MOTO WAZUKA MACHINGA COMPLEX ILALA DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-AlIX99CgCvA/VGX1XBAoXwI/AAAAAAAAT3g/PUIHgotzGNA/s72-c/IMG-20141114-WA0029.jpg)
Tafrani ilizuka katika mchana huu katika jengo la linalotumiwa na wafanyabiashara wadogo, maarufu kwa jina la Machinga Complex lililopo maeneo ya Ilala jijini Dar.
Mkuu wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi amethibitisha tukio hilo ambalo chanzi chake ni fundi aliyekuwa akichomea vyumba katika moja ya vizimba vilivyomo katika jengo hilo na kusababisha hitilafu ya umeme, uiliyoleta moto ambao umeunguza vizimba vitatu ndani ya jengo hilo.
Hata hivyo moto huo haukudumu kwa muda mrefu kwani...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lO1nR1WSZXuJBWoRs12h5D7dI8bhbTe1WkxJz9TGzkok1-n9X6ZT5oLEXC0hy7OUdBfS6gmf6Bp-8SSToy*M7SLhmBokVkK1/IMG20141114WA0002.jpg?width=650)
MOTO WAZUKA JENGO LA MACHINGA COMPLEX LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-89bBWGFYKMk/VNIxg9CTUKI/AAAAAAAHBrQ/1TI5UPB5AWc/s72-c/0L7C0305.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZMfV-hMI2GM/VGXrDT8SvII/AAAAAAAGxGg/tPVfI5JdLy0/s72-c/IMG-20141114-WA0002.jpg)
Breaking nyuzzz.......: Moto wazuka jengo la Machinga Complex leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZMfV-hMI2GM/VGXrDT8SvII/AAAAAAAGxGg/tPVfI5JdLy0/s1600/IMG-20141114-WA0002.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9bXeESnW3mM/VGXrEQi0z5I/AAAAAAAGxGk/Q8tcoCfopc0/s1600/10525899_639487559495555_6446032131950847982_n.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Machinga Complex yaungua kwa moto
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-V_GJt0EVr7U/VGXsMp9ky-I/AAAAAAAA8uI/3M0DYhNjAzU/s72-c/Machinga%2BComplex.jpg)
JENGO LA MACHINGA COMPLEX LAUNGUA KWA MOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-V_GJt0EVr7U/VGXsMp9ky-I/AAAAAAAA8uI/3M0DYhNjAzU/s1600/Machinga%2BComplex.jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Waathirika wa moto Karume wahamishiwe Machinga Complex
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Machinga watakiwa kwenda Machinga Complex
WAFANYABIASHARA wadogowadogo ‘machinga’ walioondolewa katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es Salaam wametakiwa kwenda kufanyia biashara zao katika jengo la Machinga Complex. Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Machinga Complex,...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/L9z1SGM9aqM/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
TBL yatoa sh. mil 18 za kusaidia ukarabati wa miundombinu iliyoharibika soko la Machinga Ilala, Dar
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kulia) akimkabidhi hundi yenye thamani ya sh. mil. 18.9, kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Gotam General Traders, Winner Taluka (wa pili kushoto) kwa ajili ya kusaidia ukarabati wa miundombinu ya maji iliyoharibika baada ya Soko la Mchikichini Ilala kuteketea kwa moto. Wanaoshuhudia hafla hiyo iliyofanyika Dar es Salaam jana, kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa soko hilo, Rehema Matali, Mjumbe wa Kamati ya...