Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Breaking nyuzzz.......: Moto wazuka jengo la Machinga Complex leo

Moto waibuka jengo la Machinga Complex jijini Dar; wazimwa kabla haujaleta madhara makubwa.  
Moshi ukiwa umetanda angani

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MOTO WAZUKA JENGO LA MACHINGA COMPLEX LEO

Moto waibuka jengo la Machinga Complex jijini Dar wazimwa kabla haujaleta madhara makubwa. 
Moshi ukiwa umetanda…

 

10 years ago

Vijimambo

MOTO WAZUKA MACHINGA COMPLEX ILALA DAR ES SALAAM

Tafrani ilizuka katika mchana huu katika jengo la linalotumiwa na wafanyabiashara wadogo, maarufu kwa jina la Machinga Complex lililopo maeneo ya Ilala jijini Dar. Mkuu wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi amethibitisha tukio hilo ambalo chanzi chake ni fundi aliyekuwa akichomea vyumba katika moja ya vizimba vilivyomo katika jengo hilo na kusababisha hitilafu ya umeme, uiliyoleta moto ambao umeunguza vizimba vitatu ndani ya jengo hilo. Hata hivyo moto huo haukudumu kwa muda mrefu kwani...

 

10 years ago

Vijimambo

JENGO LA MACHINGA COMPLEX LAUNGUA KWA MOTO

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa jengo la Machinga Complex la jijini Dar es Salaam limeungua kwa moto. Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana. Tunalifuatilia kwa karibu kuweza kujua chanzo cha moto na madhara yake na itakapofika muda muafaka tutawajulisha habari kamili kwa kina.

 

10 years ago

Mwananchi

Machinga Complex yaungua kwa moto

Jengo la wafanyabiashara ndogondogo maarufu ‘Machinga Complex’ lililopo Karume, jijini hapa limeungua moto wakati mafundi wakifanya matengenezo ya kupanua vizimba vya biashara katika ghorofa ya tatu.

 

11 years ago

Mwananchi

Waathirika wa moto Karume wahamishiwe Machinga Complex

Kati ya changamoto kubwa zinazolikabili Jiji la Dar es Salaam ni uhaba wa masoko yenye miundombinu bora.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Machinga watakiwa kwenda Machinga Complex

WAFANYABIASHARA wadogowadogo ‘machinga’ walioondolewa  katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es Salaam wametakiwa kwenda kufanyia biashara zao  katika jengo la Machinga Complex. Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Machinga Complex,...

 

10 years ago

Michuzi

Breaking nyuzzz....: Ajali mbaya yatokea jijimi Arusha leo,yapoteza maisha ya watu zaidi ya 9

Ajali mbaya imetokea jioni ya leo katika eneo la Tengeru,Jijini Arusha ikihusisha gari dogo aina ya Toyota Hiace (pichani juu) linalofanya safari zake kati ya Usa River na Katikati ya mji wa Arusha na Lori la Mafuta. Chanzo cha Ajali hiyo inaelezwa kwamba ni hiyo daladala lilikuwa likijaribu kulipita gari jingine ndipo likakutana na loli hilo la mafuta na kugongana uso kwa uso na kusababisha vifo vya abiria wote waliokuwa kwenye daladaa hilo ambao idadi yake haijafahamika rasmi.taarifa...

 

11 years ago

GPL

MOTO WAZUKA CHUO CHA UDOM USIKU WA KUAMKIA LEO

Moto ukiendelea kuwaka usiku wa kuamkia leo karibu na hostel za wasichana katika skuli ya sanaa na lugha (School of Humanities) katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Chanzo cha moto huo hakijajulikana. Wakaazi wa mji huo walisikia vingo'ra vya magari ya zimamoto yakielekea chuoni huko kwa kasi usiku wa manane. (PICHA NA Global WhatsApp +255 753… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani