Kesi ya Mubarak yaahirishwa nchini Misri
Kesi inayomkabili aliyekuwa rais wa Misri kuhusu mashtaka ya ufisadi na mauaji ya waandamanaji mwaka 2011 imeahirishwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili30 Nov
Mubarak:Raia waandamana Misri
Vikosi vya usalama nchini Misri vimepambana na waandamanaji 2000 karibu na eneo la Tahrir Square mjini Cairo.
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Wanawe Mubarak waachiliwa Misri
Wana wawili wa kiume wa aliyekuwa Rais wa Misri Hosni Mubarak, wameondoka gerezani.
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Mubarak akana kuamrisha mauaji Misri.
Aliyekuwa rais wa Misri Hosni Mubarak amekana kuamrisha mauaji ya waandamanji Misri mwaka wa 2011.
10 years ago
BBCSwahili09 May
Mubarak na wanawe wafungwa miaka 3 Misri
Mahakama ya uhalifu ya Misri imetoa hukumu ya kifungo cha miaka mitatu, kwa rais wa zamani, Hosni Mubarak, na watoto wake wawili
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Raia Misri wapinga hukumu ya Mubarak
Polisi nchini Misri wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji wanaopinga hatua ya mahakama nchini humo.
5 years ago
BBCSwahili25 Feb
Hosini Mubarak: Je alikuwa kiongozi wa aina gani Misri?
Hosni Mubarak alikuwa kiongozi aliyeunga mkono amani na Israel lakini akapinduliwa madarakani na raia wake.
5 years ago
BBCSwahili25 Feb
Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak afariki dunia
Mubarak aliondolewa madarakani kwa mapinduzi 2011.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3NXuNKEIr3w/XlV7pOcYN_I/AAAAAAALfbI/cr8nHaoci7EKesyVVV54D2O2jYichP09ACLcBGAsYHQ/s72-c/_111026786_44c51fd1-9752-4798-9abd-33e27c9ba0c5.jpg)
Rais wa Misri Hosni Mubarak afariki akiwa na umri wa miaka 91
![](https://1.bp.blogspot.com/-3NXuNKEIr3w/XlV7pOcYN_I/AAAAAAALfbI/cr8nHaoci7EKesyVVV54D2O2jYichP09ACLcBGAsYHQ/s640/_111026786_44c51fd1-9752-4798-9abd-33e27c9ba0c5.jpg)
Mubarak alidumu madarakani kwa miongo mitatu kabla ya kung'atuliwa jeshi baada ya maandamano makubwa ya raia.
Alikutwa na hatia ya kula njama katika mauaji ya waandamanaji wakati wa mapinduzi na kuwekwa kizuizini.
Hata hivyo, hatia hiyo iliondolewa na akaachiwa huru mwezi Machi 2017.
Kifo chake kimethibitishwa na Televisheni ya taifa ya Misri leo Jumanne. Mapema tovuti ya Al-Watan iliripoti kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Kesi ya ghorofa yaahirishwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, jana imeahirisha kesi ya mauaji ya watu 27 kutokana na kuporomoka jengo la ghorofa 16, inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania