Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi ya Greste na wenzake kurudiwa Misri

Mahakama ya juu nchini Misri imeamuru kurudiwa kwa kesi ya waandishi watatu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Misri yamfungua Peter Greste

Mwandishi wa habari wa Al Jazeera, Peter Greste, aachiliwa huru na serikali ya Misri

 

10 years ago

Habarileo

Kesi ya Kazembe na wenzake yaahirishwa

KESI ya mauaji inayomkabili Ofisa Usalama wa Taifa, Mohammed Kazembe na wenzake watatu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirishwa hadi Septemba 16 mwaka huu.

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya Madabida, wenzake kutajwa leo

KESI ya kusambaza dawa bandia za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) inayomkabili Ofisa Mtendaji Mkuu wa kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida, inatajwa leo. Kesi hiyo inatajwa mbele ya Hakimu Mkazi, Nyigulila Mwaseba wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ili kuangalia kama upelelezi umekamilika au la!.

 

9 years ago

Mwananchi

DC , wenzake watatu wakutwa na kesi ya kujibu

Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Chato mkoani Geita, Yona Wilson amesema Mkuu wa Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, Hadija Nyembo na wenzake watatu wana kesi ya kujibu ya ubadhirifu wa pembejeo za kilimo na matumizi mabaya ya madaraka.

 

10 years ago

GPL

KESI YA MRAMBA NA WENZAKE KUSIKILIZWA JUMATATU

Basil Mramba akibadilishana mawazo na anayedaiwa kuwa wakili wa kesi hiyo  muda mchache kabla ya kesi hiyo kusogezwa mpaka  tarehe 6 mwezi wa 7 kwa jili ya hukumu. Basili Mramba,Daniel Yona,Agrey Mgonja mwingine hakufahamika jina lake wakijadili jambo kabla ya kusomewa hukumu yao ambayo imeahirishwa mpaka tarehe 6 mwezi wa 7. Daniel Yona,… ...

 

10 years ago

Vijimambo

KESI YA MRAMBA NA WENZAKE KUSIKILIZWA JUMATATU


Basili Mramba,Daniel Yona,Agrey Mgonja mwingine hakufahamika jina lake wakijadili jambo kabla ya kusomewa hukumu yao ambayo imeahirishwa mpaka tarehe 6 mwezi wa 7.
Daniel Yona, Agrey Mgonja wakisubiria hatima ya kesi yao inayowakabili katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar.
Ndugu na jamaa waliofika mahakamani hapo kusikiliza hukumu hiyo.
Mramba na wenzake wakijadili kabla ya hukumu yao ambayo imeahirishwa tenaDaniel Yona,Agrey Mgonja na Basil Mramba.
Kesi ya matumizi mabaya ya fedha za serikali ya...

 

10 years ago

GPL

KESI YA HALIMA MDEE, WENZAKE KUENDELEA KESHO

Mwenyekiti wa BAWACHA, Halima Mdee (mwenye nguo nyekundu) akitoka mahakamani.
...Akisalimiana na Ofisa wa Oparesheni wa Kinondoni, Emmanuel Tille (mwenye tai) ambaye ni shahidi upande wa jeshi la polisi. KESI inayowakabili…

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA SIRO ATOA USHAHIDI WAKE KATIKA KESI YA MH. MDEE NA WENZAKE

Na Mwene Said wa Blog ya Jamii, Dar es Salaam
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeambiwa na Naibu Kamishna wa Polisi, Kamanda Simon Siro (54), ambaye amedai mahakamani kwamba alitoa zuio la kuandamana kwenda Ikulu kwa Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) kwa sababu maandamano hayo yangesababisha uvunjifu wa amani.
Alitoa madai hayo, wakati akitoa ushahidi dhidi ya Mbunge Halima Mdee na wenzake, kwamba baada ya kupitia vigezo vya kiusalama, njia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Al Jazeera Misri yarejelewa

Wakuu wa mahakama Misri wameamua kurudia kesi ya waandishi wa habari wawili wa Al Jazeera walioko bado kifungoni

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani