Mbowe ashindwa kufika mahakamani
Na William Paul, Hai
MAHAKAMA ya Wilaya ya Hai, jana ilishindwa kuendelea na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, anayetuhumiwa kumshambulia mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu.
Ilielezwa kuwa sababu ya kutoendelea kwa kesi hiyo ni mshitakiwa kutofika mahakamani.
Ilidaiwa kuwa, Mbowe alishindwa kufika mahakamani kutokana na kuharibika kwa gari alilokuwa akisafiria.
Mbele ya Hakimu Mfawidhi, Denis Mpelembwa, wakili wa utetezi, Issa Rajabu, alidai mahakamani kuwa mshitakiwa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TARUKDkBK7rTqI-8hIfvMEz50H2g84dkdbPM6oyYQGmeM5R7BTzfbu4iytMQCIzC7*Th1dYQq-peka6jTSYb4SJ5tUXsJWLC/13.gif)
PAPAA MSOFE AUGUA, ASHINDWA KUFIKA MAHAKAMANI, KESI YAKE YAAHIRISHWA
10 years ago
Vijimambo08 Oct
Mbowe akwama kwa mara ya nne kufika mahakamani
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mbowe--October8-2014.jpg)
Mbowe anadaiwa kumshambulia mwangalizi huyo, Nassir Yamin, katika Kijiji cha Nshara, Kata ya Machame Kusini, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimnajaro mwaka 2010.
Jana Mbowe alitakiwa kutoa utetezi wake mbele ya Hakimu Mfawidhi...
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Morsi kufika mahakamani Misri
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-lv6cBpLw9w8/XqfwlZSRJaI/AAAAAAALoc8/nPrMWy2lZn85hyJcD0pUGsVXuuY82xu1QCLcBGAsYHQ/s72-c/CHADEMA-LOGO.png)
WAFUASI WA CHADEMA MARUFUKU KUFIKA MAHAKAMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-lv6cBpLw9w8/XqfwlZSRJaI/AAAAAAALoc8/nPrMWy2lZn85hyJcD0pUGsVXuuY82xu1QCLcBGAsYHQ/s400/CHADEMA-LOGO.png)
Jaji Mfawidhi wa Kanda hiyo, Lameck Mlacha ametoa amri hiyo leo Aprili 28,2020 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.
Amri hiyo imetolewa ikiwa ni njia moja wapo ya kuepukana na mikusanyiko katika kipindi hiki ambacho...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8w_p-yEQHSQ/VjfBpknjZiI/AAAAAAAID-8/N6LTr44kWk8/s72-c/DSC07091.jpg)
Makala ya Sheria: KUMLAZIMISHA SHAHIDI KUFIKA MAHAKAMANI...
![](http://1.bp.blogspot.com/-8w_p-yEQHSQ/VjfBpknjZiI/AAAAAAAID-8/N6LTr44kWk8/s640/DSC07091.jpg)
Na Bashir YakubKesi/shauri lolote iwe jinai au madai kuishinda kwake mara nyingi hutegemea mambo makuu mawili. Kwanza mashahidi ,pili ushahidi. Mashahidi siku zote ni watu. Hakuna kitu kinaweza kuitwa mashahidi halafu kisiwe binadamu. Hii ni tofauti na ushahidi. Ushahidi si lazima wawe binadamu. Vitu hasa vizibiti(exhibit) ndivyo huitwa ushahidi. Nyaraka, mali, vifaa, na kila kitu ambacho mtu anaweza kukitumia mahakamani kuthibitisha kile ...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Mbowe kumburuza Zitto mahakamani
MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), anakusudia kumburuza mahakamani, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, kwa madai ya kumkashifu na kumchafulia jina. Kwa mujibu wa taarifa...
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Mbowe: Tutazuia uchaguzi wa Mitaa mahakamani ikiwa...
9 years ago
Habarileo25 Aug
Msenegali ashindwa kuibeba Simba
TIMU ya Simba ya Dar es Salaam jana ilishindwa kutamba mbele ya Mwadui ya Shinyanga baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyWG5yeFdaOt05mc8tXD45xIG3zL4e0DVcngHrHbjqdAxUG3H8Sl*vAg9DOTv-yxWQPQPsRHCMP1sM1meN3idFD8/Msaniii.jpg?width=650)
MSANII ALEWA ASHINDWA KUTEMBEA