Meya Manispaa ya Kinondoni aagiza Wenyeviti kusimamia Watendaji kutekeleza Miradi
![](http://4.bp.blogspot.com/-X9kIkALDIyM/VNpBq1HQfJI/AAAAAAAHC6Q/PcKtH973Z-8/s72-c/001.jpg)
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akikata utepe kuzindua Daraja la Mabwepande, Dar es Salaam hivi karibuni.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Eng. Mussa Nati akizungumza wakati wa kikao cha wenyeviti wa Serikali za Mitaa,uliofanyika kwenye viwanja vya Ofisi ya Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akizungumza na wenyeviti wa Serikali za Mitaa.
Wenyeviti wa Serikali za mitaa, manispaa ya Kinondoni wakimsikiliza Meya Yusuph Mwenda.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WCUJ9OW5V6U/VSrU8wYK1MI/AAAAAAAHQxw/NfNGoYkn2RM/s72-c/FSA_001.jpg)
MEYA WA MANISPAA YA KINONDONI ASHINDA TUZO YA MEYA BORA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-WCUJ9OW5V6U/VSrU8wYK1MI/AAAAAAAHQxw/NfNGoYkn2RM/s1600/FSA_001.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s2sotdyf83k/VSrU9HupzsI/AAAAAAAHQx0/sEbsf-aZHdE/s1600/FSA_003.jpg)
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Chadema yateua Meya Manispaa ya Kinondoni
Veronica Romwald na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Konondoni, kimempitisha Diwani mteule wa Ubungo, Boniface Jacob (Chadema), kuwa mgombea umeya wa Manispaa ya Kinondoni, huku akiwakilisha mwamvuli wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Mgombea huyo alikuwa akiwania nafasi hiyo huku akipambana na diwani mwenzake mteule wa Kata ya Mbweni, Abdunel Elibariki (Chadema) ambaye alishindwa kutamba.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FAVRxp5y-eI/Xkg4sprKj8I/AAAAAAALdgc/pDWswrxmxpc7qSGrnba1n3GE-1fuH_NfgCLcBGAsYHQ/s72-c/dcbf8941-1e6d-44b8-ac08-ba9a39510198.jpg)
PROF NDALICHAKO AWATAKA WATENDAJI KUSIMAMIA VIZURI FEDHA ZA MIRADI YA ELIMU
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako ametoa rai kwa watendaji wa Taasisi zilizo chini ya wizara yake kusimamia vizuri fedha za miradi ya Elimu inayotelekezwa katika maeneo yao ili ikamilike kwa wakati na ubora.
Waziri Ndalichako ametoa rai hiyo Jijini Dar es Salaam wakati akizinduzia Jengo la Utawala la Chuo Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) lililokarabatiwa na kuongeza ukubwa ambapo amesema Serikali imekuwa ikitoa fedha nyingi za miradi lakini haikamiliki...
10 years ago
Dewji Blog10 Apr
Manispaa ya Kinondoni yaibuka mshindi wa jumla tuzo ya Meya 2015
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda.
… zilzioandaliwa na ALAT
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Manispaa ya Kinondoni ya Jijini Dar es salaam imeibuka mshindi wa wa Jumla ya kwenye tuzo zilzioandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) katika kutimiza miaka 30 ya ALAT kwenye mkutano wa 31 wa Jumuiya hiyo unaoendelea jijini Dar es Salaam.
Katika halfa hiyo ya tuzo ambapo Rais Jakaya Kikwete alikuwa mgeni rasmi, uliohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa ALAT, pamoja na wadau...
11 years ago
MichuziMEYA KINONDONI MH. YUSSUF MWENDA AFUTURISHA WANANCHI WA MANISPAA YAKE
Akizungumza wakati wa futari aliyoiandaa kwa wananchi wa Manispaa yake, viongozi wa Kiserikali na kidini, Dar es Salaam juzi Meya huyo alisema kuwa Manispaa yake ni kubwa na hivyo endapo watu watachukua maamuzi ya kusaidia watoto hao basi...
10 years ago
VijimamboMEYA WA MANISPAA YA KINONDONI AKABIDHI SOKO LA MAWASILIANO SIMU 2000
Na Mwandishi wetu
MSTAHIKI Meya wa manispaa ya Kinondoni, Yusufu Mwenda amesema kuwa soko jipya la SIMU 2000 litaweza kuchukua wafanyabiashara 512 kutoka kila pembe ya manispaa ya kinondoni.
Mwenda amewatoa hofu wafanyabiashara wa soko jipya la kituo cha basi cha Simu2000 mawasiliano ...
10 years ago
MichuziMEYA MANISPAA YA MOSHI AWASEMEA WATENDAJI WANAO HUJUMU MALI ZA UMMA KWA WANANCHI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Iqkg4iAq_Rw/VkST5TqEb4I/AAAAAAAIFe4/iTKhagspreI/s72-c/makonda.jpg)
WATENDAJI WA MANISPAA YA KINONDONI KUFUATILIWA UTENDAJI WAO —MAKONDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Iqkg4iAq_Rw/VkST5TqEb4I/AAAAAAAIFe4/iTKhagspreI/s400/makonda.jpg)
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imeanzisha utaratibu kwa wananchi kutoa malalamiko juu ya watoa huduma katika manispaa hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema kuwa kuna watendaji wanashindwa kufanya kazi ambazo waliziomba na kuifanya serikali ionekane ni kikwazo kwa wananchi wake.
Amesema kuwa baadhi ya wafanyakazi wanachelewesha kutoa huduma ili kutengeneza mfumo wa kupata rushwa...
10 years ago
MichuziMSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA KINONDONI AKABIDHI ZAWADI ZA PASAKA KWA YATIMA
Akikabidhi msaada huo Meya Yusuph Mwenda aliwataka watanzania kuwa na moyo wa kusaidia watoto hao hususan katika msimu wa Sikukuu ikiwa ni njia mojawapo ya kuwafariji watoto hao.
“Hakuna anayependa kuona watoto hawa wanaongezeka mitaani, Na...