Msenegali ashindwa kuibeba Simba
TIMU ya Simba ya Dar es Salaam jana ilishindwa kutamba mbele ya Mwadui ya Shinyanga baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Aug
Msenegali kikaangoni Simba
MSHAMBULIAJI anayewania kusajiliwa na Simba, Pape N’daw leo na kesho atakuwa na mtihani mkubwa wakati timu hiyo ya Mtaa wa Msimbazi, Kariakoo Dar es Salaam itakapocheza mechi mbili za kirafiki mjini hapa.
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Saa 48 hatari za Msenegali wa Simba
10 years ago
Mwananchi06 May
Yanga, Azam kuibeba Simba leo?
10 years ago
Mwananchi02 Mar
Udhaifu wa Simba kuibeba tena kwa Yanga
11 years ago
Mwananchi05 Sep
Membe kuibeba Yanga
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Polisi walaumiwa kuibeba CCM
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Mechi za AFCON kuibeba Yanga
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga Mholanzi, Hans van der Pluijm, amesema wachezaji waliokwenda kuzichezea timu zao za taifa wanapaswa kuelewa majukumu yao, ili waweze kunufaika na uzoefu wanaopata kwenye michuano ya Afrika.
Wachezaji 11 wa mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wameitwa kuzichezea timu zao za taifa katika mechi za kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwaka 2017, nchini Gabon.
Yanga iliwahi kuwakatalia nyota wake walioitwa...
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Matajiri watano kuibeba Chadema
10 years ago
Habarileo06 Nov
Singano kamili kuibeba Azam
WINGA Ramadhani Singano ‘Messi,’ amesema yupo tayari kuanza kwenye kikosi cha kwanza cha Azam FC kinachoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuzoea mfumo unaotumiwa na kocha Stewart Hall.