RC KILIMANJARO AKUTANA NA WATENDAJI WA SERIKALI KATIKA KIKAO CHA UTENDAJI KAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-FCJu8maLCdc/VlvXBdkfczI/AAAAAAAAXK4/f1eDrcEYqTU/s72-c/IMG_9719%2B%25281024x683%2529.jpg)
KATIKA kutekeleza kauli mbiu ya Rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,John Magufuli ya “Hapa Kazi tu” serikali mkoani Kilimanjaro imetangaza kusitisha likizo na ruhusa zote kwa watumishi wake katika kipindi cha siku kuu za Krismasi na mwaka mpya.
Agizo hilo linakuja wakati tayari baadhi ya watumishi wa serikali kuanza taratibu za kuomba likizo na ruhusa kwa ajili ya kwenda kushiriki siku kuu za mwisho wa mwaka za Krismasi na mwaka mpya.
.Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Amos...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ggKCCg1n4_w/VARwUcq-W7I/AAAAAAAGZ3s/hlfXMcCMLn8/s72-c/image.jpeg)
KIKAO KAZI CHA WATENDAJI WA SHIRIKA LA MAGEREZA NA GEPF CHAENDELEA LEO MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ggKCCg1n4_w/VARwUcq-W7I/AAAAAAAGZ3s/hlfXMcCMLn8/s1600/image.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3hPL1wRPVbI/VARwVPbsw2I/AAAAAAAGZ30/kOGWCIVurxY/s1600/image_1.jpeg)
11 years ago
MichuziMabadiliko ya mfumo wa Serikali katika utendaji kazi kupata mafanikio haraka
Mfumo wa BRN unaweka wazi malengo pamoja na kuainisha uwajibikaji kwa kila mshiriki mmoja au taasisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pNwHPmIrX7U/XmDcR3tjAnI/AAAAAAALhKY/WnWWnIz8Wk4v_m0HLQrrVz48z6rq3oMawCLcBGAsYHQ/s72-c/GY3A2920.jpg)
KUAHIRISHWA KIKAO KAZI CHA MAAFISA MAWASILIANO WA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pNwHPmIrX7U/XmDcR3tjAnI/AAAAAAALhKY/WnWWnIz8Wk4v_m0HLQrrVz48z6rq3oMawCLcBGAsYHQ/s320/GY3A2920.jpg)
Kikao kazi hicho ambacho hufanyika kila mwaka ili kuwajengea uwezo Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali namna ya kutangaza shughuli za Serikali na kuhakikisha, Idara na Vitengo vya Mawasiliano na Uhusiano Serikalini vinaimarishwa ili...
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Rais Kikwete kuwa Mgeni rasmi katika Kikao cha kazi cha Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu Msingi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Hawa A. Ghasia akiwakaribisha wajumbe wa Kikao kazi cha Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu Msingi kinachofanyika katika ukumbi wa Chimwaga, Chuo Kikuu cha Dodoma kuanzia tarehe 01-03 Oktoba, 2014. Lengo la kikao hicho ni kuainisha Mafanikio na Changamoto katika utekelezaji wa Matokeo Makubwa Sasa katika Sekta ya Elimu.
Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI kwa kushirikiana na Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo wameandaa kikao cha kazi kuhusu...
10 years ago
Michuzi16 Mar
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Serikali ibuni mifumo bora ya utendaji kazi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YIGzx3EjFsk/Xr07StdcyNI/AAAAAAALqNE/eCQuklRZTNIYttV3oEwd5M946by6lgGdwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-4-768x512.jpg)
SERIKALI YARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA BODI ZA PAROLE NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-YIGzx3EjFsk/Xr07StdcyNI/AAAAAAALqNE/eCQuklRZTNIYttV3oEwd5M946by6lgGdwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-4-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-1-1-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mhe. Hamad Masauni(Mb) akitoa hotuba katika hafla fupi ya uzinduzi wa Bodi ya Taifa Parole Taifa, leo Mei 14, 2020 katika Ukumbi wa Chuo cha Mipango, jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-2-1024x683.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10