MWENDESHA MASHTAKA MKUU WA DARFUR,SUDAN ATEMBELEA MAHAMAKA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU,ASIFU UTENDAJI KAZI WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y5vDf2xmS0Q/VRJ8w_5lgZI/AAAAAAAHND4/gnsl_k2azVw/s72-c/1.jpg)
Afisa Habari Mwandamizi wa Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu(AfCPHR)Sukhdev Chatbar(kulia)akizungumza na Waendesha Mashtaka kutoka Darfur nchini Sudan waliotembelea Mahakama hiyo kujifunza namna inavyotekeleza wajibu wake.
Msajili wa Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu,AfCHPR)Dk Robert Enno(kushoto)akimsikiliza Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Jimbo la Darfur,Sudan,Yassir Ahmed Mohammed.
Msajili wa Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu,AfCHPR)Dk Robert Enno(kushoto)akinzungumza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sdzCm2mQasc/VijHV3LT17I/AAAAAAAAE50/JAikOfuvPG8/s72-c/1.jpg)
MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU YAADHIMISHA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU AFRIKA JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sdzCm2mQasc/VijHV3LT17I/AAAAAAAAE50/JAikOfuvPG8/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1jiUFRYnO2s/VijHclt6wII/AAAAAAAAE58/VpaB20eNO_8/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HwLSGqa5iPA/VijHzxQEmKI/AAAAAAAAE6E/QO2UWhpIRX8/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ou7FyjdMc4A/VNvGX3xsRmI/AAAAAAAHDLQ/rEIqBsQgVo4/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI PIA ATEMBELEA OFISI YA TUME ZA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ou7FyjdMc4A/VNvGX3xsRmI/AAAAAAAHDLQ/rEIqBsQgVo4/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yU_AFfMHT50/VNvGX84cnmI/AAAAAAAHDLM/P1zyi8NaHes/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF atembelea banda la PPF kujionea utendaji kazi wa PPF katika maonyesho ya Sabasaba
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio akisalimiana na mmoja wa wafanyakazi wa Mfuko huo wakati alipotembelea Banda laa PPF kujionea utendaji kazi wa Wafanyakazi wake katika maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam yanayoendelea kufanyika katika Viwanja vya Mwl Nyerere.
Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio akiteta jambo na wafanyakazi wa PPF wakati alipotembelea Banda la PPF kujionea utendaji kazi wa Wafanyakazi wake. Kulia ni...
11 years ago
GPLMKURUGENZI MKUU WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF, MH WILLIAM ERIO ATEMBELEA BANDA LA PPF KUJIONEA UTENDAJI KAZI WA PPF KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
10 years ago
Vijimambo01 Apr
PSPF kushirikiana na bloggers katika utendaji kazi wao
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0199.jpg)
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/DSCF7732.jpg)
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0125.jpg)
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Tume ya Haki za Binadamu na DIGNITY wafanya semina juu elimu kuhusu haki za binadamu!!
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akielezea mambo mbalimbali katika semina hiyo. kulia kwake ni afisa kutoka DIGNITY, Bi. Brenda Van Den Bergh. (Picha zote na Mpiga picha wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora).
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Tume ya haki za binadamu na utawala bora ikishirikiana na Taasisi ya haki za binadamu kutoka Denmark (DIGNITY) wamefanya semina inayohusu haki za binadamu kwa kutoa elimu kwa asasi mbalimbali kuhusu...
9 years ago
Dewji Blog31 Dec
Dk.Harrisson Mwakyembe atembelea tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini!!
Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dk Harrisson Mwakyembe akizungumza na wafanyakazi (hawapo pichani) wa Tume alipofanya ziara katika Ofisi hizo. Wanamsikiliza pembeni yake kwa bashasha (kulia) ni Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mheshimiwa Bahame Nyanduga na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Iddi Mapuri.
Na Mbaraka Kambona,
Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dk Harrisson Mwakyembe ameitembelea Tume ya Haki za Binadamu...
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Mwendesha mashtaka Uturuki auawa
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Haki za Binadamu Afrika, kusikilizwa?