PROF NDALICHAKO ATANGAZA RASMI RATIBA YA MITIHANI NA MASOMO, ATAKA TAHADHARI YA CORONA IZINGATIWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-xXmUlGYYdPA/Xum7dJWaGxI/AAAAAAALuLE/kiIT7369sAY5YlFwo7tKWgQyPXIzvAgdgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B9.38.40%2BAM.jpeg)
Charles James, Michuzi TV
KUFUATIA Rais Dk John Magufuli jana kutangaza kufungua Shule zote ifikapo Juni 29, leo Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako ametangaza ratiba ya masomo na mitihani kwa ajili ya kukamilisha mwaka wa masomo.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma, Waziri Ndalichako amesema muhula wa kwanza wa masomo utamalizika Agosti 28 mwaka huu na kuanza kwa muhula mpya utakaoishia Desemba 18 mwaka huu.
Prof Ndalichako amesema ili kukamilisha muhtasari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-_FNj4QjTAnc/XunJYvXFD_I/AAAAAAAC7wY/EPhqvB4bze0DngbR0Mb7ko4001VcRY6VgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpeg)
WAZIRI WA ELIMU PROF. NDALICHAKO ATANGAZA RATIBA ZA MITIHANI NA MASOMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_FNj4QjTAnc/XunJYvXFD_I/AAAAAAAC7wY/EPhqvB4bze0DngbR0Mb7ko4001VcRY6VgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpeg)
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma, Waziri Ndalichako amesema muhula wa kwanza wa masomo utamalizika Agosti 28 mwaka huu na kuanza kwa muhula mpya utakaoishia Desemba 18 mwaka huu.
Prof Ndalichako amesema ili kukamilisha muhtasari wa masomo shule...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w8kbQhNph8k/Xuioh4koyjI/AAAAAAALuAg/_R3wZn7l1CsLmDdbaFUvS0tQ7G-G35RegCLcBGAsYHQ/s72-c/ndalii%2Bed.jpg)
LEO SITALALA HADI RATIBA ZA MITIHANI YOTE IKAMILIKE -PROFESA NDALICHAKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-w8kbQhNph8k/Xuioh4koyjI/AAAAAAALuAg/_R3wZn7l1CsLmDdbaFUvS0tQ7G-G35RegCLcBGAsYHQ/s640/ndalii%2Bed.jpg)
Ametumia pia nafasi hiyo kueleza kuwa kwa sasa hali ni shwari na uamuzi wa shule kufunguliwa Juni 2020 umemfurahisha hivyo wanafunzi wajiandae na mchakamchaka wa masomo utakaoanza...
5 years ago
BBCSwahili01 Jun
Virusi vya corona: Shule zinachukua tahadhari gani wakati wanafunzi wanapoanza tena masomo?
5 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ATAKA WATANZANIA WASITISHANE KUHUSU CORONA NA BADALA YAKE WACHUKUE TAHADHARI
Mhe. Rais Magufuli amesema hayo leo tarehe 22 Machi, 2020 alipohudhuria Ibada ya Jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba, Jimbo Kuu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_kmIgF44HsI/XncWFs0J2hI/AAAAAAALksY/3XYyCzvrZCwLcAXmDsuzk7jyJQRTbT2dACLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
Rais Magufuli ataka Watanzania wasitishane na badala yake wachukue tahadhari dhidi ya Corona
Mhe. Rais Magufuli amesema hayo leo tarehe 22 Machi, 2020 alipohudhuria Ibada ya Jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba, Jimbo Kuu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DMO_sw2q9UI/XodLbI0h14I/AAAAAAALl9M/LGnLeYlJwsAC2Tk8Qdk1hJ2SH5vmD3rvACLcBGAsYHQ/s72-c/proftibaijuka.jpg)
WABUNGE WATOA YA MOYONI JANGA LA CORONA, PROF. TIBAIJUKA ATAKA TIBA MBADALA ITUMIKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-DMO_sw2q9UI/XodLbI0h14I/AAAAAAALl9M/LGnLeYlJwsAC2Tk8Qdk1hJ2SH5vmD3rvACLcBGAsYHQ/s400/proftibaijuka.jpg)
WABUNGE wameendelea kutoa maoni na ushauri kwa Serikali kuhusu hatua inaweza kuzichukua kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19(Corona) huku Mbunge wa Muleba Kusini Profesa Anna Tibajuka akitaka tiba mbadala nayo itumike kwenye kukabiliana na ugonjwa huo.
Wakizungumza Bungeni Mjini Dodoma kwa nyakati tofauti leo Aprili 3 mwaka 2020, wabunge ambao wamepata nafasi ya kuchangia hotuba ya Waziri Mkuu, wametumia nafasi hiyo kutoa maoni yao kuhusu janga la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uomAPC7ODxI/XoY11y5sFkI/AAAAAAALl4Q/pQPS00T2RbgNZ8uAnRbpz-wfRVilINOWwCLcBGAsYHQ/s72-c/151c9933-4228-4e24-a744-23471cfdf42e.jpg)
PROF NDALICHAKO AFUNGUKA MATUMIZI YA DOLA MILIONI 500 ZA BENKI YA DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-uomAPC7ODxI/XoY11y5sFkI/AAAAAAALl4Q/pQPS00T2RbgNZ8uAnRbpz-wfRVilINOWwCLcBGAsYHQ/s640/151c9933-4228-4e24-a744-23471cfdf42e.jpg)
Hayo yamesemwa jijini Dodoma na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako wakati akizungumzia mradi huo ambapo amesema pamoja na kujenga miundombinu ya shule mradi huo utatoa mafunzo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FAVRxp5y-eI/Xkg4sprKj8I/AAAAAAALdgc/pDWswrxmxpc7qSGrnba1n3GE-1fuH_NfgCLcBGAsYHQ/s72-c/dcbf8941-1e6d-44b8-ac08-ba9a39510198.jpg)
PROF NDALICHAKO AWATAKA WATENDAJI KUSIMAMIA VIZURI FEDHA ZA MIRADI YA ELIMU
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako ametoa rai kwa watendaji wa Taasisi zilizo chini ya wizara yake kusimamia vizuri fedha za miradi ya Elimu inayotelekezwa katika maeneo yao ili ikamilike kwa wakati na ubora.
Waziri Ndalichako ametoa rai hiyo Jijini Dar es Salaam wakati akizinduzia Jengo la Utawala la Chuo Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) lililokarabatiwa na kuongeza ukubwa ambapo amesema Serikali imekuwa ikitoa fedha nyingi za miradi lakini haikamiliki...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mt4o0riPyCU/Xu3sZ88XMOI/AAAAAAALuvA/LuwDKvYDmDsagTWSdpD8M2LEsIg_WFXigCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-20%2Bat%2B8.31.54%2BAM.jpeg)
PROF NDALICHAKO AKAGUA MAENDELEO UKARABATI CHUO CHA UALIMU MPWAPWA KILICHOGHARIMU BILIONI 2.8
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imesema imeamua kuwekeza kwenye katika uboreshaji wa miundombinu ya Taasisi za Elimu ili kuongeza fursa ya upatikanaji wa elimu kwa watanzania walio wengi.
Kauli hiyo imetolewa wilayani Mpwapwa, Dodoma na Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako wakati alipofanya ziara ya kutembelea Chuo cha Ualimu Mpwapwa.
Katika ziara hiyo Prof Ndalichako amekagua maendeleo ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu katika chuo hiko ambao umegharimu zaidi ya...