Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mubarak:Raia waandamana Misri

Vikosi vya usalama nchini Misri vimepambana na waandamanaji 2000 karibu na eneo la Tahrir Square mjini Cairo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Raia Misri wapinga hukumu ya Mubarak

Polisi nchini Misri wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji wanaopinga hatua ya mahakama nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawe Mubarak waachiliwa Misri

Wana wawili wa kiume wa aliyekuwa Rais wa Misri Hosni Mubarak, wameondoka gerezani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mubarak akana kuamrisha mauaji Misri.

Aliyekuwa rais wa Misri Hosni Mubarak amekana kuamrisha mauaji ya waandamanji Misri mwaka wa 2011.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mubarak na wanawe wafungwa miaka 3 Misri

Mahakama ya uhalifu ya Misri imetoa hukumu ya kifungo cha miaka mitatu, kwa rais wa zamani, Hosni Mubarak, na watoto wake wawili

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Mubarak yaahirishwa nchini Misri

Kesi inayomkabili aliyekuwa rais wa Misri kuhusu mashtaka ya ufisadi na mauaji ya waandamanaji mwaka 2011 imeahirishwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak afariki dunia

Mubarak aliondolewa madarakani kwa mapinduzi 2011.

 

5 years ago

BBCSwahili

Hosini Mubarak: Je alikuwa kiongozi wa aina gani Misri?

Hosni Mubarak alikuwa kiongozi aliyeunga mkono amani na Israel lakini akapinduliwa madarakani na raia wake.

 

5 years ago

Michuzi

Rais wa Misri Hosni Mubarak afariki akiwa na umri wa miaka 91

Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak afariki dunia hospitalini jijini Cairo akiwa na miaka 91.

Mubarak alidumu madarakani kwa miongo mitatu kabla ya kung'atuliwa jeshi baada ya maandamano makubwa ya raia.

Alikutwa na hatia ya kula njama katika mauaji ya waandamanaji wakati wa mapinduzi na kuwekwa kizuizini.

Hata hivyo, hatia hiyo iliondolewa na akaachiwa huru mwezi Machi 2017.

Kifo chake kimethibitishwa na Televisheni ya taifa ya Misri leo Jumanne. Mapema tovuti ya Al-Watan iliripoti kuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Jordan waandamana kupinga IS

Maelfu ya raia wa Jordan wameandamana mjini ,Amman,wakiunga mkono serikali yao katika vita dhidi ya kundi la Islamic State

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani