Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba kuivaa SC Villa leo

SIMBA leo itacheza na SC Villa ya Uganda katika kuadhimisha tamasha la Simba Day.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Simba kuivaa Azam FC leo

Timu ya soka ya vijana ya Simba (U-20) inashuka dimbani leo kusaka tiketi ya kucheza nusu fainali ya michuano ya vijana chini ya miaka 15 na 20 ya Roling Stone dhidi ya Azam kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

YANGA KUIVAA SC VILLA JUNI 27


Na Mwandishi wetu. MABINGWA wa soka wa Tanzania Bara, Yanga, Juni 27, mwaka huu wanatarajia kuvaana na SC Villa ya Uganda katika mchezo wa kirafiki utakaopigwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ukiwa na lengo la kukusanya fedha za kujengea kituo cha watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na walemavu wa ngozi, yaani albino.
Akizungumza Dar es Salaam jana katika ukumbi wa makao makuu ya Yanga yaliyopo Jangwani, jijini, Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Jonas Tiboroha, alisema kuwa...

 

9 years ago

Habarileo

Azam kamili kuivaa Simba

WACHEZAJI wa Azam FC wamesema mafunzo wanayopewa katika kambi yao ya Tanga yanatosha kuwamaliza wapinzani wao Simba Jumamosi wiki ijayo.

 

9 years ago

Mtanzania

Simba kibaruani kuivaa Jamhuri

kikosi cha simbaNA MSHAMU NGOJWIKE, DAR ES SALAAM

MABINGWA watetezi wa michuano ya Kombe la Mapinduzi, Simba leo wanatarajia kushuka dimbani kutupa karata yao ya kwanza kwa kuvaana na timu ya Jamhuri ya Pemba katika mchezo utakaopigwa Uwanja wa Amaan.

Simba ambao wamepangwa Kundi A la michuano hiyo wataingia uwanjani saa 2:15 usiku kuwakabili wapinzani wao ikiwa ni baada ya mchezo wa awali wa JKU dhidi ya URA ya Uganda kupigwa kwenye uwanja huo jioni.

Kocha Mkuu wa Simba Mwingereza, Dylan Kerr ambaye...

 

11 years ago

Mwananchi

Simba haijapata kikosi cha kuivaa Yanga

Mechi ya kirafiki ya Nani Mtani Jembe, inamuumiza kichwa Kocha mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic ambaye hadi kufikia jana alikuwa hajapata kikosi kitakachocheza na Yanga kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yaenda Morogoro kuivaa Mtibwa Sugar kesho

>Simba imeondoka jana Dar es Salaam kuelekea mjini Morogoro tayari kwa pambano lake la Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar litakalofanyika kesho kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

 

10 years ago

GPL

NANI MTANI JEMBE 2, YANGA KUIVAA SIMBA KESHO TAIFA

Mechi ya Nani Mtani Jembe namba 2 itafanyika kesho siku ya jumamosi katika dimba la Uwanja ambapo itawakutanisha Young Africans Sports Club dhidi ya Simba SC huku timu  zote zikitarajiwa kuwatumia wachezai wao wapya zilizowasajili katika kipindi cha dirisha dogo. Kikosi cha mbrazil Marcio Maximo tayari kimeshawasajili wachezaji wawili kiungo Emerson de Oliveira kutoka nchini Brazil na mshambuliaji mkongwe na mzoefu wa hali ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yapata pigo Afrika Kusini kabla ya kuivaa Yanga

Klabu ya Simba imepata pigo jingine kabla ya kukutana na wapinzani wao wa jadi Yanga baada ya kipa wao Hussein Sharrif ‘Casillas’ kuumia ugoko katika mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Orlando Pirates nchini Afrika Kusini walipoweka kambi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani