Kesi dhidi ya watu 700 imeanza Misri
Kesi dhidi ya wafuasi 700 wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi, imeanza kusikilizwa baada ya wengine 528 kuhukumiwa kifo Jumatatu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKESI YA MADAI DHIDI YA MAOFISA WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII KUDAIWA KUIFUNGA KLINIKI YA FOREPLAN HERBAL YAWAVUTA WATU WENG
10 years ago
BBCSwahili17 Aug
Wana Jihad wawauwa watu 700 Syria
Shirika la kibinaadamu nchin Syria limesema kuwa wapiganaji wa Islamic state wamewaua watu 700 wa kabila moja nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Joto kali lawaua watu 700 Pakistan
Waziri mkuu nchini Pakistan Nawaz Sharrif ametaka hatua za dharura kuchukuliwa huku idadi ya watu waliofariki kutokana na joto katika mkoa wa kusini wa Sindh ikifikia 700.
5 years ago
MichuziAirtel Tanzania yachangia sh. 700 milioni kwa wafanyakazi wa sekta ya afya dhidi ya mapambano ya COVID-19
(kushoto) mfano wa hundi ya shilingi milioni saba (TZS 700,000,000) ukiwa ni mchango wa Airtel Tanzania kuunga mkono serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mapambano dhidi ya virusi vya covid-19 (corona). Mchango uliotolewa na Airtel utatumika kununua vifaa kinga vitakavyosambazwa nchi nzima ili vitumike na...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4E-JB2WyMDQ/VcytA93NwjI/AAAAAAABTsc/E8RnTKQcJb0/s72-c/3a59cde0-41b8-11e5-9da2-e1a5aa2506c2_AP_823621262415.jpg)
WALIOKUFA MLIPUKO WA CHINA WAFIKIA WATU 50, MAJERUHI 700
![](http://1.bp.blogspot.com/-4E-JB2WyMDQ/VcytA93NwjI/AAAAAAABTsc/E8RnTKQcJb0/s640/3a59cde0-41b8-11e5-9da2-e1a5aa2506c2_AP_823621262415.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iGPexHxb8Q4/VcytDok459I/AAAAAAABTtA/ic5HTmBUF_E/s640/Part-HKG-Hkg10201885-1-1-0.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t0en-grhM6M/VcytC1OrLKI/AAAAAAABTso/gZPPOHL7Bqs/s640/3f308340-41b8-11e5-9da2-e1a5aa2506c2_AP_79637596873.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-luzbe7f1IDI/VcytCofyjBI/AAAAAAABTs8/-f-cPWHUXqI/s640/29e56b333610f1247e0f6a7067003e1b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ewj7fAAtwCg/VcytCgjJ3rI/AAAAAAABTsk/w7M6wkpYADo/s640/37257de0-41b8-11e5-9da2-e1a5aa2506c2_GettyImages-483769984.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HhWoeXHxfEE/VcytEUF-RdI/AAAAAAABTtE/zpNVexrwD74/s640/a2fd49d53607f1247e0f6a706700df53.jpg)
10 years ago
BBCSwahili08 Feb
Kesi ya Al Jazeera Misri yarejelewa
Wakuu wa mahakama Misri wameamua kurudia kesi ya waandishi wa habari wawili wa Al Jazeera walioko bado kifungoni
11 years ago
BBCSwahili08 Jan
Kesi ya Morsi kuendelea Misri
Vikosi vya usalama vimeimarisha ulinzi katika mji mkuu wa Misri, Cairo , kabla ya kufikishwa mahakamani kwa rais aliyeng'olewa madarakani , Mohammed Morsi.
9 years ago
BBCSwahili30 Aug
Misri yapinga malalamiko ya kesi
Wizara vya mashauri ya kigeni nchini Mirsi imepinga lawama za kimataifa kufuatia kuhukumiwa kwa waandishi watatu wa Al Jazeera.
10 years ago
BBCSwahili27 Sep
Kesi ya Mubarak yaahirishwa nchini Misri
Kesi inayomkabili aliyekuwa rais wa Misri kuhusu mashtaka ya ufisadi na mauaji ya waandamanaji mwaka 2011 imeahirishwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania