Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwendesha mashtaka Uturuki auawa

Mwendesha mashitaka wa Uturuki ameuawa baada ya kuzuiwa mateka katika mahakama moja mjini Istanbul

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mwendesha mashitaka auawa Uganda

Watu wenye silaha wamemuua kiongozi wa mashiataka katika kesi ya ugaidi nchini Uganda, Joan Kagezi

 

11 years ago

Habarileo

Mwendesha bodaboda auawa kwa mapanga

MWENDESHA bodaboda, mkazi wa Kijiji cha Korotambe Kata ya Mwema wilayani Tarime, Nyang'era Kirutu Chacha (40) ameuawa baada ya kupigwa mapanga katika kijiji cha Magena akidaiwa kuwa mwizi wa mifugo.

 

10 years ago

Michuzi

MWENDESHA MASHTAKA MKUU WA DARFUR,SUDAN ATEMBELEA MAHAMAKA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU,ASIFU UTENDAJI KAZI WAO

Afisa Habari Mwandamizi wa Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu(AfCPHR)Sukhdev Chatbar(kulia)akizungumza na Waendesha Mashtaka kutoka Darfur nchini Sudan waliotembelea Mahakama hiyo kujifunza namna inavyotekeleza wajibu wake.Msajili wa Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu,AfCHPR)Dk Robert Enno(kushoto)akimsikiliza Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Jimbo la Darfur,Sudan,Yassir Ahmed Mohammed.Msajili wa Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu,AfCHPR)Dk Robert Enno(kushoto)akinzungumza...

 

10 years ago

Habarileo

Mwendesha pikipiki auawa kwa kutatuliwa tumbo

Kamanda wa Polisi Tabora, Suzan KagandaMWENDESHA pikipiki ameuawa na watu wasiofahamika kwa tumbo lake kutatuliwa na visu hadi utumbo ukatoka nje na mwili wake kutelekezwa eneo la makaburi ya Ipuli mjini Tabora .

 

9 years ago

Mwananchi

Mwendesha bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri

Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumchinja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda, Hosam Abdallahaman (18) na kutoweka na kichwa chake, sehemu zake za siri na pikipiki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa mashtaka auawa Argentina

Kiongozi wa mashtaka nchini Argentine amepatikana amefariki ndani ya nyumba yake mjini Buenos Aires, baada ya kumshutumu rais

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa mashtaka nchini Misri auawa

Kiongozi wa mashtaka nchini Misri Hisham Barakat amefariki kutokana na majeraha aliopata baada ya bomu kulipua gari lake mjini Cairo.

 

10 years ago

Vijimambo

Kiongozi wa mashtaka nchini Misri auawa-BBC

Hisham Barakat afariki
Kiongozi wa mashtaka nchini Misri Hisham Barakat ameuawa kutokana na majeraha aliopata baada ya bomu kulipua gari lake mjini Cairo.

Msafara wa Bwana Barakat ulishambuliwa ulipokuwa ukipitia katika wilaya ya Heliopolis.

Nguvu za shambulio hilo ziliharibu baadhi ya nyumba na maduka.Walinzi wawili wa bwana Barakat pia walijeruhiwa.Bomu lalipua gari la Hisham Barakat
Bwana Barakat amekuwa akipendekeza mamia ya wapiganaji hao kufunguliwa mashtaka tangu kupinduliwa kwa rais...

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.


************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani