Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam kamili kuivaa Simba

WACHEZAJI wa Azam FC wamesema mafunzo wanayopewa katika kambi yao ya Tanga yanatosha kuwamaliza wapinzani wao Simba Jumamosi wiki ijayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Simba kuivaa Azam FC leo

Timu ya soka ya vijana ya Simba (U-20) inashuka dimbani leo kusaka tiketi ya kucheza nusu fainali ya michuano ya vijana chini ya miaka 15 na 20 ya Roling Stone dhidi ya Azam kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Azam kamili kuikabili Simba

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC imerejea salama jijini Dar es Salaam juzi na jana waliingia kambini mchana kujiwinda na mchezo wake ujao wa Ligi Kuu dhidi ya Simba utakaochezwa Desemba 12, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

9 years ago

MillardAyo

Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa …

Ni kawaida kila mwaka kufanyika kwa mashindano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar, kwa mwaka 2016 michuano hiyo inafanyika kama kawaida. Kombe la Mapinduzi kwa sasa Bingwa mtetezi wa Kombe hilo ni klabu ya Simba. Jumapili ya January 3 2016. Hii ndio ratiba kamili mtu wangu ya michuano ya Kombe la Mapinduzi. CHANZO CHA HII […]

The post Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

GPL

YANGA KAMILI KUIVAA AL AHLY KESHO

Kikosi cha Yanga. Wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika Young Africans Sports Club leo  usiku wamefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa El Max Haras El Hodod jijini Alexandria tayari kwa mchezo marudiano kati ya mabingwa watetezi Al Ahly. Kikosi cha Young Africans kilichowasili mchana wa leo jijni Alexandria kikitokea jijini Cairo kimefanya mazoezi katika uwanja huo utakaotumika kwa...

 

10 years ago

GPL

Stars kamili kuivaa Benin kesho

Kikosi cha Taifa Stars. Na Omary Mdose
KIKOSI cha Taifa Stars, kipo katika hali nzuri kuelekea kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliopo kwenye Kalenda ya Fifa unaotarajiwa kupigwa kesho Jumapili katika Uwanja wa Taifa jijini Dar. Stars iliyoingia kambini Jumatatu ya wiki hii, itamkosa mshambuliaji wake anayekipiga kwenye Klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, Mbwana Samatta kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya goti. Katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam iko tayari kuivaa El Merreikh

Klabu ya Azam ya Tanzania imesema wako tayari kuivaa ya El- Merreikh ya Sudan katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

10 years ago

Mwananchi

Amisi Tambwe hatihati kuivaa timu ya Azam

Mshambuliaji mpya wa Yanga Amisi Tambwe huenda akakosekana kwenye pambano la Jumapili dhidi ya Azam FC baada ya kupata majeraha kwenye nyama za paja.

 

10 years ago

GPL

YANGA KUIVAA AZAM UWANJA WA TAIFA KESHO JUMAPILI

Kikosi cha Young Africans Sports Club. Pazia la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara litafunguliwa kesho kwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa Young Africans kucheza na timu ya Azam FC kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majia ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki. Young Africans ambayo imekua na rekodi ya kufanya vizuri katika michezo ya Ngao ya Jamii, itashuka dimbani kupambana na wana lambalamba Azam FC huku ikiwa na...

 

9 years ago

Mtanzania

Simba kibaruani kuivaa Jamhuri

kikosi cha simbaNA MSHAMU NGOJWIKE, DAR ES SALAAM

MABINGWA watetezi wa michuano ya Kombe la Mapinduzi, Simba leo wanatarajia kushuka dimbani kutupa karata yao ya kwanza kwa kuvaana na timu ya Jamhuri ya Pemba katika mchezo utakaopigwa Uwanja wa Amaan.

Simba ambao wamepangwa Kundi A la michuano hiyo wataingia uwanjani saa 2:15 usiku kuwakabili wapinzani wao ikiwa ni baada ya mchezo wa awali wa JKU dhidi ya URA ya Uganda kupigwa kwenye uwanja huo jioni.

Kocha Mkuu wa Simba Mwingereza, Dylan Kerr ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani