Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Morsi kufika mahakamani Misri

Mohammed Morsi anashatakiwa kwa kosa la mauaji na kuchochea mauaji ya waandamanaji waliopinga uongozi wake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Morsi afikishwa mahakamani Misri

Aliyekuwa Rais wa Misri Mohammed Morsi amefikishwa mahakamani kwa mara nyingine kujibu tuhuma za kuchochea mauaji ya waandamanaji 2012

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Morsi kuendelea Misri

Vikosi vya usalama vimeimarisha ulinzi katika mji mkuu wa Misri, Cairo , kabla ya kufikishwa mahakamani kwa rais aliyeng'olewa madarakani , Mohammed Morsi.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mbowe ashindwa kufika mahakamani


Na William Paul, Hai
MAHAKAMA ya Wilaya ya Hai, jana ilishindwa kuendelea na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, anayetuhumiwa kumshambulia mwangalizi  wa ndani wa uchaguzi mkuu.
Ilielezwa kuwa sababu ya kutoendelea kwa kesi hiyo ni mshitakiwa kutofika mahakamani.
Ilidaiwa kuwa, Mbowe alishindwa kufika mahakamani kutokana na kuharibika kwa gari alilokuwa akisafiria.
Mbele ya Hakimu Mfawidhi, Denis Mpelembwa, wakili wa utetezi, Issa Rajabu,  alidai mahakamani  kuwa mshitakiwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Misri: Muhammad Morsi ahukumiwa Kifo

Mahakama moja nchini Misri imemhukumu kunyongwa rais wa zamani Muhammad Morsi, kwa kosa la kupanga njama ya kuvunja gereza

 

10 years ago

BBCSwahili

Misri:Marekani yapinga Morsi kunyongwa

Marekani imeelezea kutoridhishwa kwake na kauli ya kuhukumiwa kunyongwa kwa aliyekuwa rais wa Misri Mohamed Morsi hapo jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Misri:aliyekuwa rais Morsi kunyongwa

Aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Morsi amehukumiwa kunyongwa na mahakama mjini Cairo

 

5 years ago

CCM Blog

WAFUASI WA CHADEMA MARUFUKU KUFIKA MAHAKAMANI


MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa amri kuwa  hakuna shabiki yetote atakayeruhusiwa kuingia mahakamani hapo kusikiliza rufaa iliyokatwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake saba kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Jaji Mfawidhi wa Kanda hiyo, Lameck Mlacha ametoa amri hiyo leo Aprili 28,2020 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.
Amri hiyo imetolewa ikiwa ni njia moja wapo ya kuepukana na mikusanyiko katika kipindi hiki ambacho...

 

10 years ago

BBCSwahili

Morsi ashtakiwa kwa kutoa siri za Misri

Mkuu wa mashtaka nchini Misri amemfungulia mashtaka Mohammed Morsi kwa kutoa stakhabadhi za siri za taifa hilo kwa Qatar.

 

9 years ago

Michuzi

Makala ya Sheria: KUMLAZIMISHA SHAHIDI KUFIKA MAHAKAMANI...


Na Bashir YakubKesi/shauri  lolote  iwe  jinai  au  madai  kuishinda  kwake   mara  nyingi  hutegemea  mambo  makuu  mawili. Kwanza  mashahidi ,pili  ushahidi. Mashahidi  siku  zote  ni  watu.  Hakuna  kitu  kinaweza  kuitwa  mashahidi  halafu  kisiwe  binadamu. Hii ni  tofauti  na  ushahidi. Ushahidi   si  lazima  wawe  binadamu.   Vitu hasa  vizibiti(exhibit)  ndivyo  huitwa  ushahidi. Nyaraka, mali,  vifaa,  na  kila  kitu  ambacho  mtu  anaweza kukitumia  mahakamani kuthibitisha  kile ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani