Simba kuivaa Azam FC leo
Timu ya soka ya vijana ya Simba (U-20) inashuka dimbani leo kusaka tiketi ya kucheza nusu fainali ya michuano ya vijana chini ya miaka 15 na 20 ya Roling Stone dhidi ya Azam kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo06 Dec
Azam kamili kuivaa Simba
WACHEZAJI wa Azam FC wamesema mafunzo wanayopewa katika kambi yao ya Tanga yanatosha kuwamaliza wapinzani wao Simba Jumamosi wiki ijayo.
10 years ago
Habarileo08 Aug
Simba kuivaa SC Villa leo
SIMBA leo itacheza na SC Villa ya Uganda katika kuadhimisha tamasha la Simba Day.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slfaosjdzdQXHdn5R9Yis5Fm9RkHiFG9fvzffRvX-tEVSrzUPBhii2c*jezWxjvIQjcVL5tAWhE4qbblUawRDvc8/mtanijembe.jpg?width=650)
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Yanga kumbakumba, Simba, Azam leo
Yanga imevunja mwiko wa kutoifunga JKT kwenye Uwanja wa Mkwakwani baada ya kuichapa kwa mabao 2-0 jana na kukalia usukani wa ligi.
10 years ago
Mwananchi06 May
Yanga, Azam kuibeba Simba leo?
Dar es Salaam. Kocha wa Yanga, Mholanzi Hans van Pluijm amesema hatakubali kuona timu yake ikikabidhiwa kombe kwa kufungwa au kutoka sare na Azam leo katika mechi ya Ligi Kuu Bara itakayoanza saa 11 jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Simba, Azam kuwavaa Waganda Amaan leo
>Wawakilishi wa Tanzania, Azam na Simba leo watakuwa na kibarua kizito mbele ya timu za Uganda, URAÂ na KCC wakati wa mechi za nusu fainali za Kombe la Mapinduzi zitakazofanyika kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Azam, Simba zaingia vitani Mapinduzi leo
>Wawakilishi wa Tanzania Bara Azam na Simba, leo watarusha kete nyingine ya kusaka tiketi ya kucheza nusu fainali wakati watakapozikabili Cloves Stars na Chuoni za Zanzibar.
10 years ago
GPLKIKOSI CHA AZAM KITAKACHOKWAANA NA SIMBA LEO
1. MWADINI ALI
2. SHOMARI KAPOMBE
3. ERASTO NYONI
4. AGGREY MORIS
5. PASCAL WAWA
6. BOLOU MICHAEL
7. MUDATHIR YAHYA
8. FRANK DOMAYO
9. DIDIER KAVUMBAGU
10. KIPRE…
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Azam iko tayari kuivaa El Merreikh
Klabu ya Azam ya Tanzania imesema wako tayari kuivaa ya El- Merreikh ya Sudan katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania