Tumaini, Sulle kuibeba Tanzania leo
>Tanzania na Kenya zimetamba katika nusu fainali ya mashindano ya tenisi ya Afrika Mashariki na Kati baada ya wachezaji wake kuingia katika fainali itakayochezwa leo kwenye Viwanja Gymkhana, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Azam FC kuibeba Ashanti leo?
WAUZA mitumba wa Ilala jijini Dar es Salaam, Ashanti United, usiku wa leo wanatarajiwa kushuka dimba la Amaan visiwani hapa kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi katika mchezo mgumu dhidi...
10 years ago
Mwananchi06 May
Yanga, Azam kuibeba Simba leo?
10 years ago
Vijimambo09 Feb
RAIS KIKWETE AKUTANA NA UONGOZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI IKULU LEO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-U1vIy1Uy-H0%2FVNi35ZIfSFI%2FAAAAAAADX0s%2FZDUhc9mKz-M%2Fs1600%2Fkkkt2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-8Uj-Ti0i0ak%2FVNi38oIb2JI%2FAAAAAAADX08%2F_-Ba9duB0S0%2Fs1600%2Fkkkt3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
PICHA NA IKULU
5 years ago
Press13 Feb
MOTO MKUBWA WAZUKA MCHANA WA LEO KARIBU NA CHUO CHA TUMAINI (TUDARCO) Cocacola Road
Moto mkubwa umeunguza na kuteketeza mali na majengo kwenye kampuni inayosemekana niya matairi.
Kati ya mali zinazosemekana kuteketea ni Matairi, pikipiki na baadhi ya vifaa
Baadhi ya Mashuhuda waliokua Eneo La tukio
10 years ago
TheCitizen16 Jan
TENNIS: Sulle, Menard cruise past Burundians
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Membe kuibeba Yanga
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Matajiri watano kuibeba Chadema
9 years ago
Mtanzania02 Sep
Mechi za AFCON kuibeba Yanga
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga Mholanzi, Hans van der Pluijm, amesema wachezaji waliokwenda kuzichezea timu zao za taifa wanapaswa kuelewa majukumu yao, ili waweze kunufaika na uzoefu wanaopata kwenye michuano ya Afrika.
Wachezaji 11 wa mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wameitwa kuzichezea timu zao za taifa katika mechi za kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwaka 2017, nchini Gabon.
Yanga iliwahi kuwakatalia nyota wake walioitwa...
9 years ago
Habarileo25 Aug
Msenegali ashindwa kuibeba Simba
TIMU ya Simba ya Dar es Salaam jana ilishindwa kutamba mbele ya Mwadui ya Shinyanga baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.