Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiongozi wa mashtaka nchini Misri auawa-BBC

Hisham Barakat afariki
Kiongozi wa mashtaka nchini Misri Hisham Barakat ameuawa kutokana na majeraha aliopata baada ya bomu kulipua gari lake mjini Cairo.

Msafara wa Bwana Barakat ulishambuliwa ulipokuwa ukipitia katika wilaya ya Heliopolis.

Nguvu za shambulio hilo ziliharibu baadhi ya nyumba na maduka.Walinzi wawili wa bwana Barakat pia walijeruhiwa.Bomu lalipua gari la Hisham Barakat
Bwana Barakat amekuwa akipendekeza mamia ya wapiganaji hao kufunguliwa mashtaka tangu kupinduliwa kwa rais...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa mashtaka nchini Misri auawa

Kiongozi wa mashtaka nchini Misri Hisham Barakat amefariki kutokana na majeraha aliopata baada ya bomu kulipua gari lake mjini Cairo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa mashtaka ajeruhiwa Misri

Maafisa wa usalama nchini Misri wanasema kuwa shambulio katika mji mkuu, Cairo, limemjeruhi kiongozi wa mashtaka, Hisham Barakat.

 

10 years ago

GPL

KIONGOZI WA MASHTAKA MISRI AFARIKI BAADA YA KUJERUHIWA KWENYE SHAMBULIO

Magari yaliyokuwa katika msafara wa Hisham Barakat baada ya kushambuliwa kwa bomu. Mojawapo ya gari likiwa limeharibiwa vibaya baada ya shambulio. Dereva huyu alinusurika…

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi auawa nchini Misri

Brigedia Jenerali wa jeshi la polisi nchini Misri ameuawa katika milipuko miwili tofauti iliyotokea kwa wakati mmoja karibu na chuo kikuu cha Cairo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al Qaeda nchini Yemen auawa

Tawi la kundi la Al Qaeda nchini Yemen limethibitisha kuuawa kwa kiongozi wake na ndege isiyokuwa na rubani ya Marekani

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwendesha mashtaka Uturuki auawa

Mwendesha mashitaka wa Uturuki ameuawa baada ya kuzuiwa mateka katika mahakama moja mjini Istanbul

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa mashtaka auawa Argentina

Kiongozi wa mashtaka nchini Argentine amepatikana amefariki ndani ya nyumba yake mjini Buenos Aires, baada ya kumshutumu rais

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Brotherhood mahakamani Misri

Kiongozi wa vuguvugu la Muslim Brotherhood, amefikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza tangu kukamatwa kwake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al shabab auawa Somalia

Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema imethibitisha kuwa shambulio la ndege la wiki iliyopita nchini Somalia dhidi ya Al Shabab.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani