Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiongozi wa Brotherhood mahakamani Misri

Kiongozi wa vuguvugu la Muslim Brotherhood, amefikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza tangu kukamatwa kwake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Muslim Brotherhood ahakumiwa

Mahakama moja nchini Misri imempatia kifungo cha maisha kiongozi wa Muslim Brotherhood Mohammed Badie na wanachama wengine 36

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Brotherhood afungwa maisha

Mahakama moja nchini Misri imempatia kifungo cha maisha kiongozi wa Muslim Brotherhood Mohammed Badie

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Muslim Brotherhood kunyongwa

Wakili mmoja nchini Misri ameiambia BBC kwamba mahakama imezingatia hukumu ya kifo cha wanachama 182 wa Muslim Brotherhood .

 

11 years ago

GPL

KIONGOZI WA BROTHERHOOD AHUKUMIWA KIFO

Baadhi ya jamaa wa watuhumiwa waliohukumiwa kifo walizirai baada ya kupokea taarifa. Baadhi ya jamaa wa watuhumiwa waliohukumiwa kifo walizirai baada ya kupokea taarifa
Jaji wa mahakama nchini Misri, amewahukumu kifo watu 683 akiwemo kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie. Mawakili wa watuhumiwa wanasema kuwa wateja wao walikabiliwa na makosa mengi yakiwemo, kushambulia kituo cha polisi mjini Minya mwaka 2013...

 

10 years ago

BBCSwahili

Pigo kwa Muslim Brotherhood Misri

Kiongozi wa kundi lililopigwa marufuku nchini Misri, Muslim Brotherhood amehukumiwa adhabu ya kifo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Morsi afikishwa mahakamani Misri

Aliyekuwa Rais wa Misri Mohammed Morsi amefikishwa mahakamani kwa mara nyingine kujibu tuhuma za kuchochea mauaji ya waandamanaji 2012

 

11 years ago

BBCSwahili

Morsi kufika mahakamani Misri

Mohammed Morsi anashatakiwa kwa kosa la mauaji na kuchochea mauaji ya waandamanaji waliopinga uongozi wake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanahabari kufikishwa mahakamani Misri

Waandishi habari 20 wakiwemo 4 wa kigeni wanatarajiwa kufikishwa mahakamani leo mjini Cairo, Misri baada ya kuhusihwa na ugaidi

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa mashtaka ajeruhiwa Misri

Maafisa wa usalama nchini Misri wanasema kuwa shambulio katika mji mkuu, Cairo, limemjeruhi kiongozi wa mashtaka, Hisham Barakat.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani