Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAHAKAMA YAAGIZA Halima MDEE NA WENZAKE KUHUDHURIA KESI YAO INAPOPANGWA KUSIKILIZWA

Mbunge wa Jimbo la Kawe,  Mhe Halima Mdee
Habari na Mwene Said wa Globu ya Jamii  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeagiza Mbunge wa Jimbo la Kawe,  Mhe Halima Mdee (35) na wenzake wawili kufika mahakamani ili iweze kuanza kusikiliza kesi inayowakabili ya kupinga amri halali ya Jeshi la Polisi na kukusanyika isivyo halali kwa lengo la kwenda Ikulu.  Amri hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi Janeth Kaluyenda baada ya upande wa Jamhuri kudai kuwa mshtakiwa wa kwanza Mdee,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KESI YA HALIMA MDEE, WENZAKE KUENDELEA KESHO

Mwenyekiti wa BAWACHA, Halima Mdee (mwenye nguo nyekundu) akitoka mahakamani.
...Akisalimiana na Ofisa wa Oparesheni wa Kinondoni, Emmanuel Tille (mwenye tai) ambaye ni shahidi upande wa jeshi la polisi. KESI inayowakabili…

 

10 years ago

Habarileo

Halima Mdee, wenzake wapandishwa Kisutu

MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake wanne walisomewa maelezo ya awali jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo walikubali kuwa wafuasi wa Chadema na kwamba wanafahamiana.

 

10 years ago

GPL

HALIMA MDEE NA WENZAKE WAENDELEA KUSOTA RUMANDE

Mdee (wa nne kulia) na watuhumiwa wenzake wakielekea mahakamani. Watuhumiwa wakishuka chumba cha mahakama.…

 

10 years ago

GPL

KESI YA MRAMBA NA WENZAKE KUSIKILIZWA JUMATATU

Basil Mramba akibadilishana mawazo na anayedaiwa kuwa wakili wa kesi hiyo  muda mchache kabla ya kesi hiyo kusogezwa mpaka  tarehe 6 mwezi wa 7 kwa jili ya hukumu. Basili Mramba,Daniel Yona,Agrey Mgonja mwingine hakufahamika jina lake wakijadili jambo kabla ya kusomewa hukumu yao ambayo imeahirishwa mpaka tarehe 6 mwezi wa 7. Daniel Yona,… ...

 

10 years ago

Vijimambo

KESI YA MRAMBA NA WENZAKE KUSIKILIZWA JUMATATU


Basili Mramba,Daniel Yona,Agrey Mgonja mwingine hakufahamika jina lake wakijadili jambo kabla ya kusomewa hukumu yao ambayo imeahirishwa mpaka tarehe 6 mwezi wa 7.
Daniel Yona, Agrey Mgonja wakisubiria hatima ya kesi yao inayowakabili katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar.
Ndugu na jamaa waliofika mahakamani hapo kusikiliza hukumu hiyo.
Mramba na wenzake wakijadili kabla ya hukumu yao ambayo imeahirishwa tenaDaniel Yona,Agrey Mgonja na Basil Mramba.
Kesi ya matumizi mabaya ya fedha za serikali ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Kesi ya Halima Mdee yapigwa kalenda

Kesi inayomkabili Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe, Halima Mdee na wenzake nane iliyokuwa isikilizwe kesho, sasa itasikilizwa Oktoba 8, 2015 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

5 years ago

CCM Blog

HALIMA MDEE AKUTWA NA KESI YA KUIBU


Mbunge wa Kawe, Halima Mdee anayekabiliwa na kesi ya uchochezi wa kutoa maneno ya kuudhi dhidi ya Rais John Magufuli, amekutwa na kesi ya kujibu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Hatua hiyo inatokana na uamuzi uliotolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba.Hakimu Simba amesema kuwa mahakama hiyo imemkuta Mdee na kesi ya kujibu na kwamba anatakiwa kuwasilisha utetezi wake mahakamani hapo.Uamuzi huo umetokana na Upande wa Mashtaka kufunga ushahidi wake Februari 20, 2020 .Mdee kupitia...

 

11 years ago

Michuzi

Kesi inayomkabili Mkurugenzi wa zamani wa Tanesco,Willam Mhando na Wenzake kusikilizwa Agosti 26

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imesema itaanza kusikiliza ushahidi wa upande wa Jamhuri dhidi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando, mke wake Eva Mhando, na wenzao watatu, Agosti 26, mwaka huu.
Mhando na wenzake wanakabiliwa na mashitaka sita ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka, kughushi na kujipatia Sh. Milioni 31.7 kwa njia ya udanganyifu.
Kesi ilipangwa kusikilizwa ushahidi huo, Julai 29 na 30, mwaka huu mbele ya Hakimu Mkazi...

 

10 years ago

Mwananchi

Mahakama yampa onyo Mdee wenzake

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewataka wadhamini wa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (35) na washtakiwa wenzake kuwa makini na ratiba zao ili kuepuka kuchelewesha kesi inayowakabili mahakamani hapo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani