PROF NDALICHAKO AWATAKA WATENDAJI KUSIMAMIA VIZURI FEDHA ZA MIRADI YA ELIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-FAVRxp5y-eI/Xkg4sprKj8I/AAAAAAALdgc/pDWswrxmxpc7qSGrnba1n3GE-1fuH_NfgCLcBGAsYHQ/s72-c/dcbf8941-1e6d-44b8-ac08-ba9a39510198.jpg)
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako ametoa rai kwa watendaji wa Taasisi zilizo chini ya wizara yake kusimamia vizuri fedha za miradi ya Elimu inayotelekezwa katika maeneo yao ili ikamilike kwa wakati na ubora.
Waziri Ndalichako ametoa rai hiyo Jijini Dar es Salaam wakati akizinduzia Jengo la Utawala la Chuo Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) lililokarabatiwa na kuongeza ukubwa ambapo amesema Serikali imekuwa ikitoa fedha nyingi za miradi lakini haikamiliki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-_FNj4QjTAnc/XunJYvXFD_I/AAAAAAAC7wY/EPhqvB4bze0DngbR0Mb7ko4001VcRY6VgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpeg)
WAZIRI WA ELIMU PROF. NDALICHAKO ATANGAZA RATIBA ZA MITIHANI NA MASOMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_FNj4QjTAnc/XunJYvXFD_I/AAAAAAAC7wY/EPhqvB4bze0DngbR0Mb7ko4001VcRY6VgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpeg)
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma, Waziri Ndalichako amesema muhula wa kwanza wa masomo utamalizika Agosti 28 mwaka huu na kuanza kwa muhula mpya utakaoishia Desemba 18 mwaka huu.
Prof Ndalichako amesema ili kukamilisha muhtasari wa masomo shule...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X9kIkALDIyM/VNpBq1HQfJI/AAAAAAAHC6Q/PcKtH973Z-8/s72-c/001.jpg)
Meya Manispaa ya Kinondoni aagiza Wenyeviti kusimamia Watendaji kutekeleza Miradi
![](http://4.bp.blogspot.com/-X9kIkALDIyM/VNpBq1HQfJI/AAAAAAAHC6Q/PcKtH973Z-8/s1600/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tpVmqRkZWd4/VNpBq9p9b0I/AAAAAAAHC6M/67-d_JcY8pg/s1600/002.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KJWyn7vRjbI/VNpBqm3ouBI/AAAAAAAHC6I/9UfIJZzWu_4/s1600/003.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SFBmNG-vdA8/VNpBvN9cjxI/AAAAAAAHC6k/4yzQQs93Bng/s1600/004.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kv8V6MVer8k/VNpBvVgv_YI/AAAAAAAHC6g/479e0-HWfJU/s1600/005.jpg)
11 years ago
Dewji Blog26 Jun
Wizara ya Fedha yafanikiwa kusimamia miradi ya maendeleo nchini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
Na Mwandishi wetu – Hazina
Dhana ya kukua katika maisha ya jamii inahusisha mtu, Wizara, Idara naTaasisi mbalimbali zinazounda jumuiya ya watu au taifa fulani.
Ni ukweli usiopingika kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekua na kufikisha umri wa nusu karne ambapo Aprili 26 mwaka huu wa 2014 inajivunia kufikisha miaka 50 tangu kuasisiwa kwake (1964- 2014).
Sherehe za Maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar...
11 years ago
MichuziProf. Mchome awataka Watumishi wa Wizara ya Elimu kuwa Wabunifu
“Watumishi wa Wizara hii tunatakiwa tujiulize tunafanya ubunifu gani ili kuhakisha wahitimu katika ngazi mbalimbali wanapata maarifa yanayotakiwa na wanaoweza kusaidia nchi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uomAPC7ODxI/XoY11y5sFkI/AAAAAAALl4Q/pQPS00T2RbgNZ8uAnRbpz-wfRVilINOWwCLcBGAsYHQ/s72-c/151c9933-4228-4e24-a744-23471cfdf42e.jpg)
PROF NDALICHAKO AFUNGUKA MATUMIZI YA DOLA MILIONI 500 ZA BENKI YA DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-uomAPC7ODxI/XoY11y5sFkI/AAAAAAALl4Q/pQPS00T2RbgNZ8uAnRbpz-wfRVilINOWwCLcBGAsYHQ/s640/151c9933-4228-4e24-a744-23471cfdf42e.jpg)
Hayo yamesemwa jijini Dodoma na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako wakati akizungumzia mradi huo ambapo amesema pamoja na kujenga miundombinu ya shule mradi huo utatoa mafunzo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mt4o0riPyCU/Xu3sZ88XMOI/AAAAAAALuvA/LuwDKvYDmDsagTWSdpD8M2LEsIg_WFXigCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-20%2Bat%2B8.31.54%2BAM.jpeg)
PROF NDALICHAKO AKAGUA MAENDELEO UKARABATI CHUO CHA UALIMU MPWAPWA KILICHOGHARIMU BILIONI 2.8
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imesema imeamua kuwekeza kwenye katika uboreshaji wa miundombinu ya Taasisi za Elimu ili kuongeza fursa ya upatikanaji wa elimu kwa watanzania walio wengi.
Kauli hiyo imetolewa wilayani Mpwapwa, Dodoma na Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako wakati alipofanya ziara ya kutembelea Chuo cha Ualimu Mpwapwa.
Katika ziara hiyo Prof Ndalichako amekagua maendeleo ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu katika chuo hiko ambao umegharimu zaidi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xXmUlGYYdPA/Xum7dJWaGxI/AAAAAAALuLE/kiIT7369sAY5YlFwo7tKWgQyPXIzvAgdgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B9.38.40%2BAM.jpeg)
PROF NDALICHAKO ATANGAZA RASMI RATIBA YA MITIHANI NA MASOMO, ATAKA TAHADHARI YA CORONA IZINGATIWE
KUFUATIA Rais Dk John Magufuli jana kutangaza kufungua Shule zote ifikapo Juni 29, leo Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako ametangaza ratiba ya masomo na mitihani kwa ajili ya kukamilisha mwaka wa masomo.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma, Waziri Ndalichako amesema muhula wa kwanza wa masomo utamalizika Agosti 28 mwaka huu na kuanza kwa muhula mpya utakaoishia Desemba 18 mwaka huu.
Prof Ndalichako amesema ili kukamilisha muhtasari...
5 years ago
MichuziPROF.NDALICHAKO AWEKA JIWE LA MSINGI (TAEC) AWAMU YA PILI YA UJENZI WA MAHABARA 8 ZA KIUCHUNGUZI UTAKAOGAHARIMU SH.BIL 10.4
Mkurugenzi mkuu wa Tume ya nguvu za Atomiki Tanzania Prof.Lazaro Busagala, Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof.Joyce Ndalichako ameweka jiwe la msingi katika awamu ya pili katika Tume hiyo iliyopo Mkoani Arusha
Dr.Remigius Kawala Mkurugenzi wa ufundi na huduma za Taasisi akimpa maelezo kwa Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof.Joyce Ndalichako namna ya kuandaa sampuli na kuchakata matokeo ya viasili vya mionzi kwenye mazingira,akipotembelea maabara na kukagua maendeleo ya ujenzi
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10