Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makocha wahofia ratiba Ligi Kuu

Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikiingia kwenye raundi ya pili jana na leo, makocha wa timu mbalimbali zinazoshiriki ligi hiyo wameanza kuingiwa wasiwasi na ratiba yake wakidai ina athari kiufundi na kiafya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Ligi Daraja La Tatu Morogoro Makocha walalamikia ratiba.

 

Kivumbi cha ligi daraja la tatu ngazi ya Mkoa Morogoro kinatarajiwa kufikia tamati ijumaa  hii, huku viwanja viwili vya Sabasaba na Jamhuri vikitarajia kuwaka Moto pale timu za Mawenzi, Nyamvisi FC, Moro Kids na Kizuka Star,  zitakaposhuka dimbani kupambana.

Licha ya ligi hiyo kuanza kwa kasi katika vituo vitatu tofauti, baadhi ya makocha wa  vilabu vinavyoshiriki michuano hiyo wamelalamikia ratiba ya michuano hiyo kuwa inawabana kutokana na siku moja kuchezwa michezo miwili kutika uwanja...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya

football-ground2

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.

TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE

Kagera Sugar – African Sports           16:00 EAT

Maji Maji – Azam                               16:00 EAT

Mwadui – Ndanda                              16:00 EAT

Prisons – Mtibwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Uhamasishaji wa Makocha Ligi kuu

  Kila kocha ana aina ya uhamasishaji kwa timu anayoifundisha, iwe kwenye mechi au mazoezi hali inayochangia kuwajengea uwezo wa kujiamini wachezaji wake.

 

9 years ago

Habarileo

Makocha: Ligi Kuu ngumu

MAKOCHA wa timu mbalimbali za Ligi Kuu wamekiri kuwa ligi hiyo msimu huu imekuwa ngumu kiasi cha kuzigawanya timu katika makundi mawili, kwa maana ya timu za daraja la juu na timu za daraja la chini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barcelona kunoa makocha Ligi Kuu

MAKOCHA wa FC Barcelona ya Hispania, wanatarajia kuendesha mafunzo kwa makocha wa hapa nchini yatakayonyika Agosti 1 na 2, katika Uwanja wa Karume, jijini Dar es Salaam kuboresha kiwango cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Mavazi ya makocha wa Ligi Kuu ya Bara

Makocha mbalimbali duniani ni nadhifu kutokana na jinsi wanavyovaa wanapokuwa katika majukumu yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Ubora, udhaifu wa makocha Ligi Kuu

Ligi Kuu Tanzania Bara inazidi kushika kasi huku ushindani baina ya timu na timu ukizidi kupamba moto. Wakati ligi ikiwa kwenye mzunguko wa mwisho, zipo timu ambazo zimeonyesha kiwango cha juu huku nyingine zikionyesha kiwango kibovu. Pia kuna timu ambazo zimeonyesha kiwango cha wastani.

 

10 years ago

Mwananchi

Makocha wa Ulaya waiteka Ligi Kuu Bara

Hakuna shaka ushindani msimu ujao utakuwa baina ya makocha wa kigeni dhidi ya wazawa kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

9 years ago

Mwananchi

Makocha Ligi Kuu wazichambua Simba, Yanga

Makocha wa klabu mbalimbali za Ligi Kuu nchini wameichambua mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga kesho na kueleza kuwa Yanga ‘itabebwa’ na uzoefu huku Simba ikitakiwa kucheza kitimu zaidi ili ishinde mchezo huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani