YANGA KUIVAA AZAM UWANJA WA TAIFA KESHO JUMAPILI
![](http://api.ning.com:80/files/CWRwFfvur*CmgJiqo*TNY0j2sFvd6zhUfERTlPqI22I1gcvagUrUor1qcEOtc0rhMN7b52M2rxiNKMy3PoV-pvBcKoVMazQa/yangateam.jpg)
Kikosi cha Young Africans Sports Club. Pazia la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara litafunguliwa kesho kwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa Young Africans kucheza na timu ya Azam FC kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majia ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki. Young Africans ambayo imekua na rekodi ya kufanya vizuri katika michezo ya Ngao ya Jamii, itashuka dimbani kupambana na wana lambalamba Azam FC huku ikiwa na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slfaosjdzdQXHdn5R9Yis5Fm9RkHiFG9fvzffRvX-tEVSrzUPBhii2c*jezWxjvIQjcVL5tAWhE4qbblUawRDvc8/mtanijembe.jpg?width=650)
NANI MTANI JEMBE 2, YANGA KUIVAA SIMBA KESHO TAIFA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y00YmZzt_4M/VbOVie1PneI/AAAAAAAHryc/kAIBZkodLNw/s72-c/150401100137_yanga_team_512x288_bbc_nocredit.jpg)
YANGA NA KHARTOUM KUKIPIGA JUMAPILI HII UWANJA WA TAIFA
Mchezo huo unatarajiwa kuanza saa 10 kamili jioni, ambapo Yanga SC watashuka dimbani kusaka ushindi wake wa tatu mfululizo katika michuano hiyo, hali kadhalika timu ya Khartoum ikihitaji ushindi...
11 years ago
GPLYANGA WATOSHANA NGUVU NA AZAM UWANJA WA TAIFA LEO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FI6k1c1gVZk/VdiIQETAaEI/AAAAAAAHzGo/2V9pORO1_pA/s72-c/MMGL0593.jpg)
MECHI YA YANGA NA AZAM UWANJA WA TAIFA HIVI SASA
![](http://3.bp.blogspot.com/-FI6k1c1gVZk/VdiIQETAaEI/AAAAAAAHzGo/2V9pORO1_pA/s640/MMGL0593.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EzoK9Jg2bBU/VdiItBN_jrI/AAAAAAAHzG4/LVzYLb4hlXY/s640/MMGL0524.jpg)
10 years ago
Vijimambo30 Dec
PICHA NNE ZA KUCHEKESHA YANGA NA AZAM UWANJA WA TAIFA
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2394674/highRes/803155/-/maxw/600/-/u1086nz/-/Edo-Kumwembe-new.jpg)
Lilikuwa bao muhimu. Dakika chache baada ya Didier Kavumbagu kuipatia Azam bao la kuongoza. Kwa wanaomfahamu Tambwe hawakushangazwa na bao lile.
KWA shabiki wa Simba kuna picha inayoudhi, kukera na kunyanyasa moyo kama ile ya juzi wakati Amiss Tambwe alipokuwa akishangilia bao lake la kwanza katika jezi ya Yanga, tena katika pambano dhidi ya Azam!Lilikuwa bao muhimu. Dakika chache baada ya Didier Kavumbagu kuipatia Azam bao la kuongoza. Kwa wanaomfahamu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-s5DKJ66I-uI/VKASWSksnnI/AAAAAAAG6Ik/eJj5rbWvwok/s72-c/MMGM0086.jpg)
yanga na azam ni kivumbi uwanja wa taifa hivi sasa
![](http://1.bp.blogspot.com/-s5DKJ66I-uI/VKASWSksnnI/AAAAAAAG6Ik/eJj5rbWvwok/s1600/MMGM0086.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zjoebZty438/VKARRDjm0iI/AAAAAAAG6IM/E6B43jVIZA8/s1600/MMGM0090.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PgJKLIqN8vE/VKAR1GytZQI/AAAAAAAG6IU/-OURBvhx8Ko/s1600/MMGM0097.jpg)