Simba kuivaa SC Villa leo
SIMBA leo itacheza na SC Villa ya Uganda katika kuadhimisha tamasha la Simba Day.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Simba kuivaa Azam FC leo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slfaosjdzdQXHdn5R9Yis5Fm9RkHiFG9fvzffRvX-tEVSrzUPBhii2c*jezWxjvIQjcVL5tAWhE4qbblUawRDvc8/mtanijembe.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Xs55hrJOpQc/VYGLmtygEBI/AAAAAAAHgi0/eAcFKxpemzI/s72-c/832dcc0d2145bcd305a6ba4e31447952.jpg)
YANGA KUIVAA SC VILLA JUNI 27
![](http://2.bp.blogspot.com/-Xs55hrJOpQc/VYGLmtygEBI/AAAAAAAHgi0/eAcFKxpemzI/s320/832dcc0d2145bcd305a6ba4e31447952.jpg)
Na Mwandishi wetu. MABINGWA wa soka wa Tanzania Bara, Yanga, Juni 27, mwaka huu wanatarajia kuvaana na SC Villa ya Uganda katika mchezo wa kirafiki utakaopigwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ukiwa na lengo la kukusanya fedha za kujengea kituo cha watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na walemavu wa ngozi, yaani albino.
Akizungumza Dar es Salaam jana katika ukumbi wa makao makuu ya Yanga yaliyopo Jangwani, jijini, Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Jonas Tiboroha, alisema kuwa...
9 years ago
Habarileo06 Dec
Azam kamili kuivaa Simba
WACHEZAJI wa Azam FC wamesema mafunzo wanayopewa katika kambi yao ya Tanga yanatosha kuwamaliza wapinzani wao Simba Jumamosi wiki ijayo.
9 years ago
Mtanzania04 Jan
Simba kibaruani kuivaa Jamhuri
NA MSHAMU NGOJWIKE, DAR ES SALAAM
MABINGWA watetezi wa michuano ya Kombe la Mapinduzi, Simba leo wanatarajia kushuka dimbani kutupa karata yao ya kwanza kwa kuvaana na timu ya Jamhuri ya Pemba katika mchezo utakaopigwa Uwanja wa Amaan.
Simba ambao wamepangwa Kundi A la michuano hiyo wataingia uwanjani saa 2:15 usiku kuwakabili wapinzani wao ikiwa ni baada ya mchezo wa awali wa JKU dhidi ya URA ya Uganda kupigwa kwenye uwanja huo jioni.
Kocha Mkuu wa Simba Mwingereza, Dylan Kerr ambaye...
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Simba haijapata kikosi cha kuivaa Yanga
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Simba yaenda Morogoro kuivaa Mtibwa Sugar kesho
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slfaosjdzdQXHdn5R9Yis5Fm9RkHiFG9fvzffRvX-tEVSrzUPBhii2c*jezWxjvIQjcVL5tAWhE4qbblUawRDvc8/mtanijembe.jpg?width=650)
NANI MTANI JEMBE 2, YANGA KUIVAA SIMBA KESHO TAIFA
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Simba yapata pigo Afrika Kusini kabla ya kuivaa Yanga