Udhaifu wa Simba kuibeba tena kwa Yanga
Simba mwenda pole... Ndiye mla nyama. Au kwa lugha nyingine unaweza kusema Simba dhaifu ndiyo huwa inaifunga Yanga. Usemi huu umekuwa ukijidhihirisha mara nyingi Yanga na Simba zinapokutana hasa katika miaka ya hivi karibuni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 May
Yanga, Azam kuibeba Simba leo?
9 years ago
Habarileo28 Oct
Yanga, Simba leo tena
MIAMBA ya soka nchini Simba na Yanga leo itakuwa kwenye viwanja tofauti katika mfululizo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Membe kuibeba Yanga
9 years ago
Habarileo25 Aug
Msenegali ashindwa kuibeba Simba
TIMU ya Simba ya Dar es Salaam jana ilishindwa kutamba mbele ya Mwadui ya Shinyanga baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qUZbsOiEeqmHjkPF4hro58NpL3bqd7vNDawmoPLb-I7bLLUUp32UCb5NnoAoOWwCNkpBik4eYLbSh5fxE0XK-mf0R3kVyFZt/MlimaniCity.gif?width=650)
OFM YAFICHUA UDHAIFU MLIMANI CITY TENA
9 years ago
Mtanzania02 Sep
Mechi za AFCON kuibeba Yanga
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga Mholanzi, Hans van der Pluijm, amesema wachezaji waliokwenda kuzichezea timu zao za taifa wanapaswa kuelewa majukumu yao, ili waweze kunufaika na uzoefu wanaopata kwenye michuano ya Afrika.
Wachezaji 11 wa mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wameitwa kuzichezea timu zao za taifa katika mechi za kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwaka 2017, nchini Gabon.
Yanga iliwahi kuwakatalia nyota wake walioitwa...
10 years ago
Mwananchi14 Mar
UDHAIFU: Dakika 45 za mwisho zaiua Yanga SC
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s72-c/Simba-vs-Yanga-pic.png)
YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s640/Simba-vs-Yanga-pic.png)
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Udhaifu, ubora kuamua mshindi Yanga, Azam