Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MOTO MKUBWA WAZUKA MCHANA WA LEO KARIBU NA CHUO CHA TUMAINI (TUDARCO) Cocacola Road

img_20161110_124829

Moto mkubwa umeunguza na kuteketeza mali na majengo kwenye kampuni inayosemekana niya matairi.

img_20161110_124604

Kati ya mali zinazosemekana kuteketea ni Matairi, pikipiki na baadhi ya vifaa

img_20161110_124622

Baadhi ya Mashuhuda waliokua Eneo La tukio

img_20161110_124607

 

img_20161110_124707





Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MOTO WAZUKA CHUO CHA UDOM USIKU WA KUAMKIA LEO

Moto ukiendelea kuwaka usiku wa kuamkia leo karibu na hostel za wasichana katika skuli ya sanaa na lugha (School of Humanities) katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Chanzo cha moto huo hakijajulikana. Wakaazi wa mji huo walisikia vingo'ra vya magari ya zimamoto yakielekea chuoni huko kwa kasi usiku wa manane. (PICHA NA Global WhatsApp +255 753… ...

 

11 years ago

GPL

MOTO MKUBWA WAZUKA JANCO MOTEL JIJINI MBEYA USIKU WA KUAMKIA LEO

Moto mkubwa umezuka katika Hoteli ya Janco iliyopo Forest Mpya jijini Mbeya usiku wa kuakia leo. Chanzo cha moto huo hakijajulikana.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Moto mkubwa wazuka Tianjin-China

Kumetokea mlipuko mkubwa katika mji wa China Tianjin-ambao ni sehemu ya viwanda katika eneo la kusini kaskazini mwa Beijing.

 

9 years ago

Michuzi

Moto mkubwa wazuka mlima meru mkoani arusha

Moshi mkubwa umetanda katika anga ambapo Kuna taarifa kuwa Eneo la hifadhi ya Mlima Meru Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha linawaka moto. Chanzo cha moto huo, ambao unasemekana ulianza jana, bado hakijafahamika. Tunaendelea kufuatilia taarifa hii na tutawajuza zaidi mara tupatapo habari za uhakika kutoka eneo la tukio.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AKUTANA NA UONGOZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI IKULU LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na baadaye katika mazungumzo na uongozi wa juu wa Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es salaam uliomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo February 9, 2015. Ujumbe huo umeongozwa na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania Dkt Alex Malasusa pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa shirika laNyumba la taifa (NHC) na Mwenyekiti wa Harambee ya chuo hicho ambachokinamilikiwa na kanisa la KKKT. 
PICHA NA IKULU

 

9 years ago

Michuzi

PROPHET SHEPHERD BUSHIRI MINISTRIES: mkutano mkubwa wa Injili kunzia kesho hadi Jumapili kanisa la ECG karibu na chuo cha ardhi Dar es salaam

Hii ni kufuatia mkutano mkubwa wa Injili unaoendelea jijini Pretoria (Encounter Conference 2015) ulioandaliwa na Huduma ECG inayoongozwa na Major Prophet Shepherd Bushiri na kurushwa LIVE na Prophetic Channel. Wanaohudumu katika mkutano huu ni Major Prophet Eubert Angel, Major Prophet Shepherd Bushiri na Dr. Ramson Mumba na miongoni mwa washiriki WAKUU wa mkutano ni Pastor Sayo Mwanyongo wa kanisa la ECG Dar es Salaam. Baada ya mkutano huu kuisha Pastor Sayo Mwanyongo kwa kibali alichopewa...

 

10 years ago

GPL

MOTO WAZUKA JENGO LA MACHINGA COMPLEX LEO

Moto waibuka jengo la Machinga Complex jijini Dar wazimwa kabla haujaleta madhara makubwa. 
Moshi ukiwa umetanda…

 

10 years ago

Vijimambo

Chakula cha usiku kuchangia fedha za ujenzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani la Kanisa hilo, Askofu Alex Malasusa pamoja na wachungaji wengine wa KKKT wakati wa chakula cha usiku kuchangia fedha za ujenzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini, tawi la Dar Es Salaam, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee usiku wa Ijumaa, Machi 12, 2015. Katika uchangiaji huo, Rais Kikwete...

 

10 years ago

Michuzi

Breaking nyuzzz.......: Moto wazuka jengo la Machinga Complex leo

Moto waibuka jengo la Machinga Complex jijini Dar; wazimwa kabla haujaleta madhara makubwa.  
Moshi ukiwa umetanda angani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani