Kesi inayomkabili Mkurugenzi wa zamani wa Tanesco,Willam Mhando na Wenzake kusikilizwa Agosti 26
![](http://3.bp.blogspot.com/-EpSywlLn9cg/U9p1uuVagkI/AAAAAAAF8Es/VBsJKkoM5HE/s72-c/wmhando.jpg)
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imesema itaanza kusikiliza ushahidi wa upande wa Jamhuri dhidi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando, mke wake Eva Mhando, na wenzao watatu, Agosti 26, mwaka huu.
Mhando na wenzake wanakabiliwa na mashitaka sita ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka, kughushi na kujipatia Sh. Milioni 31.7 kwa njia ya udanganyifu.
Kesi ilipangwa kusikilizwa ushahidi huo, Julai 29 na 30, mwaka huu mbele ya Hakimu Mkazi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKESI YA MRAMBA NA WENZAKE KUSIKILIZWA JUMATATU
10 years ago
Vijimambo04 Jul
KESI YA MRAMBA NA WENZAKE KUSIKILIZWA JUMATATU
Basili Mramba,Daniel Yona,Agrey Mgonja mwingine hakufahamika jina lake wakijadili jambo kabla ya kusomewa hukumu yao ambayo imeahirishwa mpaka tarehe 6 mwezi wa 7.
Daniel Yona, Agrey Mgonja wakisubiria hatima ya kesi yao inayowakabili katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar.
Ndugu na jamaa waliofika mahakamani hapo kusikiliza hukumu hiyo.
Mramba na wenzake wakijadili kabla ya hukumu yao ambayo imeahirishwa tena
Kesi ya matumizi mabaya ya fedha za serikali ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ewGePZYcc7M/U-tqT6sdbiI/AAAAAAAF_N4/XR2UMtSC15c/s72-c/1.jpg)
Kesi ya epa kusikilizwa Agosti 25 na 29, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-ewGePZYcc7M/U-tqT6sdbiI/AAAAAAAF_N4/XR2UMtSC15c/s1600/1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Men6UZNCvSI/U4SeKzJZBvI/AAAAAAAFlew/EP-nRTmOyZY/s72-c/mhando1.jpg)
ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TANESCO WILLIAM MHANDO, MKEWE NA WENZAO WATATU KIZIMBANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Men6UZNCvSI/U4SeKzJZBvI/AAAAAAAFlew/EP-nRTmOyZY/s1600/mhando1.jpg)
Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Mahakamani
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando, mke wake Eva Mhando, na wenzao watatu, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na mashitaka sita ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka, kughushi na kujipatia Sh. Milioni 31.7 kwa njia ya udanganyifu. Kadhalika, Mhando anakabiliwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa kuipa zabuni Kampuni ya Santa Clara Supplies Ltd, huku akijua ana...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GO9Gkc7pmsg/VEYv9ecKBeI/AAAAAAAGsK8/y9G8-Yw8t0g/s72-c/halima_mdee.jpg)
MAHAKAMA YAAGIZA Halima MDEE NA WENZAKE KUHUDHURIA KESI YAO INAPOPANGWA KUSIKILIZWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GO9Gkc7pmsg/VEYv9ecKBeI/AAAAAAAGsK8/y9G8-Yw8t0g/s1600/halima_mdee.jpg)
Habari na Mwene Said wa Globu ya Jamii Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeagiza Mbunge wa Jimbo la Kawe, Mhe Halima Mdee (35) na wenzake wawili kufika mahakamani ili iweze kuanza kusikiliza kesi inayowakabili ya kupinga amri halali ya Jeshi la Polisi na kukusanyika isivyo halali kwa lengo la kwenda Ikulu. Amri hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi Janeth Kaluyenda baada ya upande wa Jamhuri kudai kuwa mshtakiwa wa kwanza Mdee,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c3y6OoNNacc/Xk1EikRxmlI/AAAAAAALeXA/6fk0FpKwg5ouyBo7h3mhclOR0kDUO1VqACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA YASHINDWA KUSOMA HUKUMU YA KESI YA KUZUIA POLISI KUFANYA KAZI INAYOMKABILI MKURUGENZI JAMII FORUMS
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa mara nyingine tena imeshindwa kusoma hukumu ya kesi ya kuzuia Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi, inayomkabili, Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jamii Forums Maxence Melo na mwenzake Micke William kwa sababu Hakimu aliyesikiliza kesi hiyo leo amepata udhuru.
Kwa mara ya kwanza kesi hiyo ilipangwa kutolewa hukumu Novemba 26, mwaka 2019 lakini iliahirishwa kutokana na Hakimu kutomaliza kuandaa hukumu na kupanga...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*o1BjZKmwQRemORlPUVyPv-gvs6Pa05BP8AXDd0YzW9is1dHiVE7e-Krh4P3m-2roMuEZcY0zMZdPmjmah42EGN/1.jpg?width=650)
MKURUGENZI WA ZAMANI WA TANESCO, MKEWE WAPANDISHWA KIZIMBANI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hw5cAyb55U8/UyB_Zw8AP9I/AAAAAAAFTKI/R2xjFggrrvI/s72-c/IMG_6467.jpg)
Mkurugenzi wa zamani wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11 wasomea upya mashtaka 27 ya mauji katika ajali ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa 16,jijini dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-hw5cAyb55U8/UyB_Zw8AP9I/AAAAAAAFTKI/R2xjFggrrvI/s1600/IMG_6467.jpg)
Mbali na Fuime washtakiwa wengine ni, Diwani wa Kata ya Goba, Ibrahim Mohamed maarufu kama Kisoki, Raza Ladha, Goodluck Mbanga, Willbroad Mugyabuso,Mohamed Abdulkarim, Charles Ogare, Zonazea Oushoudada, Vedasto Ruhale,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HeDtoxwJYEs/XmnXJajJ_mI/AAAAAAALitw/7pbKQ6-LlZkcGX2uRZZJbfqoqSW7IgSRQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp-Image-2020-03-09-at-17.33.52-292x375.jpeg)
KESI INAYOMKABILI KIGOGO WA CCM YAAHIRISHWA TENA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HeDtoxwJYEs/XmnXJajJ_mI/AAAAAAALitw/7pbKQ6-LlZkcGX2uRZZJbfqoqSW7IgSRQCLcBGAsYHQ/s320/WhatsApp-Image-2020-03-09-at-17.33.52-292x375.jpeg)
Masunga anashtakiwa kwa Kosa la kuchukua fedha za Abdallah Majura Bulembo, kwa njia ya udanganyifu,...