Kesi ya Morsi kuendelea Misri
Vikosi vya usalama vimeimarisha ulinzi katika mji mkuu wa Misri, Cairo , kabla ya kufikishwa mahakamani kwa rais aliyeng'olewa madarakani , Mohammed Morsi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili01 Feb
Morsi afikishwa mahakamani Misri
Aliyekuwa Rais wa Misri Mohammed Morsi amefikishwa mahakamani kwa mara nyingine kujibu tuhuma za kuchochea mauaji ya waandamanaji 2012
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Morsi kufika mahakamani Misri
Mohammed Morsi anashatakiwa kwa kosa la mauaji na kuchochea mauaji ya waandamanaji waliopinga uongozi wake.
10 years ago
BBCSwahili16 May
Misri:aliyekuwa rais Morsi kunyongwa
Aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Morsi amehukumiwa kunyongwa na mahakama mjini Cairo
10 years ago
BBCSwahili17 May
Misri:Marekani yapinga Morsi kunyongwa
Marekani imeelezea kutoridhishwa kwake na kauli ya kuhukumiwa kunyongwa kwa aliyekuwa rais wa Misri Mohamed Morsi hapo jana.
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Misri: Muhammad Morsi ahukumiwa Kifo
Mahakama moja nchini Misri imemhukumu kunyongwa rais wa zamani Muhammad Morsi, kwa kosa la kupanga njama ya kuvunja gereza
10 years ago
BBCSwahili06 Sep
Morsi ashtakiwa kwa kutoa siri za Misri
Mkuu wa mashtaka nchini Misri amemfungulia mashtaka Mohammed Morsi kwa kutoa stakhabadhi za siri za taifa hilo kwa Qatar.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo5feI*Ll5FNbTxOVyEp6gtIdtWOvN9ZSceXJzwQ7EDDwcL70SOd36sWSLoFE833jtLvX-h5PZPSL5atLQcbQopl/51ef89869d3c4.jpg?width=650)
RAIS WA ZAMANI WA MISRI MOHAMED MORSI KWENDA JELA MIAKA 20
Rais wa zamani wa Misri Bw. Mohamed Morsi.
Rais wa zamani wa Misri Bw. Mohamed Morsi amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa makosa ya kusababisha kuuliwa waandamanaji mwaka 2012. Korti ya makosa ya jinai mjini Cairo imetoa hukumu hiyo wakati Morsi na watuhumiwa wengine katika kesi hiyo, wengi wao wakiwa viongozi wa chama cha Udugu wa kiislam wakisimama ndani ya tundu la vigae katika ya ukumbi wa mahakama katika Chuo cha...
11 years ago
BBCSwahili28 Jan
Kesi ya Morsi kuwatorosha wafungwa
Aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Morsi anatarajiwa kufikishwa mahakamani kwa shitaka la kupanga njama ya kuwatorosha wafungwa wakati wa mapinduzi ya Hosni Mubarak
11 years ago
BBCSwahili16 Feb
Kesi ya Mohammed Morsi Kusikizwa hii leo
Aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Mosri atafika katika mahakama moja mjini Cairo ili kusikiza inayomkabili
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania