Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Udhaifu, ubora kuamua mshindi Yanga, Azam

Yanga inaikaribisha Azam leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mechi inayoweza kuamuliwa na udhaifu au ubora wa upande mmoja dhidi ya mwingine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Udhaifu wa CCM si ubora wa Ukawa

HATIMAYE ‘wapinzani wakuu’ katika Uchaguzi Mkuu ujao, yaani chama tawala CCM na Ukawa wamefanikiw

Evarist Chahali

 

10 years ago

Mwananchi

Ubora, udhaifu wa makocha Ligi Kuu

Ligi Kuu Tanzania Bara inazidi kushika kasi huku ushindani baina ya timu na timu ukizidi kupamba moto. Wakati ligi ikiwa kwenye mzunguko wa mwisho, zipo timu ambazo zimeonyesha kiwango cha juu huku nyingine zikionyesha kiwango kibovu. Pia kuna timu ambazo zimeonyesha kiwango cha wastani.

 

9 years ago

Mwananchi

Pasi, umakini kuamua mshindi Stars, Algeria

Soka la pasi za chini, umakini ndizo mbinu muhimu zitakazoibeba Taifa Stars leo dhidi ya Algeria.

 

9 years ago

Mwananchi

Azam FC: Ni wakati wa kuamua ipi njia sahihi

Hakuna aliyewahi kuwaza kuwa ingetokea timu ambayo kwa misimu minne mfululizo ingezitenganisha Yanga na Simba katika nafasi mbili za juu.

 

10 years ago

Mwananchi

UDHAIFU: Dakika 45 za mwisho zaiua Yanga SC

>Ni nguvu ya soda. Hivyo, ndivyo unavyoweza kuzungumzia Yanga ambayo imekuwa ikisifika nchini kuwa na beki imara iliyotengeneza ukuta mgumu, usiopitika kwenye mechi za Ligi Kuu msimu huu, lakini ndiyo imeonekana  nyepesi  zaidi kwa mabao kipindi cha pili.

 

10 years ago

Mwananchi

Udhaifu wa Simba kuibeba tena kwa Yanga

Simba mwenda pole... Ndiye mla nyama. Au kwa lugha nyingine unaweza kusema Simba dhaifu ndiyo huwa inaifunga Yanga. Usemi huu umekuwa ukijidhihirisha mara nyingi Yanga na Simba zinapokutana hasa katika miaka ya hivi karibuni.

 

5 years ago

Michuzi

JOTO LAZIDI KUPANDA MECHI YANGA NA SIMBA, DAKIKA 90 ZA MCHEZO KUAMUA NANI MBABE

Na Said Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii

KADRI muda unavyosonga mbele kuelekea mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba itakayochezwa leo Machi 8 mwaka huu 2020, saa 11 jioni mashabiki lukuki wameanza kujitokeza katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku kila upande ukiwa umejawa na tambo za ushindi.

Mechi ya Yanga na Simba ni moja ya mechi ambazo zimekuwa na utamaduni mkubwa wa kujaza mashabiki, wapenzi na wachama wa vilabu hivyo hasa kwa kuzingatia ni mechi ambayo hutawaliwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm atamba kurudisha ubora wa Yanga

Pluijm

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM,
KOCHA mpya wa timu ya Yanga, Mholanzi Hans van Der Pluijm, ameeleza kuwa amerejea kwenye timu hiyo kurudisha ubora wa awali wa kikosi hicho aliouacha, huku akipanga kuendeleza falsafa yake ya soka la kushambulia.

Pluijm, aliyetua nchini majira ya saa 8.30 usiku wa kuamkia jana, amekuja kurithi mikoba ya Mbrazil Marcio Maximo, aliyetimuliwa kuinoa Yanga juzi, ambapo sasa inakuwa mara yake ya pili kukinoa kikosi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani