KUAHIRISHWA KIKAO KAZI CHA MAAFISA MAWASILIANO WA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pNwHPmIrX7U/XmDcR3tjAnI/AAAAAAALhKY/WnWWnIz8Wk4v_m0HLQrrVz48z6rq3oMawCLcBGAsYHQ/s72-c/GY3A2920.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi anawataarifu Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini pamoja na wadau wengine kuwa Kikao Kazi kilichotarajiwa kufanyika tarehe 9 hadi 13 Machi 2020, Jijini Mbeya kimeahirishwa.
Kikao kazi hicho ambacho hufanyika kila mwaka ili kuwajengea uwezo Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali namna ya kutangaza shughuli za Serikali na kuhakikisha, Idara na Vitengo vya Mawasiliano na Uhusiano Serikalini vinaimarishwa ili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog31 Jan
Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara afunga kikao kazi cha Maafisa Mawasiliano
Wawasilishaji kutoka kampuni ya PUSH OBSERVER wakiwaeleza maafisa mawasiliano huduma wanazotoa ikiwamo ufuatiliaji wa taarifa mbalimbali kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii pia utoaji wa taarifa wa jumbe kupitia mitandao ya simu(Bulk messages).
Mwenyekiti wa Muda wa Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini (TAGCO) Bw. Innocent Mungy akitoaa taarifa futi ya utekelezaji wa kazi wa chama hicho kwa Maafisa Mawasiliano wakati wa ufungaji wa kikao kazi cha Maafisa ha oleo Mkoani...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4zmgpJGavKk/VMYwrGbWdaI/AAAAAAAG_ik/IKfT-P9nuvU/s72-c/4.jpg)
Dkt. Fennela Afungua Kikao Kazi cha Maafisa Mawasiliano Serikalini na Wahariri wa Vyombo vya Habari
![](http://1.bp.blogspot.com/-4zmgpJGavKk/VMYwrGbWdaI/AAAAAAAG_ik/IKfT-P9nuvU/s1600/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1cA6DiNpLP0/VMYwrX8t49I/AAAAAAAG_jM/vd4bKyK6l0s/s1600/5.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FCJu8maLCdc/VlvXBdkfczI/AAAAAAAAXK4/f1eDrcEYqTU/s72-c/IMG_9719%2B%25281024x683%2529.jpg)
RC KILIMANJARO AKUTANA NA WATENDAJI WA SERIKALI KATIKA KIKAO CHA UTENDAJI KAZI
Agizo hilo linakuja wakati tayari baadhi ya watumishi wa serikali kuanza taratibu za kuomba likizo na ruhusa kwa ajili ya kwenda kushiriki siku kuu za mwisho wa mwaka za Krismasi na mwaka mpya.
.Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Amos...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-h1Z7J1ahcO0/VLAmG7qihJI/AAAAAAAG8TY/IrCClciv93U/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Jan
Bi. Sihaba Nkinga azindua chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini (TAGCO)
Mwenyekiti wa Muda wa Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini(TAGCO) Bw. Innocent Mungy akisoma Taarifa fupi ya Chama hicho kabla ya uzinduzi jana Mjini Mtwara.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea na Maafisa habari Kabla ya Kuzindua Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini(TAGCO) ambapo aliwataka kuwa na umoja na Mshikamano ili kujijenga na kukiendeleza chama hicho kitakachosaidia kukuza taaluma na weledi katika utendaji wa kazi jana Mjini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fbClbZZKmsk/XmlHkL5odYI/AAAAAAALirE/bfq3OEqfFosQa1pVf1zJQnYbwAO82EEEwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200311-WA0046.jpg)
MAAFISA MAWASILIANO WA WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA WATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO INAYOFADHILIWA NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO - MAEKANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-fbClbZZKmsk/XmlHkL5odYI/AAAAAAALirE/bfq3OEqfFosQa1pVf1zJQnYbwAO82EEEwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200311-WA0046.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IG8adaUeeZg/XmlHj34n3bI/AAAAAAALirA/vqZkSzWgqagwaKg46zeYYo0fxZselt36gCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200311-WA0049.jpg)
10 years ago
MichuziKIKAO CHA MAAFISA WAANDAMIZI WA JESHI LA MAGEREZA NCHINI CHAANZA LEO MKOANI MOROGORO