Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi dhidi ya watu 700 imeanza Misri

Kesi dhidi ya wafuasi 700 wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi, imeanza kusikilizwa baada ya wengine 528 kuhukumiwa kifo Jumatatu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KESI YA MADAI DHIDI YA MAOFISA WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII KUDAIWA KUIFUNGA KLINIKI YA FOREPLAN HERBAL YAWAVUTA WATU WENG

Mawakili kutoka Kampuni ya Kamanija and Company Advocates, wanao mtetea Dk. Juma Mwaka katika kesi ya madai iliyofunguliwa dhidi ya maofisa wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, wanaodaiwa kuifunga Kliniki ya ForePlan Herbal iliyopo Ilala, inayomilikiwa na Dk.Mwaka, wakizungumza na waandishi wa habari katika viwanja vya Mahakama ya Wilaya ya Ilala Dar es Salaam leo, mara baada ya kusikiliza kesi hiyo ambapo itatolewa uamuzi Novemba 26 mwaka huu iwapo kama upande wa jamhuri utaunganishwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wana Jihad wawauwa watu 700 Syria

Shirika la kibinaadamu nchin Syria limesema kuwa wapiganaji wa Islamic state wamewaua watu 700 wa kabila moja nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Joto kali lawaua watu 700 Pakistan

Waziri mkuu nchini Pakistan Nawaz Sharrif ametaka hatua za dharura kuchukuliwa huku idadi ya watu waliofariki kutokana na joto katika mkoa wa kusini wa Sindh ikifikia 700.

 

5 years ago

Michuzi

Airtel Tanzania yachangia sh. 700 milioni kwa wafanyakazi wa sekta ya afya dhidi ya mapambano ya COVID-19

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (katikati) alipokea kutoka kwa Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya Airtel Tanzania, Gabriel Malata
(kushoto) mfano wa hundi ya shilingi milioni saba (TZS 700,000,000) ukiwa ni mchango wa Airtel Tanzania kuunga mkono serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mapambano dhidi ya virusi vya covid-19 (corona). Mchango uliotolewa na Airtel utatumika kununua vifaa kinga vitakavyosambazwa nchi nzima ili vitumike na...

 

10 years ago

Vijimambo

WALIOKUFA MLIPUKO WA CHINA WAFIKIA WATU 50, MAJERUHI 700

 Mlipuko mkubwa uliotokea katika mji wa Tianjin kaskazini mwa China umeuwa watu 50 huku wengine wapatao 700 wakijeruhiwa. Moshi mweusi bado umetanda kutoka ghala hilo lililopo katika mji wa bandari wa Tianjin ambako milipuko ilitokea jana usiku.
 Mabweni ya wahamiaji yaliporomoka kutokana na milipuko hiyo. Video zilizowekwa katika mitandao ya kijamii zinaonyesha moto mkubwa na wingu kubwa la moshi lililotanda angani. Mlipuko huo mkubwa katika mji wa China Tianjin-ambao ni mji wa Bandari kuu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Al Jazeera Misri yarejelewa

Wakuu wa mahakama Misri wameamua kurudia kesi ya waandishi wa habari wawili wa Al Jazeera walioko bado kifungoni

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Morsi kuendelea Misri

Vikosi vya usalama vimeimarisha ulinzi katika mji mkuu wa Misri, Cairo , kabla ya kufikishwa mahakamani kwa rais aliyeng'olewa madarakani , Mohammed Morsi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Misri yapinga malalamiko ya kesi

Wizara vya mashauri ya kigeni nchini Mirsi imepinga lawama za kimataifa kufuatia kuhukumiwa kwa waandishi watatu wa Al Jazeera.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Mubarak yaahirishwa nchini Misri

Kesi inayomkabili aliyekuwa rais wa Misri kuhusu mashtaka ya ufisadi na mauaji ya waandamanaji mwaka 2011 imeahirishwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani