Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Udhaifu wa Simba kuibeba tena kwa Yanga

Simba mwenda pole... Ndiye mla nyama. Au kwa lugha nyingine unaweza kusema Simba dhaifu ndiyo huwa inaifunga Yanga. Usemi huu umekuwa ukijidhihirisha mara nyingi Yanga na Simba zinapokutana hasa katika miaka ya hivi karibuni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam kuibeba Simba leo?

Dar es Salaam. Kocha wa Yanga, Mholanzi Hans van Pluijm amesema hatakubali kuona timu yake ikikabidhiwa kombe kwa kufungwa au kutoka sare na Azam leo katika mechi ya Ligi Kuu Bara itakayoanza saa 11 jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Simba leo tena

MIAMBA ya soka nchini Simba na Yanga leo itakuwa kwenye viwanja tofauti katika mfululizo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

10 years ago

Mwananchi

Membe kuibeba Yanga

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amekiri yeye ni shabiki wa Yanga na ana mipango mikubwa na klabu hiyo ambayo itaiimarisha kiuchumi, kuacha utegemezi kwa wafadhili, pia kupiga hatua kubwa kitaifa na kimataifa katika medani ya soka.

 

9 years ago

Habarileo

Msenegali ashindwa kuibeba Simba

TIMU ya Simba ya Dar es Salaam jana ilishindwa kutamba mbele ya Mwadui ya Shinyanga baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.

 

10 years ago

GPL

OFM YAFICHUA UDHAIFU MLIMANI CITY TENA

Deogratius Mongela na Chande Abdallah WIKI hii Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers kwa mara nyingine ilitimba eneo la kibiashara la Mlimani City jijini Dar ikiwa na mfano wa silaha aina ya bastola ‘toy’ ili kupima ulinzi kwenye eneo hilo kufuatia matukio mbalimbali ya uvamizi wa kutumia silaha na ugaidi ambapo ilibaini kuwa ulinzi ni hafifu. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Mgtxzi ...

 

9 years ago

Mtanzania

Mechi za AFCON kuibeba Yanga

PluijmNA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Yanga Mholanzi, Hans van der Pluijm, amesema wachezaji waliokwenda kuzichezea timu zao za taifa wanapaswa kuelewa majukumu yao, ili waweze kunufaika na uzoefu wanaopata kwenye michuano ya Afrika.

Wachezaji 11 wa mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wameitwa kuzichezea timu zao za taifa katika mechi za kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwaka 2017, nchini Gabon.

Yanga iliwahi kuwakatalia nyota wake walioitwa...

 

10 years ago

Mwananchi

UDHAIFU: Dakika 45 za mwisho zaiua Yanga SC

>Ni nguvu ya soda. Hivyo, ndivyo unavyoweza kuzungumzia Yanga ambayo imekuwa ikisifika nchini kuwa na beki imara iliyotengeneza ukuta mgumu, usiopitika kwenye mechi za Ligi Kuu msimu huu, lakini ndiyo imeonekana  nyepesi  zaidi kwa mabao kipindi cha pili.

 

9 years ago

Vijimambo

YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!

Yanga ni zaidi ya Mcharo Simba wametepweta baada ya kukubali goli moja kila kipindi alikuwa Tambwe aliandika bao la kwanza dk ya 44 ya kipindi cha kwanza, ikumbukwe kuwa Tambwe alikuwa kipenzi cha wana msimbazi hao na wakampotezea na kunyakuliwa na Yanga. Kipindi cha pili Busungu aliesajiliwa kutoka kwa wafunga buti wa mgambo aliiandikia Yanga bao la 2 dk ya 79. Yanga sasa imefuta uteja uliodumu zaidi ya miaka 5 kila wanavyo kutana na Simbanilikuwa ni kilio tu cha kusanga meno safari hii ni...

 

9 years ago

Mwananchi

Udhaifu, ubora kuamua mshindi Yanga, Azam

Yanga inaikaribisha Azam leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mechi inayoweza kuamuliwa na udhaifu au ubora wa upande mmoja dhidi ya mwingine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani