Mabadiliko ya mfumo wa Serikali katika utendaji kazi kupata mafanikio haraka
Ofisi ya Rais - Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi (OR- UUM) imetoa taarifa kwa umma kuwa utekelezaji wa mfumo wa – Big Results Now ! (BRN) unaendelea vizuri. Mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) unaweka utaratibu thabiti wa kufuatilia na kutathimini utekelezaji wa miradi katika maeneo sita ya kimkakati kitaifa (Kilimo, Elimu, Maji, Nishati , Uchukuzi na Utafutaji wa Rasilimali).
Mfumo wa BRN unaweka wazi malengo pamoja na kuainisha uwajibikaji kwa kila mshiriki mmoja au taasisi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Apr
Tunahitaji mabadiliko ya mfumo haraka iwezekanavyo
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FCJu8maLCdc/VlvXBdkfczI/AAAAAAAAXK4/f1eDrcEYqTU/s72-c/IMG_9719%2B%25281024x683%2529.jpg)
RC KILIMANJARO AKUTANA NA WATENDAJI WA SERIKALI KATIKA KIKAO CHA UTENDAJI KAZI
Agizo hilo linakuja wakati tayari baadhi ya watumishi wa serikali kuanza taratibu za kuomba likizo na ruhusa kwa ajili ya kwenda kushiriki siku kuu za mwisho wa mwaka za Krismasi na mwaka mpya.
.Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Amos...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Serikali ibuni mifumo bora ya utendaji kazi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YIGzx3EjFsk/Xr07StdcyNI/AAAAAAALqNE/eCQuklRZTNIYttV3oEwd5M946by6lgGdwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-4-768x512.jpg)
SERIKALI YARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA BODI ZA PAROLE NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-YIGzx3EjFsk/Xr07StdcyNI/AAAAAAALqNE/eCQuklRZTNIYttV3oEwd5M946by6lgGdwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-4-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-1-1-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mhe. Hamad Masauni(Mb) akitoa hotuba katika hafla fupi ya uzinduzi wa Bodi ya Taifa Parole Taifa, leo Mei 14, 2020 katika Ukumbi wa Chuo cha Mipango, jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-2-1024x683.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VQuQhlD_M0s/XmlGOQv9ZvI/AAAAAAALiqw/39GjovLacykchPqj9MjCfsdMXufi8q8ywCLcBGAsYHQ/s72-c/JPEG.-NA.-1-768x512.jpg)
SERIKALI YARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI MFUKO WA MAWASILIANO KWA WOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-VQuQhlD_M0s/XmlGOQv9ZvI/AAAAAAALiqw/39GjovLacykchPqj9MjCfsdMXufi8q8ywCLcBGAsYHQ/s640/JPEG.-NA.-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/JPEG.-NA.-2-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (katikati) akisisitiza jambo kwa Meneja Mtandao wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wa Mkoa wa Songwe, Castuly Puka (wa pili kushoto) baada ya kuzindua mnara wa...
10 years ago
Vijimambo01 Apr
PSPF kushirikiana na bloggers katika utendaji kazi wao
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0199.jpg)
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/DSCF7732.jpg)
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0125.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Serikali imefanikiwa kuboresha utendaji kazi wa utumishi wa umma kwa kuendesha mikutano kupitia njia ya video (TEHAMA)
Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma HAB Mkwizu wa kwanza kushoto mstari wa mbele akiongoza kikao kazi kupitia njia ya video kwa makatibu tawala wa mikoa na wasaidizi wao, wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa na wakuu wa idara za utawala na rasilimali watu katika mamlaka za serikali za mitaa kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Kagera, Tanga,Tabora,Manyara, Morogoro, Rukwa na Katavi kilichofanyika jana kwenye ukumbi wa Wakala wa Mafunzo kwa Mtandao iliyopo...