Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Morsi afikishwa mahakamani Misri

Aliyekuwa Rais wa Misri Mohammed Morsi amefikishwa mahakamani kwa mara nyingine kujibu tuhuma za kuchochea mauaji ya waandamanaji 2012

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Morsi kufika mahakamani Misri

Mohammed Morsi anashatakiwa kwa kosa la mauaji na kuchochea mauaji ya waandamanaji waliopinga uongozi wake.

 

10 years ago

Vijimambo

LIPUMBA AFIKISHWA MAHAKAMANI

 Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba akiwa kwenye kizimba cha mahakama tayari kusomewa shitaka linalomkabili. Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, akiwa kwenye chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo mchana wakati alipofika kusomewa shitaka la kesi yake ya jinai kwa kuwashawishi wafuasi wake kufanya fujo baada ya kutiwa mbaroni jana alipokuwa akiongoza maandamano ya wanachama wa CUF. Mwenyekiti wa Chama cha Wanachi CUF, Prof Ibrahim haruna Lipumba akiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Yeriko Nyerere afikishwa mahakamani

Mfanyabiashara,  Yeriko Yohanesy Nyerere amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka matano ya kutoa taarifa za upotoshaji kupitia mtandao wa Facebook.

 

10 years ago

BBCSwahili

Profesa Lipumba afikishwa mahakamani

Mwenyekiti wa chama cha CUF nchini Tanzania Ibrahim Lipumba amefikishwa mahakamani kwa kuandamana kinyume cha sheria

 

9 years ago

Mwananchi

Masha afikishwa mahakamani Kisutu leo

Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha leo amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam baada ya kukamatwa jana jioni.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sambo Dasuki afikishwa mahakamani Abuja

Aliyekuwa mshauri wa kitaifa wa ulinzi nchini Nigeria afikishwa mahakamani na kufunguliwa mashtaka ya kumiliki silaha bila idhini

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Morsi kuendelea Misri

Vikosi vya usalama vimeimarisha ulinzi katika mji mkuu wa Misri, Cairo , kabla ya kufikishwa mahakamani kwa rais aliyeng'olewa madarakani , Mohammed Morsi.

 

9 years ago

GPL

LAWRENCE MASHA AFIKISHWA MAHAKAMANI JIJINI DAR

Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Lawrence Masha . Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Mwanachama wa CHADEMA, Lawrence Masha jana alikamatwa na Jeshi la Polisi, leo amefikishwa Mahakama ya Kisutu Jijini Dar Anashtakiwa kwa kosa la kuzuia Polisi wasitimize majukumu yao(Obstructrion of Justice)

 

10 years ago

BBCSwahili

Misri:Marekani yapinga Morsi kunyongwa

Marekani imeelezea kutoridhishwa kwake na kauli ya kuhukumiwa kunyongwa kwa aliyekuwa rais wa Misri Mohamed Morsi hapo jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani