Mubarak akana kuamrisha mauaji Misri.
Aliyekuwa rais wa Misri Hosni Mubarak amekana kuamrisha mauaji ya waandamanji Misri mwaka wa 2011.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili30 Nov
Mubarak:Raia waandamana Misri
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Wanawe Mubarak waachiliwa Misri
10 years ago
BBCSwahili09 May
Mubarak na wanawe wafungwa miaka 3 Misri
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Raia Misri wapinga hukumu ya Mubarak
10 years ago
BBCSwahili27 Sep
Kesi ya Mubarak yaahirishwa nchini Misri
5 years ago
BBCSwahili25 Feb
Hosini Mubarak: Je alikuwa kiongozi wa aina gani Misri?
5 years ago
BBCSwahili25 Feb
Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak afariki dunia
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3NXuNKEIr3w/XlV7pOcYN_I/AAAAAAALfbI/cr8nHaoci7EKesyVVV54D2O2jYichP09ACLcBGAsYHQ/s72-c/_111026786_44c51fd1-9752-4798-9abd-33e27c9ba0c5.jpg)
Rais wa Misri Hosni Mubarak afariki akiwa na umri wa miaka 91
![](https://1.bp.blogspot.com/-3NXuNKEIr3w/XlV7pOcYN_I/AAAAAAALfbI/cr8nHaoci7EKesyVVV54D2O2jYichP09ACLcBGAsYHQ/s640/_111026786_44c51fd1-9752-4798-9abd-33e27c9ba0c5.jpg)
Mubarak alidumu madarakani kwa miongo mitatu kabla ya kung'atuliwa jeshi baada ya maandamano makubwa ya raia.
Alikutwa na hatia ya kula njama katika mauaji ya waandamanaji wakati wa mapinduzi na kuwekwa kizuizini.
Hata hivyo, hatia hiyo iliondolewa na akaachiwa huru mwezi Machi 2017.
Kifo chake kimethibitishwa na Televisheni ya taifa ya Misri leo Jumanne. Mapema tovuti ya Al-Watan iliripoti kuwa...
10 years ago
Mtanzania15 Aug
Mchange akana tuhuma za mauaji ya Dk. Slaa
![Aliyekuwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Habibu Mchange](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Habib-Mchage.jpg)
Aliyekuwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Habibu Mchange
GRACE SHITUNDU NA RAPHAEL NOLESCUS (TUDARCO)
ALIYEKUWA kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Habibu Mchange, ameibuka na kuponda hoja za kumuhusisha kupanga njama za kutaka kumuua Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa.
Alisema tuhuma hizo ni upuuzi na ni dalili ya kifo kwa chama hicho.
Hatua hiyo ya Mchange imekuja siku chache baada ya madiwani wawili wa Chadema Mkoa wa Shinyanga waliokuwa...