Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KESI YA HALIMA MDEE, WENZAKE KUENDELEA KESHO

Mwenyekiti wa BAWACHA, Halima Mdee (mwenye nguo nyekundu) akitoka mahakamani.
...Akisalimiana na Ofisa wa Oparesheni wa Kinondoni, Emmanuel Tille (mwenye tai) ambaye ni shahidi upande wa jeshi la polisi. KESI inayowakabili…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YAAGIZA Halima MDEE NA WENZAKE KUHUDHURIA KESI YAO INAPOPANGWA KUSIKILIZWA

Mbunge wa Jimbo la Kawe,  Mhe Halima Mdee
Habari na Mwene Said wa Globu ya Jamii  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeagiza Mbunge wa Jimbo la Kawe,  Mhe Halima Mdee (35) na wenzake wawili kufika mahakamani ili iweze kuanza kusikiliza kesi inayowakabili ya kupinga amri halali ya Jeshi la Polisi na kukusanyika isivyo halali kwa lengo la kwenda Ikulu.  Amri hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi Janeth Kaluyenda baada ya upande wa Jamhuri kudai kuwa mshtakiwa wa kwanza Mdee,...

 

10 years ago

Habarileo

Halima Mdee, wenzake wapandishwa Kisutu

MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake wanne walisomewa maelezo ya awali jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo walikubali kuwa wafuasi wa Chadema na kwamba wanafahamiana.

 

10 years ago

GPL

HALIMA MDEE NA WENZAKE WAENDELEA KUSOTA RUMANDE

Mdee (wa nne kulia) na watuhumiwa wenzake wakielekea mahakamani. Watuhumiwa wakishuka chumba cha mahakama.…

 

5 years ago

CCM Blog

HALIMA MDEE AKUTWA NA KESI YA KUIBU


Mbunge wa Kawe, Halima Mdee anayekabiliwa na kesi ya uchochezi wa kutoa maneno ya kuudhi dhidi ya Rais John Magufuli, amekutwa na kesi ya kujibu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Hatua hiyo inatokana na uamuzi uliotolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba.Hakimu Simba amesema kuwa mahakama hiyo imemkuta Mdee na kesi ya kujibu na kwamba anatakiwa kuwasilisha utetezi wake mahakamani hapo.Uamuzi huo umetokana na Upande wa Mashtaka kufunga ushahidi wake Februari 20, 2020 .Mdee kupitia...

 

9 years ago

Mwananchi

Kesi ya Halima Mdee yapigwa kalenda

Kesi inayomkabili Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe, Halima Mdee na wenzake nane iliyokuwa isikilizwe kesho, sasa itasikilizwa Oktoba 8, 2015 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA SIRO ATOA USHAHIDI WAKE KATIKA KESI YA MH. MDEE NA WENZAKE

Na Mwene Said wa Blog ya Jamii, Dar es Salaam
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeambiwa na Naibu Kamishna wa Polisi, Kamanda Simon Siro (54), ambaye amedai mahakamani kwamba alitoa zuio la kuandamana kwenda Ikulu kwa Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) kwa sababu maandamano hayo yangesababisha uvunjifu wa amani.
Alitoa madai hayo, wakati akitoa ushahidi dhidi ya Mbunge Halima Mdee na wenzake, kwamba baada ya kupitia vigezo vya kiusalama, njia...

 

10 years ago

Habarileo

Halima Mdee rumande

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (35) na wanachama wenzake wanane wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana walipelekwa rumande baada ya kushindwa kukamilisha taratibu za dhamana katika kesi inayowakabili ya kutotii amri halali ya Polisi na kufanya mkusanyiko bila kibali.

 

10 years ago

Tanzania Daima

JK amzimia Halima Mdee

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), jana aligeuka kivutio kikubwa katika hafla ya uzinduzi wa barabara ya Mwenge hadi Tegeta. Katika uzinduzi huo uliofanyika jana jijini Dar es salaam, Mdee,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Halima Mdee ngangari

JESHI la Polisi jana lilitembeza mkong’oto na kuwakamata makada na viongozi wa Baraza la Wanawake wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), waliokuwa wakiandamana kwenda Ikulu Mwenyekiti wa Bawacha, Halima...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani