Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makocha wa Ulaya waiteka Ligi Kuu Bara

Hakuna shaka ushindani msimu ujao utakuwa baina ya makocha wa kigeni dhidi ya wazawa kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mavazi ya makocha wa Ligi Kuu ya Bara

Makocha mbalimbali duniani ni nadhifu kutokana na jinsi wanavyovaa wanapokuwa katika majukumu yao.

 

9 years ago

GPL

Vita ya makocha sita wa Ulaya Ligi Kuu

kocha wa Yanga Hans van Der Pluijm LIGI Kuu Bara inaanza leo huku gumzo likiwa ni uwezo wa makocha sita kutoka Ulaya ambao wanaandika historia ya kuzifundisha timu za ligi hiyo kwa pamoja ndani ya msimu mmoja. Kocha wa Simba Dylan Kerr Timu sita za ligi kuu zinafundishwa na makocha raia wa nchi za Ulaya ambao ni Hans van Der Pluijm wa Yanga raia wa Uholanzi, Dylan Kerr (Uingereza, Simba), Stewart Hall (Uingereza, Azam FC) na...

 

9 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU BARA : Bajeti za kibabe usajili wa Tanzania Bara

Usajili wa wachezaji Ligi Kuu Tanzania Bara kwa ajili ya msimu ujao umekaa kibabe tofauti na misimu mingine.

 

9 years ago

StarTV

IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..

WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...

 

9 years ago

Habarileo

Makocha: Ligi Kuu ngumu

MAKOCHA wa timu mbalimbali za Ligi Kuu wamekiri kuwa ligi hiyo msimu huu imekuwa ngumu kiasi cha kuzigawanya timu katika makundi mawili, kwa maana ya timu za daraja la juu na timu za daraja la chini.

 

10 years ago

Mwananchi

Uhamasishaji wa Makocha Ligi kuu

  Kila kocha ana aina ya uhamasishaji kwa timu anayoifundisha, iwe kwenye mechi au mazoezi hali inayochangia kuwajengea uwezo wa kujiamini wachezaji wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barcelona kunoa makocha Ligi Kuu

MAKOCHA wa FC Barcelona ya Hispania, wanatarajia kuendesha mafunzo kwa makocha wa hapa nchini yatakayonyika Agosti 1 na 2, katika Uwanja wa Karume, jijini Dar es Salaam kuboresha kiwango cha...

 

9 years ago

Mwananchi

Makocha wahofia ratiba Ligi Kuu

Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikiingia kwenye raundi ya pili jana na leo, makocha wa timu mbalimbali zinazoshiriki ligi hiyo wameanza kuingiwa wasiwasi na ratiba yake wakidai ina athari kiufundi na kiafya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani