Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tumaini, Sulle kuibeba Tanzania leo

>Tanzania na Kenya zimetamba katika nusu fainali ya mashindano ya tenisi ya Afrika Mashariki na Kati baada ya wachezaji wake kuingia katika fainali itakayochezwa  leo  kwenye Viwanja Gymkhana, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Azam FC kuibeba Ashanti leo?

WAUZA mitumba wa Ilala jijini Dar es Salaam, Ashanti United, usiku wa leo wanatarajiwa kushuka dimba la Amaan visiwani hapa kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi katika mchezo mgumu dhidi...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam kuibeba Simba leo?

Dar es Salaam. Kocha wa Yanga, Mholanzi Hans van Pluijm amesema hatakubali kuona timu yake ikikabidhiwa kombe kwa kufungwa au kutoka sare na Azam leo katika mechi ya Ligi Kuu Bara itakayoanza saa 11 jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AKUTANA NA UONGOZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI IKULU LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na baadaye katika mazungumzo na uongozi wa juu wa Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es salaam uliomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo February 9, 2015. Ujumbe huo umeongozwa na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania Dkt Alex Malasusa pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa shirika laNyumba la taifa (NHC) na Mwenyekiti wa Harambee ya chuo hicho ambachokinamilikiwa na kanisa la KKKT. 
PICHA NA IKULU

 

5 years ago

Press

MOTO MKUBWA WAZUKA MCHANA WA LEO KARIBU NA CHUO CHA TUMAINI (TUDARCO) Cocacola Road

img_20161110_124829

Moto mkubwa umeunguza na kuteketeza mali na majengo kwenye kampuni inayosemekana niya matairi.

img_20161110_124604

Kati ya mali zinazosemekana kuteketea ni Matairi, pikipiki na baadhi ya vifaa

img_20161110_124622

Baadhi ya Mashuhuda waliokua Eneo La tukio

img_20161110_124607

 

img_20161110_124707

 

10 years ago

TheCitizen

TENNIS: Sulle, Menard cruise past Burundians

>Tanzanian tennis players yesterday continued their fine run at the ITF/CAT East African Junior Championship at the Dar es Salaam Gymkhana Club courts.

 

10 years ago

Mwananchi

Membe kuibeba Yanga

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amekiri yeye ni shabiki wa Yanga na ana mipango mikubwa na klabu hiyo ambayo itaiimarisha kiuchumi, kuacha utegemezi kwa wafadhili, pia kupiga hatua kubwa kitaifa na kimataifa katika medani ya soka.

 

9 years ago

Mwananchi

Matajiri watano kuibeba Chadema

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema chama chake kina watu watano wenye uwezo wa kiuchumi wanaoweza kukisaidia chama hicho kuendesha shughuli zake za kampeni, ikiwa ni siku 32 kabla ya wananchi kupiga kura Oktoba 25.

 

9 years ago

Mtanzania

Mechi za AFCON kuibeba Yanga

PluijmNA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Yanga Mholanzi, Hans van der Pluijm, amesema wachezaji waliokwenda kuzichezea timu zao za taifa wanapaswa kuelewa majukumu yao, ili waweze kunufaika na uzoefu wanaopata kwenye michuano ya Afrika.

Wachezaji 11 wa mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wameitwa kuzichezea timu zao za taifa katika mechi za kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwaka 2017, nchini Gabon.

Yanga iliwahi kuwakatalia nyota wake walioitwa...

 

9 years ago

Habarileo

Msenegali ashindwa kuibeba Simba

TIMU ya Simba ya Dar es Salaam jana ilishindwa kutamba mbele ya Mwadui ya Shinyanga baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani