Matajiri watano kuibeba Chadema
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema chama chake kina watu watano wenye uwezo wa kiuchumi wanaoweza kukisaidia chama hicho kuendesha shughuli zake za kampeni, ikiwa ni siku 32 kabla ya wananchi kupiga kura Oktoba 25.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Madiwani watano Chadema kuwania umeya Arusha
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Membe kuibeba Yanga
9 years ago
Mtanzania02 Sep
Mechi za AFCON kuibeba Yanga
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga Mholanzi, Hans van der Pluijm, amesema wachezaji waliokwenda kuzichezea timu zao za taifa wanapaswa kuelewa majukumu yao, ili waweze kunufaika na uzoefu wanaopata kwenye michuano ya Afrika.
Wachezaji 11 wa mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wameitwa kuzichezea timu zao za taifa katika mechi za kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwaka 2017, nchini Gabon.
Yanga iliwahi kuwakatalia nyota wake walioitwa...
9 years ago
Habarileo25 Aug
Msenegali ashindwa kuibeba Simba
TIMU ya Simba ya Dar es Salaam jana ilishindwa kutamba mbele ya Mwadui ya Shinyanga baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Polisi walaumiwa kuibeba CCM
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Azam FC kuibeba Ashanti leo?
WAUZA mitumba wa Ilala jijini Dar es Salaam, Ashanti United, usiku wa leo wanatarajiwa kushuka dimba la Amaan visiwani hapa kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi katika mchezo mgumu dhidi...
9 years ago
Habarileo06 Nov
Singano kamili kuibeba Azam
WINGA Ramadhani Singano ‘Messi,’ amesema yupo tayari kuanza kwenye kikosi cha kwanza cha Azam FC kinachoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuzoea mfumo unaotumiwa na kocha Stewart Hall.
10 years ago
Mwananchi06 May
Yanga, Azam kuibeba Simba leo?
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Tumaini, Sulle kuibeba Tanzania leo