Breaking nyuzzz....: Ajali mbaya yatokea jijimi Arusha leo,yapoteza maisha ya watu zaidi ya 9
Ajali mbaya imetokea jioni ya leo katika eneo la Tengeru,Jijini Arusha ikihusisha gari dogo aina ya Toyota Hiace (pichani juu) linalofanya safari zake kati ya Usa River na Katikati ya mji wa Arusha na Lori la Mafuta. Chanzo cha Ajali hiyo inaelezwa kwamba ni hiyo daladala lilikuwa likijaribu kulipita gari jingine ndipo likakutana na loli hilo la mafuta na kugongana uso kwa uso na kusababisha vifo vya abiria wote waliokuwa kwenye daladaa hilo ambao idadi yake haijafahamika rasmi.taarifa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--1AN2it1bgk/VA19GaKKhpI/AAAAAAAGhrQ/Qw2WoStN_rw/s72-c/IMG-20140908-WA0003.jpg)
Breaking Nyuzzzzzzz....: ajali nyingine mbaya yatokea Gairo mchana huu,zaidi ya watu 8 wanasadikiwa kupoteza maisha
![](http://2.bp.blogspot.com/--1AN2it1bgk/VA19GaKKhpI/AAAAAAAGhrQ/Qw2WoStN_rw/s1600/IMG-20140908-WA0003.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mdp7Rsoj5oE/VTDLy0RCDbI/AAAAAAAHRoQ/49EDWcJAkLI/s72-c/IMG-20150417-WA0004%2Bcopy.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ....: AJALI NYINGINE YATOKEA JIJINI MBEYA LEO, ZAIDI YA WATU 20 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA
Kwa mujibu wa mtoa taarifa, amesema kwamba ajali hii imetokea wakati Mabasi yafanyayo safari zake kati ya Mbeya na Kyela (maarufu kama Coaster) kugoma kutoa huduma ya kusafirisha abiria katika maeneo hayo, hivyo baadhi ya hiace za mjini kuamua...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s72-c/IMG-20150311-WA0005.jpg)
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 30 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MAFINGA, IRINGA, LEO BAADA YA BASI LA ABIRIA KUANGUKIWA NA KONTENA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s1600/IMG-20150311-WA0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YrffIUaPznU/VQAV5NhjcvI/AAAAAAAHJhs/Z2y_CB55Yq4/s1600/IMG-20150311-WA0002.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a048EoHiuh8/U6WEY01pEUI/AAAAAAAFsFY/_q3hHo6QSaE/s72-c/IMG-20140621-WA0003.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ....: WATU ZAIDI YA 10 WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI YA GARI ILIYOTOKEA ENEO LA MAKONGO,JIJINI DAR MCHANA HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-a048EoHiuh8/U6WEY01pEUI/AAAAAAAFsFY/_q3hHo6QSaE/s1600/IMG-20140621-WA0003.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lSLBy6XN-xw/U6WEZ0hXeMI/AAAAAAAFsFg/WDq6Nq5ofzo/s1600/IMG-20140621-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2mL638TC79I/U6WEbG-kYdI/AAAAAAAFsFo/_rI2H-fO7Gs/s1600/IMG-20140621-WA0004.jpg)
11 years ago
MichuziAJALI YA MAGARI MAWILI NA PIKIPIKI YAPOTEZA MAISHA YA WATU WAWILI.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RQI_zqxrGpM/VFzX_9fYqrI/AAAAAAAAxLU/hGQ_OUsnpfQ/s72-c/10734151_844921828862033_7645623793860367259_n.jpg)
AJALI MBAYA YATOKEA VWAWA MBOZI LEO MCHANA YAUA DEREVA WA NSSF NA MENEJA WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-RQI_zqxrGpM/VFzX_9fYqrI/AAAAAAAAxLU/hGQ_OUsnpfQ/s640/10734151_844921828862033_7645623793860367259_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-p0L5ZuWKpmc/VFzcWhc0cdI/AAAAAAAAxLw/clknRnZnRxU/s640/Picture%2B010.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-msJ92l7OCtY/VFzYAbkVLnI/AAAAAAAAxLY/QIwKV3vtGYg/s640/10345822_844923002195249_7414716207742340801_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-T0ROCiOHwog/VFzX_y3l6qI/AAAAAAAAxLc/i7p1rec0_T8/s640/1555522_844922322195317_297298873858181563_n-1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-elmlo1iK0Gs/VSZgYZMBwxI/AAAAAAAHPxQ/FxK2BTZ8Xz0/s72-c/IMG-20150409-WA0024.jpg)
BREAKING NYUZZZZ....: MABASI MAWILI YAGONGANA USO KWA USO LEO MAENEO YA MKATA MKOANI TANGA, WATU ZAIDI YA 10 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-elmlo1iK0Gs/VSZgYZMBwxI/AAAAAAAHPxQ/FxK2BTZ8Xz0/s1600/IMG-20150409-WA0024.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jhhmIFp9GXc/VSZgkqyZGZI/AAAAAAAHPxg/NRZg2K9OCi0/s1600/IMG-20150409-WA0012.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Zf7js0lkpBorIhKqKTZEDcO-VOXuivNQyM5aYXrV66531UOA*II2z2Kyw8ICb0wj*p-9sW6044jHl*RnpSrs*gGYizrjjVnV/AIRBUS.jpg)
AJALI MBAYA YATOKEA GAIRO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s72-c/1.jpg)
BREANKING NYUZZZ.....: ZAIDI YA WATU 35 WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA MABASI ILIYOTOKEA MCHANA HUU MJINI MUSOMA ANEO MAARUFU LA SABA SABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s1600/1.jpg)
Watu zaidi ya 35 wamepoteza maisha papo hapo na wengine zaidi ya 86 kujeruhiwa vibaya. Kwa mujibu wa Ripota wetu aliopo eneo la tukio hivi sasa,inaelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo Basi la J4...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10