Ubora, udhaifu wa makocha Ligi Kuu
Ligi Kuu Tanzania Bara inazidi kushika kasi huku ushindani baina ya timu na timu ukizidi kupamba moto. Wakati ligi ikiwa kwenye mzunguko wa mwisho, zipo timu ambazo zimeonyesha kiwango cha juu huku nyingine zikionyesha kiwango kibovu. Pia kuna timu ambazo zimeonyesha kiwango cha wastani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Uhamasishaji wa Makocha Ligi kuu
9 years ago
Habarileo03 Oct
Makocha: Ligi Kuu ngumu
MAKOCHA wa timu mbalimbali za Ligi Kuu wamekiri kuwa ligi hiyo msimu huu imekuwa ngumu kiasi cha kuzigawanya timu katika makundi mawili, kwa maana ya timu za daraja la juu na timu za daraja la chini.
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Makocha wahofia ratiba Ligi Kuu
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Mavazi ya makocha wa Ligi Kuu ya Bara
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Barcelona kunoa makocha Ligi Kuu
MAKOCHA wa FC Barcelona ya Hispania, wanatarajia kuendesha mafunzo kwa makocha wa hapa nchini yatakayonyika Agosti 1 na 2, katika Uwanja wa Karume, jijini Dar es Salaam kuboresha kiwango cha...
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Makocha Ligi Kuu wazichambua Simba, Yanga
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Makocha wa Ulaya waiteka Ligi Kuu Bara
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/Pluijm.jpg?width=650)
Vita ya makocha sita wa Ulaya Ligi Kuu