Misri:Marekani yapinga Morsi kunyongwa
Marekani imeelezea kutoridhishwa kwake na kauli ya kuhukumiwa kunyongwa kwa aliyekuwa rais wa Misri Mohamed Morsi hapo jana.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 May
Misri:aliyekuwa rais Morsi kunyongwa
10 years ago
StarTV18 May
Mohammed Morsi ahukumiwa kunyongwa.
Mahakama moja nchini Misri imetoa amri ya kunyongwa kwa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi.
Mahakama hiyo ilimpata na hatia aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Morsi kufuatia kuvunjwa kwa magereza mwaka wa 2011.
Kauli hii ni msumari katika kidonda cha Morsi ambaye alikuwa tayari anatumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kuamrisha kukamatwa kwa waandamanaji waliopinga utawala wake.
Morsi aling’olewa mamlakani na jeshi mwezi Julai mwaka wa 2013 kufuatia kipindi kirefu cha maandamano dhidi...
11 years ago
BBCSwahili01 Feb
Morsi afikishwa mahakamani Misri
11 years ago
BBCSwahili08 Jan
Kesi ya Morsi kuendelea Misri
9 years ago
BBCSwahili30 Aug
Misri yapinga malalamiko ya kesi
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Morsi kufika mahakamani Misri
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Misri: Muhammad Morsi ahukumiwa Kifo
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Watu 26 kunyongwa Misri kwa Ugaidi
10 years ago
BBCSwahili06 Sep
Morsi ashtakiwa kwa kutoa siri za Misri