Moto mkubwa wazuka mlima meru mkoani arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-mJa1vwr-s74/Vf7mkpXcLPI/AAAAAAAH6XY/X3S-RJ9STgs/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Moshi mkubwa umetanda katika anga ambapo Kuna taarifa kuwa Eneo la hifadhi ya Mlima Meru Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha linawaka moto. Chanzo cha moto huo, ambao unasemekana ulianza jana, bado hakijafahamika. Tunaendelea kufuatilia taarifa hii na tutawajuza zaidi mara tupatapo habari za uhakika kutoka eneo la tukio.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Moto mkubwa wazuka Tianjin-China
11 years ago
GPLMOTO MKUBWA WAZUKA JANCO MOTEL JIJINI MBEYA USIKU WA KUAMKIA LEO
5 years ago
Press13 Feb
MOTO MKUBWA WAZUKA MCHANA WA LEO KARIBU NA CHUO CHA TUMAINI (TUDARCO) Cocacola Road
Moto mkubwa umeunguza na kuteketeza mali na majengo kwenye kampuni inayosemekana niya matairi.
Kati ya mali zinazosemekana kuteketea ni Matairi, pikipiki na baadhi ya vifaa
Baadhi ya Mashuhuda waliokua Eneo La tukio
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Lzp9UGUBoz0/Vf_WiryturI/AAAAAAADYzs/lSMVb4HV04M/s72-c/486.jpg)
TAAARIFA KWA UMMA KUTOKA HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA KUHUSU MOTO UNAOUNGUZA SEHEMU YA MLIMA MERU
![post-feature-image](http://2.bp.blogspot.com/-Lzp9UGUBoz0/Vf_WiryturI/AAAAAAADYzs/lSMVb4HV04M/s640/486.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z6Of3PNhWMw/Vf_YV2fzYhI/AAAAAAADY0A/fl3oUiDZcjo/s1600/index.jpg)
Wananchi wapatao 200 kutoka vijiji jirani vya Olosinoni na Kisimiri Juu wakishirikiana na TANAPA wamefanikiwa kuudhibiti moto huo ili usiweze kuleta madhara makubwa kwa binadamu hususan wageni wanaotembelea hifadhi kwa lengo la kupanda...
10 years ago
Dewji Blog18 Nov
Moto mkubwa wateketeza soko la bidhaa za utamaduni lijulikanalo kama Mt.Meru Curios & Crafts Market
SOKO la bidhaa za utamaduni lijulikanalo kwa jina la MT.MERU CURIOS& CRAFTS MARKET limetea kwa moto usiku wa kuamkia leo na kuunguza bidhaa zote za wafanyabiashara zililopo katika soko hilo
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo ameagiza uchunguzi wa kina kufanyika kufuatia soko la wafanyabiashara wa Vinyago na bidhaa mbalimbali za kitalii la Maasai Market kuteketea kwa moto.
Mulongo ambaye alifuatana na kamati ya Ulinzi na Usalama alishangaa kuona maduka hayo ambayo yapo jirani na Kikosi...
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
TANAPA Yatoa taarifa kwa Umma juu ya Hifadhi za Taifa Mlima Meru kuunguzwa kwa moto!
Sehemu ya moto inavyoonekana ikiunguza Hifadhi ya Mlima Meru, Arusha ulioanza tokea juzi..
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Martin Loibooki akiongea na wanakijiji wa Olosinoni wanaoshiriki zoezi la kuzima moto unaonendelea kuwaka Mlima Meru katika Hifadhi ya Taifa ya Arusha jana.
Moto mkubwa umezuka mwishoni mwa wiki hii na kuunguza sehemu ya Mlima Meru katika Hifadhi ya Taifa ya Arusha. Taarifa za awali zinaonyesha kuwa chanzo cha moto huo ni vitendo haramu vya urinaji wa asali ndani ya...
10 years ago
MichuziWIZARA YA MALIASILI YABARIKI KUANZISHWA KWA MFUKO WA KULINDA MLIMA KILIMANJARO NA MLIMA MERU
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W3uvenvkkWo/VGtYBWrMIBI/AAAAAAAANsk/2AhATakn-SQ/s72-c/MOTO754.jpg)
MOTO WATETEZA SOKO LA BIDHAA ZA UTAMADUNI LIJULIKANALO KAMA MT.MERU CURIOS & CRAFTS MARKET JIJINI ARUSHA
Mulongo ambaye alifatana na kamati ya Ulinzi na Usalama alishangaa kuona maduka hayo ambayo yapo jirani na Kikosi cha Zima Moto kushindwa kuzima moto na kusababisha hasara kwa wananchi.
"Sitakubali kuona uzembe unaendelea katika mkoa wetu,lazima watu wawajibishwe kwa uzembe hasa Kikosi cha kuzima moto...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K0MfeHCEgD8/XqBJlSgDboI/AAAAAAALn1E/lsEc44nH7JQ7b0APJUgARxkFl23PWEL-gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200404-WA0159%2B%25281%2529.jpg)
HALMASHAURI WILAYA YA MERU MKOANI ARUSHA YATUMIA MILIONI 308/_ KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO HADI KUFIKIA APRILI 15
HALMASHAURI ya Wilaya ya Meru mkoani Arusha imetumia zaidi ya shilingi milioni 308 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika kipindi Cha mwaka wa fedha 2019//2020 hadi kufikia Aprili 15 mwaka huu.
Akizungumza leo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Meru Emmanuel Mkongo amesema kuwa halmashauri hiyo katika kuunga mkono jitihada za wananchi kutekeleza miradi ya maendeleo kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 ilitenga kutoka katika makusanyo ya mapato ya...