuzi

RC KILIMANJARO AKUTANA NA WATENDAJI WA SERIKALI KATIKA KIKAO CHA UTENDAJI KAZI

KATIKA kutekeleza kauli mbiu ya Rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,John Magufuli ya “Hapa Kazi tu” serikali mkoani Kilimanjaro imetangaza kusitisha likizo na ruhusa zote kwa watumishi wake katika kipindi cha siku kuu za Krismasi na mwaka mpya.
Agizo hilo linakuja wakati tayari baadhi ya watumishi wa serikali kuanza taratibu za kuomba likizo na ruhusa kwa ajili ya kwenda kushiriki siku kuu za mwisho wa mwaka za Krismasi na mwaka mpya.

.Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Amos...

 

10 years ago

StarTV

Manispaa Ilemela kuwawajibisha watendaji Ardhi

Na Wambura Mtani,

Mwanza.

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza inakusudia kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wake wa idara ya ardhi na mipango miji wanaojihusisha na vitendo vya uporaji viwanja katika maeneo mbalimbali ya manispaa hiyo.

 

Hatua hii inakuja baada ya kukithiri kwa malalamiko yanayowahusisha watendaji wa idara hizo ambao wanatuhumiwa kuwahadaa wananchi kuwapimia viwanja na kisha kuwapora kwa madai kuwa maeneo yao yametengwa kwa ajili ya miradi maalumu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani