Singano kamili kuibeba Azam
WINGA Ramadhani Singano ‘Messi,’ amesema yupo tayari kuanza kwenye kikosi cha kwanza cha Azam FC kinachoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuzoea mfumo unaotumiwa na kocha Stewart Hall.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Azam FC kuibeba Ashanti leo?
WAUZA mitumba wa Ilala jijini Dar es Salaam, Ashanti United, usiku wa leo wanatarajiwa kushuka dimba la Amaan visiwani hapa kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi katika mchezo mgumu dhidi...
10 years ago
Mwananchi06 May
Yanga, Azam kuibeba Simba leo?
10 years ago
Raia Tanzania09 Jul
Azam FC yamkaribisha Singano
BAADA ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) nchini kumuweka huru mchezaji Ramadhan Singano, uongozi wa klabu ya Azam umesema uko tayari kumsajili mchezaji huyo kama atapenda kuchezea timu hiyo.
Azam imekuwa ikihusishwa na kumsajili mchezaji huyo hata kabla ya kutamalizika kwa suala lake hilo lililokuwa linahusu utata wa kimkataba na klabu yake ya Simba.
Mara nyingi uongozi wa Azam ulikuwa ukikana taarifa za kufanya mazungumzo na mchezaji huyo na kusema kuwa hauwezi kumsajili...
10 years ago
Vijimambo10 Jul
Singano asaini Azam, Simba yamtibulia
Kiungo mshambuliaji Ramadhani Singano ‘Messi’ akisaini mkataba.
KIUNGO mshambuliaji Ramadhani Singano ‘Messi’, amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Azam FC, ikiwa ni siku moja baada ya kutamkwa kuwa ni mchezaji huru aliyemalizana na Simba.Singano alisaini mkataba huo jana lakini nyuma ya pazia imebainika kuwa kumbe Simba nayo iliamua kutibua dili lililokuwa likinukia kwa mchezaji huyo kutakiwa kwenda nchini Austria kucheza soka la kulipwa.Akizungumza na Championi Ijumaa, Ofisa Habari...
10 years ago
Mwananchi31 May
Mzozo Simba SC , Singano kuinufaisha Azam
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Singano asaini miaka miwili Azam FC
YAMETIMIA. Aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Simba Ramadhan Singano ‘Messi’, jana ameingia mkataba wa miaka miwili kuichezea Klabu ya Azam FC.
Kabla Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji mwanzoni mwa wiki hii kumuidhinisha Singano kuwa huru baada ya klabu yake ya zamani, Simba kushindwa kutekeleza matakwa ya mkataba wake, kulikuwa na tetesi kuwa Azam FC walitaka kumsajili.
Ofisa Habari wa Azam FC, Jaffar Idd, alisema kuwa klabu yao imemsainisha mchezaji huyo mkataba wa miaka miwili...
10 years ago
VijimamboRAMADHAN SINGANO ‘MESSI’ KAWA MCHARO…HUU NDIO MSHAHARA WAKE MPYA NDANI YA AZAM FC
Stori kubwa leo hii ni aliyekuwa winga wa Simba SC, Ramadhan Singano ‘Messi’ kusaini mkataba wa miaka miwili katika klabu ya Azam fc, ikiwa ni siku mbili tu tangu TFF wavunje mkataba wake na Wekundu wa Msimbazi.
Messi amesaini mkataba mnono kwa dau la milioni 50 na atakuwa analipwa mshahara wa Milioni 2 kwa mwezi.
Kabla ya kuingia katika mgogoro wa kimkataba na Simba, Wekundu wa Msimbazi walitaka winga huyo asaini mkataba wa miaka miwili kwa dau la milioni 30 na mshahara wa milioni 1.5,...
9 years ago
Habarileo06 Dec
Azam kamili kuivaa Simba
WACHEZAJI wa Azam FC wamesema mafunzo wanayopewa katika kambi yao ya Tanga yanatosha kuwamaliza wapinzani wao Simba Jumamosi wiki ijayo.
9 years ago
Habarileo08 Dec
Azam kamili kuikabili Simba
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC imerejea salama jijini Dar es Salaam juzi na jana waliingia kambini mchana kujiwinda na mchezo wake ujao wa Ligi Kuu dhidi ya Simba utakaochezwa Desemba 12, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.