Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Misri yapinga malalamiko ya kesi

Wizara vya mashauri ya kigeni nchini Mirsi imepinga lawama za kimataifa kufuatia kuhukumiwa kwa waandishi watatu wa Al Jazeera.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Misri:Marekani yapinga Morsi kunyongwa

Marekani imeelezea kutoridhishwa kwake na kauli ya kuhukumiwa kunyongwa kwa aliyekuwa rais wa Misri Mohamed Morsi hapo jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

UK yapinga kesi ya mpelelezi mkuu Rwanda

Mahakama ya Uingereza imekataa mpango wa kumsafirisha hadi nchini Uhispania afisa mkuu wa idara ya upelelezi wa Rwanda ili ashtakiwe na jukumu alilochukua wakati wa mauaji ya kimbari ya mwaka 1994.

 

11 years ago

BBCSwahili

Facebook yapinga kesi kuhusu data

Facebook ililazimishwa kuwasilisha data kuhusu wateja wake waliodaiwa kuhusika na uhalifu

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Morsi kuendelea Misri

Vikosi vya usalama vimeimarisha ulinzi katika mji mkuu wa Misri, Cairo , kabla ya kufikishwa mahakamani kwa rais aliyeng'olewa madarakani , Mohammed Morsi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Al Jazeera Misri yarejelewa

Wakuu wa mahakama Misri wameamua kurudia kesi ya waandishi wa habari wawili wa Al Jazeera walioko bado kifungoni

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Greste na wenzake kurudiwa Misri

Mahakama ya juu nchini Misri imeamuru kurudiwa kwa kesi ya waandishi watatu

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Mubarak yaahirishwa nchini Misri

Kesi inayomkabili aliyekuwa rais wa Misri kuhusu mashtaka ya ufisadi na mauaji ya waandamanaji mwaka 2011 imeahirishwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya watu 700 imeanza Misri

Kesi dhidi ya wafuasi 700 wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi, imeanza kusikilizwa baada ya wengine 528 kuhukumiwa kifo Jumatatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Isreal yapinga ripoti ya AI

Shirika la kutetea haki za kibinadamu la Amnesty International linasema kuwa, kuna ushahidi wa kutosha kuwa, Israeli ilitekeleza uhalifu wa kivita pale ilipojibu shambulio la kutekwa nyara kwa askari wake mmoja mwaka jana wakati wa mzozo huko Gaza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani