WATENDAJI WA MANISPAA YA KINONDONI KUFUATILIWA UTENDAJI WAO —MAKONDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Iqkg4iAq_Rw/VkST5TqEb4I/AAAAAAAIFe4/iTKhagspreI/s72-c/makonda.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imeanzisha utaratibu kwa wananchi kutoa malalamiko juu ya watoa huduma katika manispaa hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema kuwa kuna watendaji wanashindwa kufanya kazi ambazo waliziomba na kuifanya serikali ionekane ni kikwazo kwa wananchi wake.
Amesema kuwa baadhi ya wafanyakazi wanachelewesha kutoa huduma ili kutengeneza mfumo wa kupata rushwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X9kIkALDIyM/VNpBq1HQfJI/AAAAAAAHC6Q/PcKtH973Z-8/s72-c/001.jpg)
Meya Manispaa ya Kinondoni aagiza Wenyeviti kusimamia Watendaji kutekeleza Miradi
![](http://4.bp.blogspot.com/-X9kIkALDIyM/VNpBq1HQfJI/AAAAAAAHC6Q/PcKtH973Z-8/s1600/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tpVmqRkZWd4/VNpBq9p9b0I/AAAAAAAHC6M/67-d_JcY8pg/s1600/002.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KJWyn7vRjbI/VNpBqm3ouBI/AAAAAAAHC6I/9UfIJZzWu_4/s1600/003.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SFBmNG-vdA8/VNpBvN9cjxI/AAAAAAAHC6k/4yzQQs93Bng/s1600/004.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kv8V6MVer8k/VNpBvVgv_YI/AAAAAAAHC6g/479e0-HWfJU/s1600/005.jpg)
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WAFANYAKAZI MADEREVA TANZANIA (TADWU), CHAMKABIDHI MLEZI WAO MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA RASIMU YA MKATABA WA MABORESHO YA MASLAHI YAO.
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA MASHINDANO KINONDONI CUP JIJINI DAR ES SALAAM , AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA, APOKEA VIFAA VYA MICHEZO KUTOKA KWA WADAU WA MICHEZO NCHINI KWA AJILI YA MASHINDANO YA KINONDONI CUP
10 years ago
Mwananchi23 Feb
Makonda aapishwa rasmi, aja na mtindo wa STK katika utendaji
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Rais Kikwete akubali utendaji wa Chadema Manispaa ya Moshi
10 years ago
VijimamboDC MAKONDA AFANYA ZIARA HOSPITALI YA MWANANYAMALA NA PALESTINA KUANGALIA UTENDAJI KAZI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FCJu8maLCdc/VlvXBdkfczI/AAAAAAAAXK4/f1eDrcEYqTU/s72-c/IMG_9719%2B%25281024x683%2529.jpg)
RC KILIMANJARO AKUTANA NA WATENDAJI WA SERIKALI KATIKA KIKAO CHA UTENDAJI KAZI
Agizo hilo linakuja wakati tayari baadhi ya watumishi wa serikali kuanza taratibu za kuomba likizo na ruhusa kwa ajili ya kwenda kushiriki siku kuu za mwisho wa mwaka za Krismasi na mwaka mpya.
.Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Amos...
10 years ago
StarTV06 Feb
Manispaa Ilemela kuwawajibisha watendaji Ardhi
Na Wambura Mtani,
Mwanza.
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza inakusudia kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wake wa idara ya ardhi na mipango miji wanaojihusisha na vitendo vya uporaji viwanja katika maeneo mbalimbali ya manispaa hiyo.
Hatua hii inakuja baada ya kukithiri kwa malalamiko yanayowahusisha watendaji wa idara hizo ambao wanatuhumiwa kuwahadaa wananchi kuwapimia viwanja na kisha kuwapora kwa madai kuwa maeneo yao yametengwa kwa ajili ya miradi maalumu ya...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10