Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WIZARA YA MALIASILI YABARIKI KUANZISHWA KWA MFUKO WA KULINDA MLIMA KILIMANJARO NA MLIMA MERU

Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akizungumza wakati wa kikao kilicho shirikisha Kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Mazingira,Wabunge katika majimbo ya mikoa ya Arusha na Kilimanjaro,Wakuu wa wilaya zinazopakana na mlima Kilimanjaro na mlima Meru,TANAPA na Idara ya Misitu,(kulia)ni kaimu mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Ibrahim Msengi.Naibu waziri wa TAMISEMI ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Siha ,akichangia wakati wa kikao cha kuanzishwa kwa mchakato wa uanzishwaji mfumo wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO YATANGAZA OFA YA KUPANDA MLIMA HUO KWA WATALII WA NDANI WA AFRIKA MASHARIKI.

Mhifadhi utalii katka hifadhi ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA),Eva Mallya akizungumza juu ya ofa iliyotangazwa na hifadhi hiyo ya kupanda mlima huo kwa siku moja na kurudi hadi kilele cha Shira.
Afisa masoko wa KINAPA ,Antypas Mgungusi akisistiza jambo wakati akizungumzia juu ya ofa ya safafri ya kupanda Mlima Kilimanjaro huku akishauri wenye sherehe zao kutumia nafasi hiyo kupanda Mlima huo kwa ajili ya kufanya sherehe zao,alitaja sherehe ambazo zinaweza fanyika katika hifadhi hiyo ni pamoja na...

 

11 years ago

Michuzi

Kamati ya ardhi,maliasili na mazingira yatembelea hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro

Mkurugenzi mkuu wa shirika la hifadhi za jamii Tanzania,TANAPA,Alan Kijazi akizungumza jambo wakati kamati ya Bunge ya ardhi,maliasili na mazingira ilipotembelea hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro. Baadhi ya wajumbe wa kamati ya Ardhi,maliasili na mazingira wakifuatilia maelezo ya mkurugenzi mkuu wa TANAPA(hayupo picani). Naibu waziri wa maliasili na Utalii,Mahamud Mgimwa akizungumza mbele ya kamati ya Ardhi ,maliasili na mazingira ilipotembelea hifadhi ya taifa ya mlima Kilimanjaro.

 

9 years ago

Dewji Blog

TANAPA Yatoa taarifa kwa Umma juu ya Hifadhi za Taifa Mlima Meru kuunguzwa kwa moto!

tanapaaSehemu ya moto inavyoonekana ikiunguza Hifadhi ya Mlima Meru, Arusha ulioanza tokea juzi..

tanapaaaKaimu Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Martin Loibooki akiongea na wanakijiji wa Olosinoni wanaoshiriki zoezi la kuzima moto unaonendelea kuwaka Mlima Meru katika Hifadhi ya Taifa ya Arusha jana.

Moto mkubwa umezuka mwishoni mwa wiki hii na kuunguza sehemu ya Mlima Meru katika Hifadhi ya Taifa ya Arusha. Taarifa za awali zinaonyesha kuwa chanzo cha moto huo ni vitendo haramu vya urinaji wa asali ndani ya...

 

9 years ago

Vijimambo

TAAARIFA KWA UMMA KUTOKA HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA KUHUSU MOTO UNAOUNGUZA SEHEMU YA MLIMA MERU

post-feature-imageHIFADHI ZA TAIFA TANZANIAMoto mkubwa umezuka mwishoni mwa wiki hii na kuunguza sehemu ya Mlima Meru katika Hifadhi ya Taifa ya Arusha. Taarifa za awali zinaonyesha kuwa chanzo cha moto huo ni vitendo haramu vya urinaji wa asali ndani ya msitu wa hifadhi hiyo.
Wananchi wapatao 200 kutoka vijiji jirani vya Olosinoni na Kisimiri Juu wakishirikiana na TANAPA wamefanikiwa kuudhibiti moto huo ili usiweze kuleta madhara makubwa kwa binadamu hususan wageni wanaotembelea hifadhi kwa lengo la kupanda...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mlima Kilimanjaro walindwa kwa mtandao

HIFADHI ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro, (Kinapa), imejizatiti kukabiliana na matukio ya moto kwenye maeneo yanayozunguka mlima huo, ambako sasa wanatumia mfumo maalum wa mawasiliano ya ‘internet’ kubaini dalili za...

 

9 years ago

Mtanzania

Hofu ya volcano yatanda Mlima Meru

IMG-20150920-WA0013NA ELIYA MBONEA, ARUSHA

WAKAZI wa Jiji la Arusha jana walikumbwa na hofu kubwa, baada ya kitu kinachosadikiwa kuwa ni volcano kulipuka Mlima Meru.

Hali hiyo ilisababisha wingu zito la vumbi kutanda angani huku wakazi wa vijiji vinavyozunguka mlima wakikimbia maeneo yao. Wingu hilo lililotanda angani lilianza kuonekana saa 9 alasiri upande wa Kaskazini mwa Mlima Meru kisha kuendelea kusambaa hadi juu ya kilele cha mlima huo.

MTANZANIA lilishuhudia vumbi hilo likielekea upande wa Kaskazini mwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mlemavu apanda mlima Kilimanjaro kwa baiskeli

MLEMAVU Eiju Murakanil, (65), raia wa Japan amefanikiwa kufika kituo cha Gilmas Mlima Kilimanjaro urefu wa mita 5,685 kutoka usawa wa bahari kikiwa ni kituo kimoja kutoka kileleni akitumia kiti...

 

5 years ago

Michuzi

MUONEKANO WA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO KWA SASA


Picha iliyopigwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete ikionesha muonekano wa juu wa Mlima Kilimanjaro Februari 12, 2020.

Dkt. Kikwete amesema kuwa picha hiyo ameipiga wakati akiwa njiani akitokea Nairobi kwenda Dar es Salaam, saa chache baada ya mazishi ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili nchini Kenya, Daniel Arap Moi.

 

10 years ago

Michuzi

MAGEREZA WAJIFUA TAYARI KWA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO

Sehemu ya Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza wakiwa katika mazoezi makali katika mitaa ya mji wa Moshi ikiwa ni maandalizi ya kupanda mlima Kilimanjaro ifikapo Machi 6,2015. Katikati (mwenye vazi jeupe) ni Kamishna Msaidizi wa Magereza Alexander Mmasy kutoka Makao Makuu ya Magereza, wa kwanza kulia ni Mrakibu Msaidizi wa Magereza Mbezi Ramadhani kutoka Ofisi ya Mkuu wa Magereza Mkoa wa Tanga na wa kwanza kushoto ni Mkaguzi wa Magereza Jamhuri Yassin kutoka Makao Makuu ya Magereza, Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani