PSPF kushirikiana na bloggers katika utendaji kazi wao
Ofisa Uhusiano wa Mfuko wa PSPF, Abdul Njahidi (kulia) akiwaonesha baadhi ya wawakilishi wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na watangazaji wa Clouds FM baadhi ya tuzo walizozitwaa kutokana na huduma bora wanazozitoa kwa wateja wao.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa PSPF, Adam Mayingu (mbele) akizungumza wakati baadhi ya wanachama wa Tanzania Bloggers Network walipotembelea ofisi hizo jijini Dar es Salaam. Wengine ni baadhi ya maofisa wa PSPF.
Mkurugenzi wa Uendeshaji PSPF, Neema Muro (kulia)...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Maamuzi mabovu na utendaji mbaya wa kazi wawapelekea wenyekiti kumchukulia hatua mwenyekiti wao wa kijiji
Wanafunzi katika shule ya msingi Shenda wakiwa wamekaa kwenye moja ya darasa lililosakafiwa.
Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na kilio toka kwa wananchi kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma unaofanywa na viongozi waliowachagua pasipo kuchukua hatua zozote. Ukimya huu wa wananchi ndio unaosababisha kilio hicho kuendelea kukuwa kila siku. Ila vilio hivi huishaga pale tu wananchi wanapoamua kwa dhati kuchukua hatua, kama walivyofanya wananchi wa kijiji cha Shenda. Shenda ni moja kati ya vijiji...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y5vDf2xmS0Q/VRJ8w_5lgZI/AAAAAAAHND4/gnsl_k2azVw/s72-c/1.jpg)
MWENDESHA MASHTAKA MKUU WA DARFUR,SUDAN ATEMBELEA MAHAMAKA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU,ASIFU UTENDAJI KAZI WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y5vDf2xmS0Q/VRJ8w_5lgZI/AAAAAAAHND4/gnsl_k2azVw/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-10QcHu9dsWo/VRJ8w5VTaAI/AAAAAAAHND0/g-oSEH06-hk/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oFX-I_aqkJU/VRJ8w_hNWXI/AAAAAAAHNDw/yeqUrKeuWG4/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZwiJttOY8Cw/VJJ9HOiFCDI/AAAAAAAG4Co/x8Lpe0OwGyE/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
WIZARA YA KAZI ZANZIBAR KWA KUSHIRIKIANA NA (ILO) YAZINDUA KITABU CHA SHERIA ZA KAZI KATIKA LUGHA NYEPESI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZwiJttOY8Cw/VJJ9HOiFCDI/AAAAAAAG4Co/x8Lpe0OwGyE/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VkRn0ALDvrg/VJJ9HIKGluI/AAAAAAAG4Cw/Sog9_ncjZLw/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
11 years ago
MichuziMabadiliko ya mfumo wa Serikali katika utendaji kazi kupata mafanikio haraka
Mfumo wa BRN unaweka wazi malengo pamoja na kuainisha uwajibikaji kwa kila mshiriki mmoja au taasisi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FCJu8maLCdc/VlvXBdkfczI/AAAAAAAAXK4/f1eDrcEYqTU/s72-c/IMG_9719%2B%25281024x683%2529.jpg)
RC KILIMANJARO AKUTANA NA WATENDAJI WA SERIKALI KATIKA KIKAO CHA UTENDAJI KAZI
Agizo hilo linakuja wakati tayari baadhi ya watumishi wa serikali kuanza taratibu za kuomba likizo na ruhusa kwa ajili ya kwenda kushiriki siku kuu za mwisho wa mwaka za Krismasi na mwaka mpya.
.Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Amos...
11 years ago
MichuziMAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MJINI MOSHI (MUWSA) YAFANYA TATHMINI YA UTENDAJI KAZI KATIKA SIKU 360
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Hapa kazi tu na utendaji kazi wa staili ya jeshi la mtu mmoja
RAIS wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli ameanza kazi kwa staili ambayo si mpya hapa nchini.
Yahya Msangi
11 years ago
MichuziOFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA YAKUTANISHA WADAU KUTOA MAONI KUHUSU MIKATABA YA UTENDAJI KAZI KATIKA TAASISI ZA UMMA